Usipende kufanya maamuzi ukiwa na hasira. Shusha pumzi, tulia, kunywa maji pumzika then fanya maamuzi.We have to talk about Inflation, it's now our common problem , it Makes our people and everybody poorer .
Achaneni na Huu ujinga, Ushabiki maandazi , Kila siku Samia Samia Huku Kipande Cha sabuni Cha MO29 Kwa Sasa ni mia 900 .
Ni mpumbavu na Juha pekee ndo anaweza imba mapambio wakati Lita Tano za Mafuta ya kula Kwa Sasa unanunua elfu Arobaini.
Ni utaila , a mental disorder kujifanya kua hamuoni Kinachoendelea Kwa Raia wa chini .
Kuna Faida gani kufurahia Nyongeza ya 23% wakati Gharama za Maisha ziko juuu kupita kiasi ?
Alafu Kitu Zima Kila siku kuanzisha nyuzi ,Samia hivi, Samia vile Samia hivi ???
Wakulima wetu tunawasaidiaje ??
Katika hali kama hii, MTU UNAWEZAJE ZUIA SHUGHULI ZA UVIVU ??
Badala ya kuwasapoti WAKULIMA na WAVUVI wetu ili wazalishe Kwa wingi , kuondoa Presha kwenye Gharama za Bidhaa zao na kusaidia kushusha Mlipuko ???
Et Nimewapa Jambo?? Jambo gani?? Katika wakati Dunia Inapitia Magumu , Umeshindwa kuwacontrol wafanya biashara , na unaongeza waziwazi mishara , matokeo yake WAFANYABIASHARA wamejiamlia na Watumiaji nao wamepagawa kusikia 23% Kwa pamoja wsmesababisha Gharama za Maisha Kupanda Kwa Kasi ,. Huyu Raia wa chini anasaidia vipi,????
UPUMBAVU tu Kila KUKICHA .. Badala ya kuja nyuzi zenue mawazo ya kusaidia Serikali, na Watanzania Kwa ujumla, nyie bado mnaishi kwenye mawazo ya kikoloni??? HUUU UPUMBAVU UISHE MARA MOJA KABISA .
NA USIKUTE MTOA MADA NI KIJANA ??? UPUMBAVU KABISA.
We Have to act and tackle inflation now and not tomorrow , otherwise it's going to destroy our humanity, it's going to cost more families in the long run .
HATUWEZI KUKAA KUSUBIRIA ET DUNIA ILE KULE IWE STABILIZED KIUCHUMI NA SISI NDIO TUANZE JITIHADA.
BAHATI MBAYA SANA, KUANZIA RAIS, SERIKALI YAKE, NS WASOMI WACHUMU MAANDAZI WA TANZANIA, WAMESHINDWA KUJA NA SOLUTION BADALA YAKE KILA KITU " VITA YA UKRAINE, ATHARI , COVID-29"
JPM ANGEKUA HAI, NCHI INGEKUA MBALI SANA KIMAENDELEO... HII INFLATION TUNAYOISHUDIA LEO, HATA KAMA INGEKUWEPO ISINGEKUA KWA KIWANGO HIKI.
ACHENI UJUHA,UPUMBAVU NA UTAHIRA KUIMBA MAPIMBIO YASIYOENDANA NA HAKI HALISI.
Uwezo wako wa kifikra ni mdogo sana ndomana unakubali kubuzwaUsipende kufanya maamuzi ukiwa na hasira. Shusha pumzi, tulia, kunywa maji pumzika then fanya maamuzi.
Umetumia kipimo gani ?Uwezo wako wa kifikra ni mdogo sana ndomana unakubali kubuzwa
Shida yenu mnataka kufanyia watu maamuzi yani nani wa kumuunga mkono hapo ndipo mnapokosea, kama nyie mnakubali kazi za wengine basi acha na sisi tukubali kazi za Rais Samia Suluhu.Uwezo wako wa kifikra ni mdogo sana ndomana unakubali kubuzwa
Hujakatazwa kukubali unatakiwa uongee uhalisia sio ushabikiShida yenu mnataka kufanyia watu maamuzi yani nani wa kumuunga mkono hapo ndipo mnapokosea, kama nyie mnakubali kazi za wengine basi acha na sisi tukubali kazi za Rais Samia Suluhu.
Umeandika vizuri sana ila umetia doa pale uliposema,"JPM ANGEKUEPO TUNGEKUWA MABLI SANA," maisha unayoyaona leo yametokana na ubovu wa JPM katika mambo ya utawala bora na siasa zenye tija.We have to talk about Inflation, it's now our common problem , it Makes our people and everybody poorer...
