Delly Mandah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 391
- 194
Samahani nilikosea namba ya simu namba sahihi,,,,,0714459740Tunashukuru sana kwa ushirikiani tunaifanyia kazi tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani nilikosea namba ya simu namba sahihi,,,,,0714459740Tunashukuru sana kwa ushirikiani tunaifanyia kazi tafadhali
AhsanteSamahani nilikosea namba ya simu namba sahihi,,,,,0714459740
Badilisheni mameneja hawa waliopo wanafanya kazi kwa mazoea snNdugu mpendwa Mteja wetu
Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
Tatizo ni nin na namba yako ya simu tafadhaliBadilisheni mameneja hawa waliopo wanafanya kazi kwa mazoea sn
Nitawapigia mimi mwenyewe leo mapema sn mkuu, sitaki kuweka no zangu kwenye publicTatizo ni nin na namba yako ya simu tafadhali
Asante sn kwa ushirikiano ambao umenionyesha hapa nadhani mtanipa ushirikiano zaidi nikipiga simu mkuu, natamani nipate no yako direct badala ya hii ambayo inatumika na watu wengi. Asante sn mkuuTatizo ni nin na namba yako ya simu tafadhali
Tumekufata inbox tafadhaliAsante sn kwa ushirikiano ambao umenionyesha hapa nadhani mtanipa ushirikiano zaidi nikipiga simu mkuu, natamani nipate no yako direct badala ya hii ambayo inatumika na watu wengi. Asante sn mkuu
TANESCO mna matatizo sana nyie LUKU yenyewe kununua shida tupu hao wataalamu wenu wa mifumo wana kazi gani huko kama hadi leo tu umeme haununuliki.
SeenTumekufata inbox tafadhali
UDART, hapa ndio CCM ilikuwa imefanya shamba la bibi, sasa mchezo ni ule ule.Niwasalimu kwa Jina la JAMHURI.
Naomba nianze mapema pasipo kupoteza muda,
Tatizo la Umeme linaanza kushika hatamu taratibu kabisa Rais Mtukufu yupo kimya watendaji husika wapo kimya nikimaanisha waziri pamoj na wizara nzima pia mkurugenzi wa shirika la Tanesco.
Saivi kukata umeme weekend imeanza kurudi ka zamani kukatika siku za kawaida nayo imerudi.
Mama samia kua makini hii kero tulianza kuisahau vile lakini naona kama inarudi hivi usipoangalia hili litakua shirika namba moja kukutia dosari naamini we ni msikivu sana nahisi ushaliona tunaomba ulifanyie ufumbuzi mapema watanzania tuendelee kujenga uchumi wetu wa kati.
FINITO
Tatizo linalohusu mita mbona hadi tuende kwenye ofisi za Tanesco maeneo tuliyopo, nakumbuka kipindi cha nyuma mlikua mnatoa msaada. Mfano kutoa namba za kuondoa temper, unakuta mtu kapata tatizo weekend anabaki gizani hadi jumatatu ifike ili mhasibu wa ofisi ya wilaya husika afike na kutoa hiyo huduma
Temper ni tatizo ambalo lazima fundi afike kudhibitisha chanzo chake mwa kuwa kinaweza kuwa wizi wa umeme au mita yenyewe ikatemper au tatizo la kiufundiTatizo linalohusu mita mbona hadi tuende kwenye ofisi za Tanesco maeneo tuliyopo, nakumbuka kipindi cha nyuma mlikua mnatoa msaada. Mfano kutoa namba za kuondoa temper, unakuta mtu kapata tatizo weekend anabaki gizani hadi jumatatu ifike ili mhasibu wa ofisi ya wilaya husika afike na kutoa hiyo huduma
Mbona huwa hawafiki wanatoa namba, mita iliyopo kwenye nguzo inaibiwaje umeme?Temper ni tatizo ambalo lazima fundi afike kudhibitisha chanzo chake mwa kuwa kinaweza kuwa wizi wa umeme au mita yenyewe ikatemper au tatizo la kiufundi
