Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Mh Rais Shikamo, pole na majukumu, baada ya salamu nazitambua jitihada zako za mafanikio
I) Utatuzi wa changamoto za demokrasia.
II) Kurejesha ushirikiano wa kitaifa na kimataifa.
III) Kupandisha mishahara na madaraja kwa watumishi wa umma.
Iv) Kulipwa kiinua mgongo kwa watumishi wa vyeti feki.
V) Kuwaachia huru matajiri walokutana na dhuluba ya kusota lumande.
Vi) Kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa.
Vii) Na mengine keke wa kede.

Dhumuni langu ni kukukumbusha kundi lililosaulika ambalo lilikutana na dhuluba kali awamu ya 5 na wengine wameisha poteza maisha.

Mh Rais wahitimu wa kada ya Ualimu na Afya 2015 mpaka 2017 nami nikiwemo, tulianza vyuo kati ya 2012 mpaka 2014 ambapo serikali ya awamu ya nne ilituhakikishia ajira na ikatoa kipaumbele cha mikopo kwa watakao soma fani hizi,
Baada ya awamu ya tano kuingia kilichotokea sote tunakuja.

Mh Rais Samia Suluhu,kundi hili hatuna kikundi, ushirika, chama wala umoja wa wahitimu wa kusaidia kupaza sauti zetu

Kwa unyenyekevu mkubwa tunaomba ututazame tulisoma kwa maelekezo ya serikali ya chama cha mapinduzi.
 
Mtunza legansi na mlamba viatu hebu tulia mama anaifungua nchi acha tumsaidie
Anaifungua nchi kwa namna ipi na wakt anadororesha maswala ya maendeleo embu ustuchanganye nawe Kama huoni sisi tunaona Toka tulipokuwa mpka tulipo,katurudsha nyuma hatua nyingi,uchawa huo
 
6.Kujenga miradi ya maji.

7.Kuboresha elimu kwa kujenga madarasa na shule mpya.

8.Kuboresha haki za binadamu,

9.Kukuza Uchumi na biashara,

10.Kuleta mapinduzi ya kilimo kwa kutoa mbolea ya Ruzuku,pembejeo na kuanzisha kilimo cha umwagiliaji.
Sema wewe ndio umempokea ustuseme Bwana Mimi Ni mtanzania hata Kama Niko nje ya nchi ili usiniseme ,mm sjakubalian kbsa
 
Nasema tena
Asali imenifikia na inaonekana itakua ya kudumu hadi 2030.
Nasema tena Mama Yetu, yuko vizuri anaupiga mwingi na kazi zake zinajionesha na mambo anayoyafanya toka uhuru haijawahi kutokea.
Kwako wewe kaupiga mwingi na atapiga mpka achane net, Mimi nasubr nione huo mwingi unaishia wapi ,
 
AFanye moango PayPal ifanye kazi katika benki za Bongo maana BOT inazingua sana
 
Mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan,

Tumeona juhudi kubwa ulizofanya tangu ulivyoingia madarakani, unastahili pongezi kubwa, kama mtanzania nakuomba angalia sekta ya afya angalau ifikie level ambayo mtu ukilazwa na kufanyiwa operesheni ujue kuwa unaweza kupona. Nina maana kuwa operesheni za kawaida zinazofanywa Tanzania kupona ni kazi kubwa, wagonjwa wengi hawaponi, wanabaki na vidonda vya operesheni na wanakufa baada ya operesheni.

Mheshimiwa binafsi nafanya kwenye healthcare system (siyo surgeon) na nimeona watanzania wanavyoteseka na inaweza kukufanya ulie na ukae na huzuni maisha yako yote, sijui inakosewa wapi?

Nimefanya hospitali za rufaa zote za Tanzania lakini mheshimiwa rais vilio ni hivyo hivyo....WATU HAWAPONI.

Wengi wa watanzania hata kama wanahitaji operesheni wanaogopa kwa sababu uhakika wa kupona ni mdogo, siyo ugonjwa wenyewe bali kupona kutokana na procedures zenyewe.

Kuna tatizo kwenye hospitali zetu zote, na kubwa siyo vifaa bali ni ujuzi wa wataalamu na usafi, kuna shida kubwa ya sepsis, usafi ni tatizo na utumiaji wa vifaa, kuna vifaa vingi lakini hakuna waliofundishwa au waliopelekwa kozi na pia ufuatiliaji kama kweli wanafahamu.

Mheshimiwa rais, wizara ya afya imefanya kazi ya kusambaza vifaa na madawa lakini kilichokosekana ni UTAALAMU.

Navyooelewa kupeleka watu kuwafundisha haigharimu sana, hata kama ni gharama, basi kuna umuhimu wa kuwaleta wataalam wa kuwafundisha wataalam wetu hapa nyumbani na kuhakikisha wanaiva ili kuokoa maisha ya watanzania.

Mheshimiwa rais, tungekuwa na utaratibu wa kufuatilia wanaotibiwa hospitali zetu hasa surgeries, tungeweza kuona idadi kubwa ya wagonjwa ambao hawajapona au wamefariki. Mheshimiwa rais kuna shida kubwa sana na wenzetu huko mahospitalini wakiona huponi wanafukuza wagonjwa haraka haraka.

