Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Nikiendelea kubishana na mjinga kama wewe I will be lowering myself to your levelHuna akili ww......
akiba ni sehemu ya surplus/ziada wapi ww!!?
wa idugunde nini!?
Kwahiyo hata ulichokiandika hukijui. Yaani hujui maana yake.Nimeifananisha nchi ya Tz na mtu!!??
kwa akili yako fupi sidhani kama unaweza ulewa mshangao wangu unatoka wp!?
Acha wivu mama anaupiga mwingi bana. Mbona hayo madarasa elf 15000 na vituo vya afya zaidi ya mia nne 500 huyo marehemu wenu hakujenga?[emoji23][emoji23]Wewe unajua hata ndoo ya mafuta ya kupikia ni kiasi gani imefika?
Unajua bei ya bati imefika kiasi gani?....
SawaUkitoa ishu ya mbowe mama Samia mpaka Sasa anafanya vizuri.
Analeta maendeleo bila kunyanyasa watu kufokea watu kutweza utu wa mtu na kutoa vitisho.
Angekuwa bwana yule haya madarasa nchi nzima mbona tungekoma?
Huna akili huwezi nielewa .....Kwahiyo hata ulichokiandika hukijui. Yaani hujui maana yake.
Kmmy school fees za wazazi wako zimepotea/ zinapotea bure kama walikusomesha/wanakusomesha...
You don't have to bother! keep your struggle elsewhereNikiendelea kubishana na mjinga kama wewe I will be lowering myself to your level
Mat.a.ko kama hii hawezi elewa asset inaweza kubadilishwa kuwa fedha in no time.Kwahiyo hata ulichokiandika hukijui. Yaani hujui maana yake.
Kmmy school fees za wazazi wako zimepotea/ zinapotea bure kama walikusomesha/wanakusomesha...
Unaharibu lugha za watu. "You serious"ndio nini?? Rasi Simba anahusika hapa kwa msasa.Umekaa kabisaaa... unatufananisha...unaifananisha Afrika na hao kina Musk?!!
You serious mzee?!!!
Gharama alizotumia kujenga flyover, viwanja vya ndege, madaraja mbali mbali na Nyerere Hydro electric power plant angeamua kujenga madarasa na zahanati angeweza kukamilisha madarasa mengi kiasi kwamba hata wanafunzi wangekaa watano tu na mwalimu kila darasa!Acha wivu mama anaupiga mwingi bana. Mbona hayo madarasa elf 15000 na vituo vya afya zaidi ya mia nne 500 huyo marehemu wenu hakujenga?[emoji23][emoji23]
Hali ni mbaya sana asee..Gharama alizotumia kujenga flyover, viwanja vya ndege, madaraja mbali mbali na Nyerere Hydro electric power plant angeamua kujenga madarasa na zahanati angeweza kukamilisha madarasa mengi kiasi kwamba hata wanafunzi wangekaa watano tu na mwalimu kila darasa!
JPM amekamilisha na ameacha mega project ambazo huyu aliyepo hajui anaanzaje kuzikamilisha..Acha wivu mama anaupiga mwingi bana. Mbona hayo madarasa elf 15000 na vituo vya afya zaidi ya mia nne 500 huyo marehemu wenu hakujenga?[emoji23][emoji23]
Muachage majungu SGR imesimama? Mwl.nyerere Hydropower imesimama ? Mwanza Isaka hata marehemu hakuicha leo mradi si unaendelea?JPM amekamilisha na ameacha mega project ambazo huyu aliyepo hajui anaanzaje kuzikamilisha..
Unafikiri nchi ni NGO
Hao wacenge ndio wamepata mianya ya kutunyonya maskini now! Ndio wapambe wa bi mdashiHali ni mbaya sana asee..
Waliomuita JPM shetani ni wale w@$3nge wanufaikaji waliozibiwa mirija ya ukandamizaji , unyonyaji na uonevu dhidi ya masikini wa kipato cha chini...
Anaiua kabisa chadema huku ikikiona na haina cha kufanya...Ukitoa ishu ya mbowe mama Samia mpaka Sasa anafanya vizuri.
Analeta maendeleo bila kunyanyasa watu kufokea watu kutweza utu wa mtu na kutoa vitisho.
Angekuwa bwana yule haya madarasa nchi nzima mbona tungekoma?
Acha uwongo mama samia ndo anatoa pesa za kujenga Mwl.nyerere Hydropower na SGR Dar moro Makutupora, Mwanza Isaka na miradi inaendelea.Gharama alizotumia kujenga flyover, viwanja vya ndege, madaraja mbali mbali na Nyerere Hydro electric power plant angeamua kujenga madarasa na zahanati angeweza kukamilisha madarasa mengi kiasi kwamba hata wanafunzi wangekaa watano tu na mwalimu kila darasa!
Anatoa pesa kwani zake?Acha uwongo mama samia ndo anatoa pesa za kujenga Mwl.nyerere Hydropower na SGR Dar moro Makutupora, Mwanza Isaka na miradi inaendelea. Marehemu alianzisha miradi akaicha njiani haijakamilika.
Kwani magufuli alikua anatoa za kwake? Tuletee ushahidi wa hayo unayosema kuhusu kigogo busisi siyo majungu na umbeyaAnatoa pesa kwani zake?
Pesa si zetu? Hivi umesikia kinachoendelea daraja la busisi au unaongea tu kufurahisha bunge?....