sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Mama anapiga kazi vizuri mno, anaupiga mwingi sana.
Zile bifu za kuwekeanza vikwazo na majirani ziliondoa ujjirani mwema ila saizi mama yupo kwenye nyumba basi ujirani mwema umerudi.
Mama kapiga pini kile kikundi cha ngoma cha sukumawiki gang, Raha sana kuona anavyokisambaratisha kwa kutumia peni pekee.
Madarasa yanajengwa
Wafanyabiashara wameanza kurudi kwa kasi kubwa mno.
Sasa hawa vibaraka wa mabeberu nadhani hawajui jinsi watanzania wengi tunavyompenda mama na tupo tayari kumfia, jichanganyeni ndipo mtajua hamjui..
Pia mipango ianza kutekelezeka ya kumuandaa Raisi wa 2030 ambae atakua na mind set kama ya mama
Zile bifu za kuwekeanza vikwazo na majirani ziliondoa ujjirani mwema ila saizi mama yupo kwenye nyumba basi ujirani mwema umerudi.
Mama kapiga pini kile kikundi cha ngoma cha sukumawiki gang, Raha sana kuona anavyokisambaratisha kwa kutumia peni pekee.
Madarasa yanajengwa
Wafanyabiashara wameanza kurudi kwa kasi kubwa mno.
Sasa hawa vibaraka wa mabeberu nadhani hawajui jinsi watanzania wengi tunavyompenda mama na tupo tayari kumfia, jichanganyeni ndipo mtajua hamjui..
Pia mipango ianza kutekelezeka ya kumuandaa Raisi wa 2030 ambae atakua na mind set kama ya mama