Mama ni mwanafunzi bora kutokea ameishi kwa awamu nyingi akijifunza...!!!Mwendazake hakukosea alimpoteua kwa mara ya pili kuwa mgombea mwenza
Amethibitisha uwezo wake akiwa Makamo wa Rais
Amethibitisha uwezo wake akiwa Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania
Ni kiongozi Mchapakazi Sana
Ni Kiongozi makini sana kwenye kufanya maamuzi
Ni Kiongozi mwenye Maono
Ni Kiongozi aliye tayari kupokea maoni mbalimbali lakini aliye huru kufanya maamuzi sahihi kwa maslahi ya nchi
Ni Kiongozi anayetekeleza kwa wakati kile alichoahidi au kukisemea
Ni Kiongozi mfuatiliaji was kina wa maagizo aliyotoa
Ni Kiongozi mwenye hekima ya Hali ya juu
Amethibitisha ubora na uimara wake na Watanzania wote tu mashahidi
KaziIendelee
Kizuri ni cha kusifiwa na kupongezwa....!!Mmeanza tena 🤣🤣👆🤣
Viongozi 7 waliokuwa miungu watu na sasa wapo jela!Mama ameikomboa nchi ilikua inspotelea shimoni!!!
1)Mama anafuta ukabila
2)Mama analeta ajira
3)Mama kapandisha watu madaraja au vyeo ambavyo mtangulizi wake alushindwa
4)Mama amesafisha jiji kipindupindu kilikua around the corner !!! Uchafu ulitamalaki
5)Mama amefungua mipaka biashara zinamiminika
6)Mafadhili wanamwaga pesa
Mama ameleta faraja anaongea kibinadamu
Sheria zinafata mkondo !!viongozi 7)waliokua miungu watu na kusifiwa na Magu sasa wapo jela
8)Mama kanunua site scan hosp ital zote sio wakati ule kila kitu chato
9)Mama ameenda UN akatoa speech kwa lugha ya malikia mama anajua ung'eng'e
10)kiukweli sasa nchi imekua nchi sio Mali ya MTU tena
Zile kauli za mniombee
Nchi hii ilichezewa sana hatuzisikii
11) mama ameleta usawa hakuna vyeo kupewa ukanda mmoja!!!
12) mama anashuhulikia wazembe japo wanalalamika kuwa wanaonewa kwasababu ya ukabika !!!
Mama hoyeeeeeeeeee
Waswahili Wana kamsemo: mnyonge mnyongeni, HAKI yake mpeni. Mama Samia Suluhu apongezwe kwa Miradi inavyoendelea kama ilivyoachwa na mtangulizi wake.
Nafurahia kuona barabara za Mwendokasi zinavyoendelea kujengwa kwa kasi nzuri, flyovers n. k.
NAWAS
Tukutane 2025 utjua hujuiWaswahili Wana kamsemo: mnyonge mnyongeni, HAKI yake mpeni. Mama Samia Suluhu apongezwe kwa Miradi inavyoendelea kama ilivyoachwa na mtangulizi wake.
Nafurahia kuona barabara za Mwendokasi zinavyoendelea kujengwa kwa kasi nzuri, flyovers n. k.
NAWAS
Endeleeni tu lkn yeye hataki misifasifa ya hovyo na unafiki, tatizo mnasifia kinafik sabab ya njaa zenuKizuri ni cha kusifiwa na kupongezwa....!!
Shukrani
AsanteTime will tell! Endeleeni tu kujidanganya.
[emoji23][emoji23][emoji23]Angalieni na avatar za waanzisha mada.
[emoji106][emoji106][emoji106]Eti MIKOPO Safi fedha za kigeni Safi Nidhamu safi, Nmecheka kwa Sauti [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Makonda , Ole Sabaya , Chalamila, yale yalikuwa ni madebe tupu!Makonda ni misifa yote jiji lilimshinda.. Makala bila makeke kaonesha kwa vitendo ataweza