Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

mmh! ndege za ATCL zimenunuliwa na serikali hivyo ni mali ya serikali. ndege za ATCL hazina biashara kwa sasa sabau zinajulikana. sasa Rais akizitumia kuna shida gani?

Pengine ndio njia serikali imeona iichangamshe ATCL kwa kuwa mteja wake. Ndugu lete hoja yenye tija kwako na kwetu ongelea kilimo kimepewa pesa za kutosha?

MSD kumeboreshwa?!!? n.k. hii MIDEGE ni kututia machungu tu acha mama aitumie tu kuliko ibaki imepark tu. kwa hiyo hutaki rais azindue miradi,duuh hivi we mwenzetu ni nani unaanza kufikiria kumpangia rais kazi za kufanya???!!!!??
 
Ndege ya Rais ile ya Jamhuri ya Muungano ipo wapi?
Ile ndege ndogo ya Rais ile ya jamhuri ya muungano walipewa ATCL na sasa hivi Rais anatumia madege makubwa makubwa ya ATCL katika route zake🐒🐒🐒

Ni mambo ya kijinga sana ambayo hata mtoto mdogo wa chekechea hawezi kufanya.Halafu kama unavyojua kwa sasa hivi Tanzania haina bunge kwa hiyo hakuna wa kuuliza kuhusu hilo suala.
 
🐒🐒🐒
 
Miongoni mwa matumizi mabaya ya madaraka na ufujaji makubwa wa fedha tangu SSH aingie madarakani ni pamoja na matumizi yaliyokithiri ya madege ya ATCL...
Ndege zote za wakala wa ndege za serikali ziliwekwa chapa ya Air Tanzania, kumbuka kazi ya wakala moja wapo imekua na ku "operate" ndege hizi za viongozi, hivyo hichi anachofanyowa mama kisikushangaze chief.
 
uhuru ukizidi unakuwa matatizo pia, hapo ukute wanao wamelalia ugali na chumvi halafu unamaliza nguvu kujadili mambo yasiyo na tija kwako wala kwa taifa, wewe ndo unajua zaidi matumizi ya ndege kuliko rais?!..
Uhuru hauwezi kuzidi hata siku moja. Hapa amekosea nini kumuuliza mzazi wake inakuwaje yeye kila siku yuko kwenye vieiti wakati watoto wake wanalalia ugali na chumvi?

Amandla...
 
Touching is more serious than looking.
Mheshimiwa Raisi Samia achana na tabia ya kutoa mkono ,hilo ni Haramu kwa Muislamu ,na hilo wanatakiwa walijue na wengine..
Aaahhh...upuuuzii wa maviii...akaongozee saudia bhana sio bongoland..uislam uislam uislam...nendaa kajilipue bhanaaaa huko afganistaniii...
 
Ile Fokker haiwezi beba Rais,
Rais anahitaji safiri na watu wengi hivyo lazima achukue ndege kubwa

Pili zile Ndege si Mali ya ATCL bali TGFA au GoT

Tatu anaokoa muda na fedha kutumia Airbus
 
Kwa hiyo hizo ndege zilikuja kwa ajili ya kuruka na kutua??
Je, ATCL inalipwa stahiki zake?
Kesho na keshokutwa CAG akisoma ripoti msikatae
sasa ww unataka ndege zitembee mmbarabarani kama V8?
ofcourse kazi yake ni kuruka na kutua.
ATCL analipwa stahiki zake.. usidhan pale anasafiri bure
 
Touching is more serious than looking.
Mheshimiwa Raisi Samia achana na tabia ya kutoa mkono ,hilo ni Haramu kwa Muislamu ,na hilo wanatakiwa walijue na wengine..
ww una maradhi eeh?!
 
Kwetu wavuja jasho ,fao la kujitoa ni muhimu kuliko kumkamata Sabaya au Makonda ama kumfuta ukuu wa mkoa Chalamila.Bila fao la kujitoa mimi nitampinga Samia daima dumu.
unaongelea interest zako vs interest za taifa.

Afanye unachotaka ndio utaona amefanya kitu? since when anafanya mambo kumridhisha mtu fulani?
 
Tuwe wananchi huru,unahisi au kufikiri ni jambo gani Raisi Samia akilifanya basi uhakika wa kumpigia kura kwa kipindi kingine utakuwepo na kura zingine za wabunge na madiwani ukazipeleka kwenye chama chako pendwa.

Kwa upande wangu akiliinglia suala la Mashehe wa Uamsho na kuhakikisha anawatendea haki nikiongezea kama ataweza wananchi wasio na kazi wanalipwa japo shilingi alfu kumi kwa mwezi kwa wale waliokuwa na vitambulisho vya Taifa visivyo na shaka. Kura yangu ya Uraisi nitampa yey'ye...! Je wewe ?
 
Kuanzishwa kwa Katiba Mpya, Tume huru Ya Uchaguzi, Nafasi kama za IGP na Mkurugenzi wa Tume ziwe ni za kuomba na kufanyiwa Interview ili waweze kuwa independent.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…