Mheshimiwa rais, haya mambo yapo wazi wazi na watu wamekuwa sugu, hawajali. Hayo yaliyotokea Bukoba ni tone la maji tu katika bahari.....yapo mengi.
Ushauri wangu:

1. Wataalam waendelezwe ili waweze kutoa huduma bora zaidi

2. Wagonjwa wanaopewa huduma ya operesheni na za kawaida waangaliwe ili serikali na wizara iwe na data zao kuona kama wamepona au la.

3. Ujenzi wa mahospitali na vituo vya afya ni muhimu, lakini pia viwekwe vifaa vyote vinavyohitajika na wataalamu wa kutumia wafundishwe. Majengo pekee hayatoshi mheshimiwa rais, tuna Mloganzila hospitali ya gharama lakini imekosa wataalamu wa maana, hawana ujuzi.

4. Kuwe na hospitali angalau mbili zenye uongozi wa madaktari mabingwa wa nje, kutoka kwenye nchi kama za Marekani, Uingereza, Ulaya na hata Cuba, ambazo zitakuwa za kulipia (siyo gharama kubwa), hizo zitakuwa na specialized treatments. Kuna shida sana za madaktari wazawa, bado tupo nyuma sana kwenye technology....Tupo nyuma sana. Hiyo itatupa changamoto pia kufanya vizuri kwenye hospitali hizo za rufaa na pia italeta health tourism.

Mheshimiwa rais, tunaweza kunyanyua huduma zetu za matibabu na tukafanya vizuri kwenye ukanda huu. Tunaofanya kazi huku tunajua weaknesses za system yetu, lakini tunaweza tukafanya vizuri sana kama tutatenga hospitali bora zaidi zenye wataalam wengi wa kutoka nje waliobobea na wanaofanya kazi nzuri kwa kuzingatia ethics za kazi. Kwetu sisi itatuchukua miaka mingi tuwe na discipline ya kazi.
 
We have to talk about Inflation, it's now our common problem , it Makes our people and everybody poorer .

Achaneni na Huu ujinga, Ushabiki maandazi , Kila siku Samia Samia Huku Kipande Cha sabuni Cha MO29 Kwa Sasa ni mia 900 .

Ni mpumbavu na Juha pekee ndo anaweza imba mapambio wakati Lita Tano za Mafuta ya kula Kwa Sasa unanunua elfu Arobaini.

Ni utaila , a mental disorder kujifanya kua hamuoni Kinachoendelea Kwa Raia wa chini .

Kuna Faida gani kufurahia Nyongeza ya 23% wakati Gharama za Maisha ziko juuu kupita kiasi ?

Alafu Kitu Zima Kila siku kuanzisha nyuzi ,Samia hivi, Samia vile Samia hivi ???

Wakulima wetu tunawasaidiaje ??

Katika hali kama hii, MTU UNAWEZAJE ZUIA SHUGHULI ZA UVIVU ??

Badala ya kuwasapoti WAKULIMA na WAVUVI wetu ili wazalishe Kwa wingi , kuondoa Presha kwenye Gharama za Bidhaa zao na kusaidia kushusha Mlipuko ???

Et Nimewapa Jambo?? Jambo gani?? Katika wakati Dunia Inapitia Magumu , Umeshindwa kuwacontrol wafanya biashara , na unaongeza waziwazi mishara , matokeo yake WAFANYABIASHARA wamejiamlia na Watumiaji nao wamepagawa kusikia 23% Kwa pamoja wsmesababisha Gharama za Maisha Kupanda Kwa Kasi ,. Huyu Raia wa chini anasaidia vipi,?

UPUMBAVU tu Kila KUKICHA .. Badala ya kuja nyuzi zenue mawazo ya kusaidia Serikali, na Watanzania Kwa ujumla, nyie bado mnaishi kwenye mawazo ya kikoloni??? HUUU UPUMBAVU UISHE MARA MOJA KABISA .

NA USIKUTE MTOA MADA NI KIJANA ??? UPUMBAVU KABISA.

We Have to act and tackle inflation now and not tomorrow , otherwise it's going to destroy our humanity, it's going to cost more families in the long run .

HATUWEZI KUKAA KUSUBIRIA ET DUNIA ILE KULE IWE STABILIZED KIUCHUMI NA SISI NDIO TUANZE JITIHADA.

BAHATI MBAYA SANA, KUANZIA RAIS, SERIKALI YAKE, NS WASOMI WACHUMU MAANDAZI WA TANZANIA, WAMESHINDWA KUJA NA SOLUTION BADALA YAKE KILA KITU " VITA YA UKRAINE, ATHARI , COVID-29"

JPM ANGEKUA HAI, NCHI INGEKUA MBALI SANA KIMAENDELEO... HII INFLATION TUNAYOISHUDIA LEO, HATA KAMA INGEKUWEPO ISINGEKUA KWA KIWANGO HIKI.

ACHENI UJUHA,UPUMBAVU NA UTAHIRA KUIMBA MAPIMBIO YASIYOENDANA NA HAKI HALISI.
 
Umempa za uso. Safi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…