Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

I THINK maana yake sio Nadhani, pekee hiyo ni english ya darasani

Unawez kutumia neni I THINK kama heshima kumpa nafasi mwengine nae awe huru kutowa mawazo yake.

Viongozi wengi hususan Wuzungu pia ulitumia.

Tatizo unapojifunza English ya Darasani ndioutaona nikosa
Duh! Au basi 😆
 
Mama ni kinda analishwa na jorowe ili aweze kuishi, uwezo wa kung’amua mambo bado ni duni sana kwake.

Aendelee kusoma kile alichoandikiwa nje ya hapo nyuzi nyingi zitakuwa zikifunguliwa kwa sababu yake.
 
I THINK maana yake sio Nadhani, pekee hiyo ni english ya darasani

Unawez kutumia neni I THINK kama heshima kumpa nafasi mwengine nae awe huru kutowa mawazo yake.

Viongozi wengi hususan Wuzungu pia ulitumia.

Tatizo unapojifunza English ya Darasani ndioutaona nikosa
Kamusi ya BAKITA inasema I think ni Kudhani / Nadhani hivyo acheni kunipotezea muda tafadhali sawa?

Cc: kidi kudi
 
Mama unataka tukukumbushe hili mara ngapi ili utuelewe Wanao tunaokupenda na kukutakia mema? Wengine hatujaumbwa na Unafiki wa Kukupamba ( Kukusifia ) tu hata kama kuna mahala Unaharibu ila maana yetu halisi ya Kumpenda Mtu ni Kumkosoa kwa Kumjenga pale akikosea ( akikengeuka ) mahala.

Sasa kama Wewe ( Rais ) tunayeamini kuwa una Taarifa zote na Ufahamu mwingi wa Kimaarifa iwe ni Binafsi au kupitia Wasaidizi wako kila mara ukizungumza au ukitolea Ufafanuzi Jambo muhimu ni lazima useme Neno I think ( Unadhani ) je, Sisi Watu wa kawaida mno nchini Tanzania akina MINOCYCLINE tusemeje au tutumie neno gani?

Mbele ya Watu very Serious na Werevu ndani na nje ya nchi nina uhakika ukiwa unasema ( unalitumia ) neno hili la Unadhani ( I think ) huwa Wanakudharau na hupoteza pia imani nawe na hata Credibility yako vile vile hushuka ( inashuka )

Binafsi neno Nadhani ( I think ) silipendi na hata huku Kimtaa Mtaa ( Mtaani ) nikiwa naongea na Mtu ( hasa kwa Jambo Muhimu ) halafu akiwa anasema Nadhani ( I think ) huwa namdharau na hata kutamani Nimzabe tu Kibao kwani huwa nahisi ni Mtu asiye Knowledgeable and Well Informed katika Mambo ( Masuala Mtambuka ) mengi ya Tanzania na nje ya Mipaka ya Tanzania.

Wasaidizi wa Rais msaidieni katika hili.
Ni neno standard sana hilo ulimwenguni, wewe ndiye unatakiwa kunyukwa vibao maana inaelekea hujui uzito wake!
 
Katika kuongea hiyo ni namna nzuri mno ya kujibu swali au kutoa maoni.

Asiache.
 
Pumbavu Kamusi ya BAKITA inasema I think ni Kudhani / Nadhani hivyo acheni kunipotezea muda tafadhali sawa?

Cc: kidi kudi
Mkuu hutaki ukosolewe ila ww unamkosoa Mama....hv akili yako iko sawa sawa kweli

Una ukoloni ndani yako ....ukiandika pumba lazima ukosolewe

Sawa we kiande....
 
Hayuko well informed kwenye mambo azungumzayo. Mf. unakuta anatoa facts za matumizi ya fedha anasema "zimetumika milioni mia ngapi sijui" au urefu wa barabara au daraja "kilometer ngapi sijui". Hii kauli inanikera
Tanzanians in general, on average, are innumerates and barely literate.

She is just representing the median.
 
Siwezi poteza mda wangu kumsikiliza huyo bibi.
Dah wakuu huyu ni mama na anahitaji kupewa heshima yake kama mama afu tena ni head of state,mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe. Jamani mamaanajitahidi kutufutia baadhi ya yale maovu aliyotufanyia maliyemu.
 
