Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Duh! Au basi 😆I THINK maana yake sio Nadhani, pekee hiyo ni english ya darasani
Unawez kutumia neni I THINK kama heshima kumpa nafasi mwengine nae awe huru kutowa mawazo yake.
Viongozi wengi hususan Wuzungu pia ulitumia.
Tatizo unapojifunza English ya Darasani ndioutaona nikosa
Penda nchi yakoSiwezi poteza mda wangu kumsikiliza huyo bibi.
Kamusi ya BAKITA inasema I think ni Kudhani / Nadhani hivyo acheni kunipotezea muda tafadhali sawa?I THINK maana yake sio Nadhani, pekee hiyo ni english ya darasani
Unawez kutumia neni I THINK kama heshima kumpa nafasi mwengine nae awe huru kutowa mawazo yake.
Viongozi wengi hususan Wuzungu pia ulitumia.
Tatizo unapojifunza English ya Darasani ndioutaona nikosa
Ni neno standard sana hilo ulimwenguni, wewe ndiye unatakiwa kunyukwa vibao maana inaelekea hujui uzito wake!Mama unataka tukukumbushe hili mara ngapi ili utuelewe Wanao tunaokupenda na kukutakia mema? Wengine hatujaumbwa na Unafiki wa Kukupamba ( Kukusifia ) tu hata kama kuna mahala Unaharibu ila maana yetu halisi ya Kumpenda Mtu ni Kumkosoa kwa Kumjenga pale akikosea ( akikengeuka ) mahala.
Sasa kama Wewe ( Rais ) tunayeamini kuwa una Taarifa zote na Ufahamu mwingi wa Kimaarifa iwe ni Binafsi au kupitia Wasaidizi wako kila mara ukizungumza au ukitolea Ufafanuzi Jambo muhimu ni lazima useme Neno I think ( Unadhani ) je, Sisi Watu wa kawaida mno nchini Tanzania akina MINOCYCLINE tusemeje au tutumie neno gani?
Mbele ya Watu very Serious na Werevu ndani na nje ya nchi nina uhakika ukiwa unasema ( unalitumia ) neno hili la Unadhani ( I think ) huwa Wanakudharau na hupoteza pia imani nawe na hata Credibility yako vile vile hushuka ( inashuka )
Binafsi neno Nadhani ( I think ) silipendi na hata huku Kimtaa Mtaa ( Mtaani ) nikiwa naongea na Mtu ( hasa kwa Jambo Muhimu ) halafu akiwa anasema Nadhani ( I think ) huwa namdharau na hata kutamani Nimzabe tu Kibao kwani huwa nahisi ni Mtu asiye Knowledgeable and Well Informed katika Mambo ( Masuala Mtambuka ) mengi ya Tanzania na nje ya Mipaka ya Tanzania.
Wasaidizi wa Rais msaidieni katika hili.
Mkuu hutaki ukosolewe ila ww unamkosoa Mama....hv akili yako iko sawa sawa kweliPumbavu Kamusi ya BAKITA inasema I think ni Kudhani / Nadhani hivyo acheni kunipotezea muda tafadhali sawa?
Cc: kidi kudi
Tanzanians in general, on average, are innumerates and barely literate.Hayuko well informed kwenye mambo azungumzayo. Mf. unakuta anatoa facts za matumizi ya fedha anasema "zimetumika milioni mia ngapi sijui" au urefu wa barabara au daraja "kilometer ngapi sijui". Hii kauli inanikera
Dah wakuu huyu ni mama na anahitaji kupewa heshima yake kama mama afu tena ni head of state,mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe. Jamani mamaanajitahidi kutufutia baadhi ya yale maovu aliyotufanyia maliyemu.Siwezi poteza mda wangu kumsikiliza huyo bibi.
Tutakifanyizia Kazi Chap!!!Tutalifanyia kazi.
EnglishNadhani muacheni maza apige kazi...
Thread ItawaamshaNaunga mkono hoja. I think ni presumptive.
Washauri wamelala usingizi.
Sijawahi kuwaza kwamba eti kusema nadhani inaleta ukakasi..Mama unataka tukukumbushe hili mara ngapi ili utuelewe Wanao tunaokupenda na kukutakia mema? Wengine hatujaumbwa na Unafiki wa Kukupamba ( Kukusifia ) tu hata kama kuna mahala Unaharibu ila maana yetu halisi ya Kumpenda Mtu ni Kumkosoa kwa Kumjenga pale akikosea ( akikengeuka ) mahala.
Sasa kama Wewe ( Rais ) tunayeamini kuwa una Taarifa zote na Ufahamu mwingi wa Kimaarifa iwe ni Binafsi au kupitia Wasaidizi wako kila mara ukizungumza au ukitolea Ufafanuzi Jambo muhimu ni lazima useme Neno I think ( Unadhani ) je, Sisi Watu wa kawaida mno nchini Tanzania akina MINOCYCLINE tusemeje au tutumie neno gani?
Mbele ya Watu very Serious na Werevu ndani na nje ya nchi nina uhakika ukiwa unasema ( unalitumia ) neno hili la Unadhani ( I think ) huwa Wanakudharau na hupoteza pia imani nawe na hata Credibility yako vile vile hushuka ( inashuka )
Binafsi neno Nadhani ( I think ) silipendi na hata huku Kimtaa Mtaa ( Mtaani ) nikiwa naongea na Mtu ( hasa kwa Jambo Muhimu ) halafu akiwa anasema Nadhani ( I think ) huwa namdharau na hata kutamani Nimzabe tu Kibao kwani huwa nahisi ni Mtu asiye Knowledgeable and Well Informed katika Mambo ( Masuala Mtambuka ) mengi ya Tanzania na nje ya Mipaka ya Tanzania.
Wasaidizi wa Rais msaidieni katika hili.
I think your argument is barbaric and baseless.Mama unataka tukukumbushe hili mara ngapi ili utuelewe Wanao tunaokupenda na kukutakia mema? Wengine hatujaumbwa na Unafiki wa Kukupamba ( Kukusifia ) tu hata kama kuna mahala Unaharibu ila maana yetu halisi ya Kumpenda Mtu ni Kumkosoa kwa Kumjenga pale akikosea ( akikengeuka ) mahala.
Sasa kama Wewe ( Rais ) tunayeamini kuwa una Taarifa zote na Ufahamu mwingi wa Kimaarifa iwe ni Binafsi au kupitia Wasaidizi wako kila mara ukizungumza au ukitolea Ufafanuzi Jambo muhimu ni lazima useme Neno I think ( Unadhani ) je, Sisi Watu wa kawaida mno nchini Tanzania akina MINOCYCLINE tusemeje au tutumie neno gani?
Mbele ya Watu very Serious na Werevu ndani na nje ya nchi nina uhakika ukiwa unasema ( unalitumia ) neno hili la Unadhani ( I think ) huwa Wanakudharau na hupoteza pia imani nawe na hata Credibility yako vile vile hushuka ( inashuka )
Binafsi neno Nadhani ( I think ) silipendi na hata huku Kimtaa Mtaa ( Mtaani ) nikiwa naongea na Mtu ( hasa kwa Jambo Muhimu ) halafu akiwa anasema Nadhani ( I think ) huwa namdharau na hata kutamani Nimzabe tu Kibao kwani huwa nahisi ni Mtu asiye Knowledgeable and Well Informed katika Mambo ( Masuala Mtambuka ) mengi ya Tanzania na nje ya Mipaka ya Tanzania.
Wasaidizi wa Rais msaidieni katika hili.