Wewe shida yako ni nini?Frequency ya kulihutubia taifa inakuwa kubwa mpk atafika mahala ataanza kuongea petty issues.
Awe anakaa kwa muda, anafanya tathmini ya mambo kisha anatoka mubashara na hotuba iliyosheheni.Wewe shida yako ni nini?
Asipofanya hivyo, nini kinapungua?Awe anakaa kwa muda, anafanya tathmini ya mambo kisha anatoka mubashara na hotuba iliyosheheni.
Atajikanganya na kujie-expose weakness yake kirahisiAsipofanya hivyo, nini kinapungua?
Weakness yake ni nini?Atajikanganya na kujie-expose weakness yake kirahisi
Blasphemy!Rais hata aje Jesus bado atakosolewa tu.
SSH Chapa kazi.
Nilitaka nisikujibu ila acha nitie nenoSi ushauri mzuri. Mimi sikubaliani nawe..
Awe anahutubia wakati wowote anaoona yeye mwenyewe inafaa na hususani kama ana jambo la kusema...
Nionavyo mimi ni kuwa, ipo kasoro kubwa ya hotuba zake nyingi, ya kusema baadhi ya mambo ambayo hapaswi kuyasema hadharani mbele ya subordinates wake...
Mfano leo ktk hotuba yake kwa ma - RAS na RC amesema kitu ambacho kina- expose udhaifu wake na walio chini yake wanaweza kuutumia kumwingiza mkenge ktk baadhi ya maeneo ktk utawala wake...
Alisema "....baadhi yenu (aliowateua) siwajui vizuri, lakini nitaendelea kuwaelewa kidogo kidogo..."
This is untimely statement and it was absolutely not required to be said there in public like that even if it is true..!!
Hii inatupa maswali sana sisi huku nje. Maana kama humjui vizuri mtu uliyemteua wewe mwenyewe na kumpa jukumu nyeti la uRC au uRAS au Uwaziri nk, ikawaje ukamteua...??
Tukumbuke kuwa wengi wa maRC au RAS wanaongoza mikoa mikubwa yenye wakazi (population) wengi na rasrimali nyingi kuliko idadi ya watu wote ambao Rais wa nchi ya Zanzibar yote anaowaongoza...!
Huwezi kulinganisha mathalani mkoa wa DSM, Mwanza, Arusha, Mbeya nk na nchi ya Zanzibar yote kwa idadi ya watu na rasrimali zilizopo ktk kila mikoa hii...
Nasema hivi kwa sababu, RC au RAS ni mtu muhimu na mwenye wajibu na jukumu nyeti na kubwa sana ktk utawala wa nchi hii. Uteuzi wao lazima uwe very carefully scrutinized...
Sasa Rais kukiri hadharani hawajui kwa undani baadhi ya wateule wake hawa inatia shaka kidogo...
Tuandike na kumshauri kuhusu hili...
Dunia inaenda kasi mubashara ni muhimu.
Ila rundo la wakuu wa mikoa kutinga Dodoma kushuhudia viapo ndio limenishangaza labda kama kuna majukumu mengine!
Kipindi cha mkapa kilikuwa ni cha old stone age, completely analogy, dunia inaenda kwa kasi sana, people need to be informed at a considerable high pace. Ukikaa kimya, wanakupiga.Natoa ushauri kwa rais wa awamu ya sita mhe SSH kuachana na utaratibu huu mbaya uliobuniwa na mwendazake wa kulihutubia taifa kila anapowaapisha viongozi.
Nini madhara yake?
Frequency ya kulihutubia taifa inakuwa kubwa mpk mhe rais atafika mahala ataanza kuongea petty issues.
Rais SSH ajiwekee utaratibu wake wa kutoa hotuba kwa taifa. Aweza kupanga kulihutubia taifa kila mwezi, kila baada ya miezi 2 ama 3. Mkapa aliweza, na SSH ataweza tu.
Hata anapowaapisha hakuna haja ya kulifanya tukio hilo kuwa live (mubashara). Nyerere, Mwinyi sr, Mkapa na Kikwete hawakufanya utopolo huu wa kuwaapisha viongozi.mubashara.
Bunge ndiyo tunataka liwe mubashara
Nchi ni yetu sote
3. Nadhani anafanya teuzi zaidi ya 500+ am stand to be corrected
4. Kwa teuzi hizo sio rahisi kujua kila jina la mtu aliemteua na sidhani kama ni majukumu yake
Mtoa mada yupo sahihi,itafika mahali mama atakosa Cha kuongea,hotuba zitakuwa za marudio kila siku km za mwendazakeWewe shida yako ni nini?