Mungu aliona mbali akasema wakae nyumbani watupikie na kulea watoto mwanamke hakuumbwa kuwa kiongozi na haya ndo matokeo yake anaropoka kama mkuu wa mkoa vile kumbe yy ndio raisi wa nchi tufunge mikanda tutafika.
 
Mama unataka tukukumbushe hili mara ngapi ili utuelewe Wanao tunaokupenda na kukutakia mema? Wengine hatujaumbwa na Unafiki wa Kukupamba ( Kukusifia ) tu hata kama kuna mahala Unaharibu ila maana yetu halisi ya Kumpenda Mtu ni Kumkosoa kwa Kumjenga pale akikosea ( akikengeuka ) mahala.

Sasa kama Wewe ( Rais ) tunayeamini kuwa una Taarifa zote na Ufahamu mwingi wa Kimaarifa iwe ni Binafsi au kupitia Wasaidizi wako kila mara ukizungumza au ukitolea Ufafanuzi Jambo muhimu ni lazima useme Neno I think ( Unadhani ) je, Sisi Watu wa kawaida mno nchini Tanzania akina MINOCYCLINE tusemeje au tutumie neno gani?

Mbele ya Watu very Serious na Werevu ndani na nje ya nchi nina uhakika ukiwa unasema ( unalitumia ) neno hili la Unadhani ( I think ) huwa Wanakudharau na hupoteza pia imani nawe na hata Credibility yako vile vile hushuka ( inashuka )

Binafsi neno Nadhani ( I think ) silipendi na hata huku Kimtaa Mtaa ( Mtaani ) nikiwa naongea na Mtu ( hasa kwa Jambo Muhimu ) halafu akiwa anasema Nadhani ( I think ) huwa namdharau na hata kutamani Nimzabe tu Kibao kwani huwa nahisi ni Mtu asiye Knowledgeable and Well Informed katika Mambo ( Masuala Mtambuka ) mengi ya Tanzania na nje ya Mipaka ya Tanzania.

Wasaidizi wa Rais msaidieni katika hili.
Sijawahi kuwaza kwamba eti kusema nadhani inaleta ukakasi..

Amerudia tena BBC akihojiwa mda huu.
 
Mama unataka tukukumbushe hili mara ngapi ili utuelewe Wanao tunaokupenda na kukutakia mema? Wengine hatujaumbwa na Unafiki wa Kukupamba ( Kukusifia ) tu hata kama kuna mahala Unaharibu ila maana yetu halisi ya Kumpenda Mtu ni Kumkosoa kwa Kumjenga pale akikosea ( akikengeuka ) mahala.

Sasa kama Wewe ( Rais ) tunayeamini kuwa una Taarifa zote na Ufahamu mwingi wa Kimaarifa iwe ni Binafsi au kupitia Wasaidizi wako kila mara ukizungumza au ukitolea Ufafanuzi Jambo muhimu ni lazima useme Neno I think ( Unadhani ) je, Sisi Watu wa kawaida mno nchini Tanzania akina MINOCYCLINE tusemeje au tutumie neno gani?

Mbele ya Watu very Serious na Werevu ndani na nje ya nchi nina uhakika ukiwa unasema ( unalitumia ) neno hili la Unadhani ( I think ) huwa Wanakudharau na hupoteza pia imani nawe na hata Credibility yako vile vile hushuka ( inashuka )

Binafsi neno Nadhani ( I think ) silipendi na hata huku Kimtaa Mtaa ( Mtaani ) nikiwa naongea na Mtu ( hasa kwa Jambo Muhimu ) halafu akiwa anasema Nadhani ( I think ) huwa namdharau na hata kutamani Nimzabe tu Kibao kwani huwa nahisi ni Mtu asiye Knowledgeable and Well Informed katika Mambo ( Masuala Mtambuka ) mengi ya Tanzania na nje ya Mipaka ya Tanzania.

Wasaidizi wa Rais msaidieni katika hili.
I think your argument is barbaric and baseless.
 
Back
Top Bottom