Hongera mkuu. Mama anaupiga mwingi sana.
Yule mama hana baya lolote...
Tumeshaelewa kwamba ndo umeanza kazi baada ya kusugua benchi.
Mkuu ulikuwa hujui kama Mama anaupiga mwingi
Wew kama nani nyumbu mmoja wa njano,1. Wanalalamika kuwa rais Samia kachagua mzee kuwa kamishina, kisa ni mwalimu wake.
-Mwendazake alichagua professor aliyemsimamia PHD yake kuwa katibu mkuu wa wizara X nasi tulikaa kimya....
Acha pombe MkuuNinacho kioo hapa mbele yangu,nataka nikiulize jambo gani litatokea Tanzania katika miezi sita ijayo. Lakini naona kwamba swali hilo litakuwa siyo halali,kwa sababu sijaona Rais wala Serikali imekwama katika kitu chochote.
Kioo,watu watauliza,"Kioo gani hicho?"
Kioo ni kifuniko cha taa ya pikipiki,ambacho kina umbo la dish,ambacho chini nimekipaka rangi nyeusi,halafu nakiweka juu ya kitambaa cheusi,nakiuliza maswali.
Una maana gan, Samia ndiye rangi nyeusi iliyopakwa nyuma ya kioo bila shaka?.[emoji1787]Ninacho kioo hapa mbele yangu,nataka nikiulize jambo gani litatokea Tanzania katika miezi sita ijayo. Lakini naona kwamba swali hilo litakuwa siyo halali,kwa sababu sijaona Rais wala Serikali imekwama katika kitu chochote.
Kioo,watu watauliza,"Kioo gani hicho?"
Kioo ni kifuniko cha taa ya pikipiki,ambacho kina umbo la dish,ambacho chini nimekipaka rangi nyeusi,halafu nakiweka juu ya kitambaa cheusi,nakiuliza maswali.