Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Bongo nako kuna kupiga kura au kumhalalisha tu mgombea wa ccm kuwa rais? wanaoenda kupiga kura wanaenda kuhalalisha tu na si kumchagua wanaemtaka.
 
Afanye mabadiliko ya haraka kwa viongozi wa kuanzia ngazi ya juu hadi chini,wale wote walioingia kwa gia ya kumsifia mkuu wa nchi na kujipendekeza awapige chini.

Aweke safu yake kwa kuzingatia weledi wa uchapaji kazi.

Asimamie Haki,Mungu atamlinda na Mabaya yote.
 
Mkuu unataka kustaafu ukiwa kijana, alafu usumbue taifa uzeeni? Ila ni haki yako, mama yetu ni msikivu
 
Mifuko hiyo ya hifadhi ya jamii haina hata senti unadhani Mama atalifanikishaje hili within a short time?..

Tuwe realistic bhana.

Kuna mambo mengi zaidi mama anayopaswa kuyatilia mkazo kwani yanarekebeshika fasta..sio hili.
 
Mtoa hoja anazidi kuongeza idadi ya waliopata their voices back,uzi huu miezi 6 iliyopita asingeuleta hapa,maana hili jambo lilikua ndoto ila kwa sasa my President Samia ni msikivu na mpenda haki!
 
Tuwe wananchi huru,unahisi au kufikiri ni jambo gani Raisi Samia akilifanya basi uhakika wa kumpigia kura kwa kipindi kingine utakuwepo na kura zingine za wabunge na madiwani ukazipeleka kwenye chama chako pendwa.

Kwa upande wangu akiliinglia suala la Mashehe wa Uamsho na kuhakikisha anawatendea haki nikiongezea kama ataweza wananchi wasio na kazi wanalipwa japo shilingi alfu kumi kwa mwezi kwa wale waliokuwa na vitambulisho vya Taifa visivyo na shaka. Kura yangu ya Uraisi nitampa yey'ye...! Je wewe ?
 
1. Buma ya afya jwa kila mtananzania.
2. Ajira kwa vijana.
3. Mipango miji. Yaan serikali ijenge majengo kwa wingi (flats/apartments) kwa ajili ya raia esp maskini kuishi kuishi. Miji ya sasa inaonekana imetanuka kumbe imejaa vibanda tu.
 
Kwetu wavuja jasho ,fao la kujitoa ni muhimu kuliko kumkamata Sabaya au Makonda ama kumfuta ukuu wa mkoa Chalamila.Bila fao la kujitoa mimi nitampinga Samia daima dumu.
Mkuu naunga mkono hoja. Fao la kujitoa ni muhimu mno kwa sisi vijana. Ieleweke kwamba wanufaika wa fao hili ni watu ambao hawajafikia umri wa kustaafu. Umri huu wakipata fedha hiyo watafungua biashara hivyo watakuwa na uwezo wa kuendelea kulipa kodi, kitegemeza familiya zao na wanaweza kuajiri watu wengine.

Ni vizuri mama akaliangalia Jambo hili.
 
Kwetu wavuja jasho ,fao la kujitoa ni muhimu kuliko kumkamata Sabaya au Makonda ama kumfuta ukuu wa mkoa Chalamila.Bila fao la kujitoa mimi nitampinga Samia daima dumu.
Woooote tunaangalia hapa, tusilazimishwe matumizi ya pesa tulizojizitolea jasho, tunatambua wabunge wa CCM hawakuwa waungwana kupitisha sheria hii kandamizi, Mama should do something.
 
Mifuko hiyo ya hifadhi ya jamii haina hata senti unadhani Mama atalifanikishaje hili within a short time?..

Tuwe realistic bhana.

Kuna mambo mengi zaidi mama anayopaswa kuyatilia mkazo kwani yanarekebeshika fasta..sio hili.
Wewe hujui kinachowapata vijana wanaokosa ajira hasa kipindi hiki cha covid, pesa zimeenda wapi? huko zilikoenda zirudishwe ziwasidie vijana wanopoteza kazi kila kukicha
 
Fao la kujitoa ni muhimu sana. Sana

Kuna watu wanafanya kazi za nguvu kwa malengo kwamba ngoja niteseke miaka 10 then nichukue changu nikaanze maisha ya kujiajiri. Hii ni muhimu sana
 
Mifuko hiyo ya hifadhi ya jamii haina hata senti unadhani Mama atalifanikishaje hili within a short time?..

Tuwe realistic bhana.

Kuna mambo mengi zaidi mama anayopaswa kuyatilia mkazo kwani yanarekebeshika fasta..sio hili.
Tumsake na kumfikisha Mahakamani aliye jambazia hizo fedha...awe mfu au hai
 
Wewe hujui kinachowapata vijana wanaokosa ajira hasa kipindi hiki cha covid, pesa zimeenda wapi? huko zilikoenda zirudishwe ziwasidie vijana wanopoteza kazi kila kukicha
Naunga Mkono hoja kwa Nguvu zote

Kama kuna mtu aliiba hizo fedha ATAJWE pamoja na wafuasi wake
 
Woooote tunaangalia hapa, tusilazimishwe matumizi ya pesa tulizojizitolea jasho, tunatambua wabunge wa CCM hawakuwa waungwana kupitisha sheria hii kandamizi, Mama should do something.
Ikibidi wabunge wafukuzwe posho zao na mishahara ielekezwe NSSF kulipa hilo Deni
 
Kwetu wavuja jasho ,fao la kujitoa ni muhimu kuliko kumkamata Sabaya au Makonda ama kumfuta ukuu wa mkoa Chalamila. Bila fao la kujitoa mimi nitampinga Samia daima dumu
Kwa Sabaya Makonda na wengine Waeendelee KUNYOOSHWA hawa ndo miongoni mwao
 
Fao la kujitoa sio in
unaongelea interest zako vs interest za taifa.
afanye unachotaka ndio utaona amefanya kitu? since when anafanya mambo kumridhisha mtu fulani?
Fao la kujitoa sio interest ya mtu mmoja ni suala la kitaifa na kisera zaidi. Vijana wengi walioajiliwa sekta binafsi ni wahanga wa hili na wanapomaliza mikataba yao ni vyema wakapewa pesa zao ili wakajiajili kuimarisha uchumi.

Serikali pekee haiwezi kuajili vijana wote hivyo wengi lazima wajiajili na kwa wale wanaoajiliwa sekta binafsi wapate mwendelezo wa kukuza uchumi pindi mikataba yao inapoisha
 
Back
Top Bottom