Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Hiki kipindi cha sifa kila mtu anaimba mapambio akumbukwe kwenye kiti cha ufalme.

Ni kawaida uongozi mpya unaopoingia kupe na chawa hawakosekani. Kujipendekeza kwingi, kuponda waliotangulia kwingi, nk.

Magenge ya wahuni ya kusifia kama kipindi cha JPM yamerudi kama kawaida.

Hizi sifa mnazotoa sasa bado hazijafikia za JPM alizopewa miezi 9 ya kwanza ya uongozi wake, bado hata robo hazijafika.
Hiki kipindi kikiisha tunarudi square one.
 
1.tozo miamala ya simu
2.bei za vifurushi (bando)
3.machinga kufukuzwa
4.bodaboda na bajaji kwenda mjini ( Amos makalla amesogeza siku mbele, ilitakiwa Hadi 01 sept tamko lianze kazi rasmi)

N.B.miradi yote ya maendeleo ni ile iliyoachwa na chuma
Kwenye ukweli tuseme ukweli.
 
Maendeleo gani mmazungumzia mbona bei za vitu vinazidi kupanda.

Nilikuwa na nunua nondo mm12 kwa elf 19 au 20 kipindi cha Hayati Magufuli sasa hivi nondo hii elf 26 miezi mitano ijayo kuna uwezekano kufika elf 30
Mafuta yanazidi kupanda.

Haya Maendeleo mnapima kwa vigezo gani? Mafuta ya gari hayashikiki
 
amini usiamini kidogokidogo mzunguko wa pesa umeanza kuonekana. na watu wana furaha mioyoni hawaishi kama wafungwa.
Furaha hip, na mzunguko wa hela hup unao onekana? Sasa hv tozo zimefika kwenye miamala ya benk.

Kama wewe unalipa kod vizur za serikali, afu kinachobak unakitunza benk, then anakuja mtu wa serikali anaenda benk kukikata tozo tena, unasikia furaha?
 
Duuh hii dunia sijui imekaaje......
manake kuna mwamba ana utajiri wa Bilioni Mia Tatu /B300 USD Mzee Musk...
Sisi 5.8 billion dollars bonge la habari?
Umekaa kabisaaa... unatufananisha...unaifananisha Afrika na hao kina Musk?!!

You serious mzee?!!!
 
Ukitoa ishu ya mbowe mama Samia mpaka Sasa anafanya vizuri.
Analeta maendeleo bila kunyanyasa watu kufokea watu kutweza utu wa mtu na kutoa vitisho.
Angekuwa bwana yule haya madarasa nchi nzima mbona tungekoma?
Kwa taatifa yako hayo madarasa yameabza kujengwa kipindi kile. Hizo pesa dada zinapigwa kupitia njia hiyo kea sasa
 
Mama oyeeeee sio mshamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…