Huo ndio uhalisia wangu na sio ushabiki. Labda wewe umesoma kwenye angle ya ushabiki.Hujakatazwa kukubali unatakiwa uongee uhalisia sio ushabiki
Inaonekana kwamba wewe una UHABA WA TAARIFA SANA, do research na ujue hali ilivyo dunia nzima alafu rudi Tanzania. Shida ya watu kama nyie ni kwamba kila kitu mnapinga bila hata sababu ya msingi. Remember hate is not good for your health.We have to talk about Inflation, it's now our common problem , it Makes our people and everybody poorer...
Acha ujuha na utahila, hata kama unatafuta Uteuzi..Usipende kufanya maamuzi ukiwa na hasira. Shusha pumzi, tulia, kunywa maji pumzika then fanya maamuzi.
Ndio maana nmekuambia, wewe ni ka kijana kakike/kakiume hasara Kwa wazazi wako na uliyeshibisha Ubongo wako matope yakufugia minyoo.Inaonekana kwamba wewe una UHABA WA TAARIFA SANA, do research na ujue hali ilivyo dunia nzima alafu rudi Tanzania. Shida ya watu kama nyie ni kwamba kila kitu mnapinga bila hata sababu ya msingi. Remember hate is not good for your health.
Umenena vizuriAcha ujuha na utahila, hata kama unatafuta Uteuzi..
Furahia Teuzi unayoipata Kwa kua na Mawazo mchango kwenye Taifa lako .
UPUMBAVU Huu wa kusifu sifu ndio unaopelekea Taifa la watu million zaidi ya 50 kua na baadhi ya Ma DC , Ma RC, DED , RAS ,Wakurugenzi wa TAASISI very Vichwa Maji maji kabisa na Vitunguu maji.
Alafu Ukihoji utasikia "HESHIMU MAMLAKA"...
hii Mentality ya kikoloni ni ujuha na UPUMBAVU ulopitiliza , katika Karne hii ambayo Kila Kiongozi anapambania "Utaifa na Raia wake".
Kua na viongozi kama Hawa tulonalo ni zaidi ya Adhabu ambayo Mungu katupatia.
JPM ni kazi zake ,UTHUBUTU, Uadilifu, uchapakazi wake , ndio ULIMPA URAIS WA NCHI HII.
KAMWE Hayati hakua lopolopo, hakujikomba, hakusifia mtu ili mradi achaguliwe uwaziri , Kuna wakati alitishia hata kuacha kazi zake ili tu kuheshim Principles za Kichwa chake, na Uzalendo wake Kwa Taifa.
Sasa Vijana wa Leo, Mmekua hovyoo hovyo ,yaaan hata Elimu zenu zimekua maji ,hazina Msaada Kwa Taifa, mnaangalia kupiga Domo, ili upewe uDED.
Unajielezea sana shida ndipo ilipoanzia.Ndio maana nmekuambia, wewe ni ka kijana kakike/kakiume hasara Kwa wazazi wako na uliyeshibisha Ubongo wako matope yakufugia minyoo.
Et huna Taarifa, ....do research ..hali ilivyo Dunia nzima ..
Mjinga Mmoja wee... Zambia na Malawi wanapitisha Mafuta kwenye Bandari zetu.. lkn hayo hayo mafuta kwao ni angalau Bei inaunafuu , huku Watanzania wakiliaa...
Zambia na Malawi wao wako Dunia gani ??? Wao hawaguswi na hali ya Dunia??.
Ninarudia kusema, Taifa linapitia kipindi ambacho Lina Vijana baadhi wapuuzi sana .
Na hajaishia hapo tu kuimalisha mahusihano ya kimataifa. Na kwenye sekta ya utali kupitia royol tour imezidi kuongeza watalii wanaokuja kutaliiMimi ni miongoni mwa wanaoamini utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu katika muda mfupi aliokaa madarakani, umefanikiwa kubadili taswira ya Taifa letu kiuchumi, kijamii, kidemokrasia na hata kuiletea heshima nchi yetu katika suala zima la utawala bora na haki za binadamu.
Rais Samia Suluhu ni kiongozi bora wa Taifa letu. Anahitaji pongezi na tuzidi kumuombea kwa Mungu.Na hajaishia hapo tu kuimalisha mahusihano ya kimataifa. Na kwenye sekta ya utali kupitia royol tour imezidi kuongeza watalii wanaokuja kutalii