Huyu Tanesco anayejitokeza humu ajibu hoja.Binafsi nimetokea kulichukia hili shirika ,,,kutokana na watendaji wake,,Tarehe 20Apr2021,,nilinunua umeme kwa njia ya Nmb mobile nakupa token ,,kutokana na kiwango cha fedha yangu,,,niliingiza Token nilizopewa ,,,lakn haikuaccept karibu kwa muda wa siku nzima,,,maandishi yaliyokuwa yanajitokeza ni Error 77,,,ndipo nikawapigia TANESCO Emergency,,Chanika nao wakanifungulia TB,,,(Taarifa binafsi)tarehe 26Apr2021,,,wakaja mafundi na hapo ni baada ya kupiga simu sana,wakaniambia kile kiremote nikipeleke Chanika TANESCO,,nitapewa maelekezo huko,Trh27 Apr 2021 nikaenda nikaonana na customer care wakanieleza niingie ofisi ya Engineer.akakiona na kunipeleka kwa muhasiba ,,,eti nilipie 133,097/= kwa kuwa kirimoti kimeharibika ,,,,sikuwa na hiyana ,,nikapewa control number ,,na kulipia kiwango hicho,,,,,,baada ya kulipia nikawapelekea risit,,na kuambia system imeonyesha nimeshalipia hivo nisubiri ndani ya wki moja TANESCO watakuja kuondoa metre ya zamani na kuweka mpya maana ile ya hakuna rimot mbadala,,,.nimesubir toka kipnd hicho cha wiki moja kimeisha,,hakuna fund aliyekuja ,,,nimepiga simu mpaka nimechoka jibu nalopewa TANESCO Emergency,,,wapo njiani watanipitia,,,,Trh 24May nikafunga safar had TANESCO kuwauliza kulikoni mbona sihudumiwi,,,nikaambiwa ,,,nifungue Taarifa upya ,,,maana Hawana metre mpya kuja kunifungia,,hivyo watakuja kukata mfuniko wa metre ya zamani nami nitapata huduma ,,,ivo ndani ya masaa24 watakuwa wamenifikia,,masaaa 24 yamepita hamna huduma ,,nimepiga simu emergency majibu yao ni hayo hayo,,nimewasiliana na Boss wao anaitwa salvatory majibu yake ni yale yale eti watakuja ,,wanataarifa zangu,,jana tarehe 1jun napigiwa simu saa moja jioni,,na emergency ,,niwaelekeze kwangu mewaelekeza lakn hawakutokea,,,nimewapigia simu.kuwauliza kulikoni ,,,,naletewa tu ngonjera,,,,kiukwel ,,nimetokea kuwachukia mno,,.tukichukua hatua za kuwambia viongozi ngazi za juu mtaona tunawachongea,,,,naomba shirika chukueni hatua kwa watendaji hawa ambao wanalitia madoa shirika,,,waziri wa nishati naomba liangalie hilo swala kwa umakini,,
BogaNdugu mpendwa Mteja wetu
Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
Nyie kwenye thread yenu tumewapa taarifa nyingi tu...lakini hakuna feedback..Tunaomba kukusikiliza na kufanyia kazi taarifa zako tafadhali tujulishe ni eneo gani? Wilaya na namba ya simu kwa hatua zaidi
Tunaomba ututumie tena ikiwa na taarifa kamili za jina eneo wilaya tatizo na namba ya simu tafadhali.hata inboxNyie kwenye thread yenu tumewapa taarifa nyingi tu...lakini hakuna feedback..
Nimekutumia tena..hii ni mara ya tatu..Tunaomba ututumie tena ikiwa na taarifa kamili za jina eneo wilaya tatizo na namba ya simu tafadhali.hata inbox
Kamanda uliyechoka,ujenzi wa chama hufanywa na wanachama wenyewe,na wenye moyo na wapenda haki na uhuru wa kweli.Na sii mamluki.Kumbuka mama chama chetu kinawashabiki wengi ni wamachinga na bodaboda.
Hata mamluki Lowassa alipata kura nyingi zetu wamachinga na bodaboda.
Chama chetu kimeleta biashara kwenye kadi wakati hatuna pesa. Ili kutusaidia ruhusu mzunguko wa pesa na tuweze kununua kadi kwa sh 2500.
Mmefanya vema kuja kusikiliza kero hapa na mjitahidi mzifanyie kaziNdugu mteja,
Pole sana kwa changamoto unaopata. Je tunaweza kujua eneo lako, wilaya na mkoa wako kwa ajilinya ufuatiliaji. Pia tutashukuru sana kupata mrejesho