Alishindwa kushirikiana na bwana yule ambae "...anakula raha, hata wale wakubwa zake wanamjua!!!" Sijui hawa wanaojilalamisha humu walikuwa wapi wakati wenzao wanajineemesha!!? Au walikuwa wangali wakiimba mapambio na kucheza nyimbo wasizozijua?"Wakati hatuna pesa"
Wewe na nani?
Ndugu mpendwa Mteja wetuKuunganishwa umeme huku kaskazini sasahivi imekuwa ni hisani na siyo huduma ya msingi hata kama umelipia control number zaidi ya mwezi, kuomba kuunganishwa napo utazungushwa mpaka utoe rushwa. Kwa kifupi TANESCO kumeoza kabisa poor customer care
Tafadhali tupatie namba ya taarifa na namba ya simu kwa hatua zaidiBinafsi nimetokea kulichukia hili shirika ,,,kutokana na watendaji wake,,Tarehe 20Apr2021,,nilinunua umeme kwa njia ya Nmb mobile nakupa token ,,kutokana na kiwango cha fedha yangu,,,niliingiza Token nilizopewa ,,,lakn haikuaccept karibu kwa muda wa siku nzima,,,maandishi yaliyokuwa yanajitokeza ni Error 77,,,ndipo nikawapigia TANESCO Emergency,,Chanika nao wakanifungulia TB,,,(Taarifa binafsi)tarehe 26Apr2021,,,wakaja mafundi na hapo ni baada ya kupiga simu sana,wakaniambia kile kiremote nikipeleke Chanika TANESCO,,nitapewa maelekezo huko,Trh27 Apr 2021 nikaenda nikaonana na customer care wakanieleza niingie ofisi ya Engineer.akakiona na kunipeleka kwa muhasiba ,,,eti nilipie 133,097/= kwa kuwa kirimoti kimeharibika ,,,,sikuwa na hiyana ,,nikapewa control number ,,na kulipia kiwango hicho,,,,,,baada ya kulipia nikawapelekea risit,,na kuambia system imeonyesha nimeshalipia hivo nisubiri ndani ya wki moja TANESCO watakuja kuondoa metre ya zamani na kuweka mpya maana ile ya hakuna rimot mbadala,,,.nimesubir toka kipnd hicho cha wiki moja kimeisha,,hakuna fund aliyekuja ,,,nimepiga simu mpaka nimechoka jibu nalopewa TANESCO Emergency,,,wapo njiani watanipitia,,,,Trh 24May nikafunga safar had TANESCO kuwauliza kulikoni mbona sihudumiwi,,,nikaambiwa ,,,nifungue Taarifa upya ,,,maana Hawana metre mpya kuja kunifungia,,hivyo watakuja kukata mfuniko wa metre ya zamani nami nitapata huduma ,,,ivo ndani ya masaa24 watakuwa wamenifikia,,masaaa 24 yamepita hamna huduma ,,nimepiga simu emergency majibu yao ni hayo hayo,,nimewasiliana na Boss wao anaitwa salvatory majibu yake ni yale yale eti watakuja ,,wanataarifa zangu,,jana tarehe 1jun napigiwa simu saa moja jioni,,na emergency ,,niwaelekeze kwangu mewaelekeza lakn hawakutokea,,,nimewapigia simu.kuwauliza kulikoni ,,,,naletewa tu ngonjera,,,,kiukwel ,,nimetokea kuwachukia mno,,.tukichukua hatua za kuwambia viongozi ngazi za juu mtaona tunawachongea,,,,naomba shirika chukueni hatua kwa watendaji hawa ambao wanalitia madoa shirika,,,waziri wa nishati naomba liangalie hilo swala kwa umakini,,
Taarifa ya kwanza Trh 26Apr2021,,TB Cst 042021 TB 4782Tafadhali tupatie namba ya taarifa na namba ya simu kwa hatua zaidi
Tunashukuru sana kwa ushirikiani tunaifanyia kazi tafadhaliTaarifa ya kwanza Trh 26Apr2021,,TB Cst 042021 TB 4782
Taarifa ya pili Tarh 24May2021
TB 4787/05, namba yangu ya simu 0714 459540 ,,
0714459740,,,samahani hiyo ndo namba sahihi ,,,nilikosea ile ya mwanzoTaarifa ya kwanza Trh 26Apr2021,,TB Cst 042021 TB 4782
Taarifa ya pili Tarh 24May2021
TB 4787/05, namba yangu ya simu 0714 459540 ,,