Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Boss, vp mzee naona PM hujibu kabisaHata nchi ziliendelea na kustaarabika wanawabana wafanyabiashara sio kuwabembeleza. Hakuna mfanyabiashara wa kiafrika atakuwa proud kulipa kodi kwa hiyari never. Kujifanya mwema na mjanja wa mjini ...ni swala la muda tu majibu yapo mkononi.