Habari ,Afya ni mtaji namba Moja wa kila mtu Duniani ukiachana na mitaji kama fedha na Mali .Kwa kusema Hivi namaanisha ili Taifa lolote liweze piga hatua tuna hitaji wananchi wenye Afya njema .
Kama serikali ilivyojipambanua katika nia ya Afya kwa Wote .Mimi kwa upande wangu nimeshashuhudia vifo vingi vya watanzania ambavyo ni matokeo ya kuchelewa au kutofika vituo vya Vya Afya sababu Kubwa ikiwa ni Kukosa Bima au Kukosa Pesa za matibabu ,nimeona ni vyema nitoe mawazo kuhusiana na hili Jambo la Afya kwa wote huenda tunaweza isaidia serikali kulitimiza kwa Urahisi .
NHIF ni bima ya Taifa ambayo imejitahidi kuweza kumfikia kila mtanzania hata kupitia njia iliyokuja nayo ya vifurushi, lakini bado changamoto kubwa imebakia ni Ukosefu wa Fedha na elimu .Binafsi nlijaribu kufikiri hata tukisema tuweke kila mtu achangie elfu 20 kwa Mwaka bado sio Watanzania wote watapata Bima.
Baada ya kujiuliza sana nkapata mawazo mawili 1. kwamba ni lazima kipatikane kitu ambao kitaweza kuingiza fedha Ambayo itatumika katika Matibabu ya watanzania wote 2.Serikali ipange fedha kila mwaka kwenye bajeti kwa ajili ya Matibabu nkagundua itakuwa Ngumu ,nkabaki na Wazo la kwanza .
Katika wazo la kwanza nlipata mawazo nliwaza sana lakini nlikuja kuishia na Wazo la Kutumia TOZO za miamala ya simu na kibenki .Kwa kifupi kwa Siku inafanyanyika miamala mingi na ni chanzo ambacho ni cha uhakika.
Serikali itaweka TOZO ambayo itaonekana inaweza tengeneza kiasi cha kutosha kulingana na Tathimini itayofanywa kwa hospitali zinatoa huduma hapa Tanzania ingawa inaweza kwa Mwanzo ikazidi sana kulingana na watu kumiminika kwa wingi vituo vya Afya hivyo wanaweza anza na watoto/wanafunzi na mama wajawazito iwe binafsi au serikalini ni bure .
Kutokana na Makusanyo ya Mwezi vituo hivyo vya Afya vitalipwa
Pesa kulingana na idadi na Matibabu yaliyo tolewa hii mwa Mwanzo itakuwa Ngumu baadae itazoeleka .
Kama serikali ilivyojipambanua katika nia ya Afya kwa Wote .Mimi kwa upande wangu nimeshashuhudia vifo vingi vya watanzania ambavyo ni matokeo ya kuchelewa au kutofika vituo vya Vya Afya sababu Kubwa ikiwa ni Kukosa Bima au Kukosa Pesa za matibabu ,nimeona ni vyema nitoe mawazo kuhusiana na hili Jambo la Afya kwa wote huenda tunaweza isaidia serikali kulitimiza kwa Urahisi .
NHIF ni bima ya Taifa ambayo imejitahidi kuweza kumfikia kila mtanzania hata kupitia njia iliyokuja nayo ya vifurushi, lakini bado changamoto kubwa imebakia ni Ukosefu wa Fedha na elimu .Binafsi nlijaribu kufikiri hata tukisema tuweke kila mtu achangie elfu 20 kwa Mwaka bado sio Watanzania wote watapata Bima.
Baada ya kujiuliza sana nkapata mawazo mawili 1. kwamba ni lazima kipatikane kitu ambao kitaweza kuingiza fedha Ambayo itatumika katika Matibabu ya watanzania wote 2.Serikali ipange fedha kila mwaka kwenye bajeti kwa ajili ya Matibabu nkagundua itakuwa Ngumu ,nkabaki na Wazo la kwanza .
Katika wazo la kwanza nlipata mawazo nliwaza sana lakini nlikuja kuishia na Wazo la Kutumia TOZO za miamala ya simu na kibenki .Kwa kifupi kwa Siku inafanyanyika miamala mingi na ni chanzo ambacho ni cha uhakika.
Serikali itaweka TOZO ambayo itaonekana inaweza tengeneza kiasi cha kutosha kulingana na Tathimini itayofanywa kwa hospitali zinatoa huduma hapa Tanzania ingawa inaweza kwa Mwanzo ikazidi sana kulingana na watu kumiminika kwa wingi vituo vya Afya hivyo wanaweza anza na watoto/wanafunzi na mama wajawazito iwe binafsi au serikalini ni bure .
Kutokana na Makusanyo ya Mwezi vituo hivyo vya Afya vitalipwa
Pesa kulingana na idadi na Matibabu yaliyo tolewa hii mwa Mwanzo itakuwa Ngumu baadae itazoeleka .