Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Kila binadamu anatakiwa apate muda wa kulala.
Wewe ndio una akili finyu ya uelewa,ile ile ni lugha ya picha tuu kwamba wasidhani wameteuliwa kwenda kufanya ufujaji na sherehe,akaongezea kwamba Unapata wapi mda wa kulala?
Swali utafanya Kazi bila kula? Kuna mtu ambae huwa halali?
Kuna watu mna akili ndogo Sana aisee.
 
Jana nimemsikia Rais Samia kwenye hotuba yake wakati wa kuapisha viongozi aliowateua

Pamoja na kuunga mkono sehemu kubwa ya hotuba yake ila Rais wangu aliniangusha pale alipozungumzia kuhusu watu kuchoma nyama na kunywa kama marafiki....

Kwa leo naomba niishie hapa!
Uelewa mdogo
 
Kila Rais wa Tanzania anaingia madarakani akiwa na hisia kwamba mwenzake alikosea anavuruga weee ingawa hatuoni marekebisho ya kutusogeza mbele.

Hii ni tabia mbovu inayoifanya CCM ishindwe kuwa chama bora cha siasa katika nchi hii. Hatuna mbadala maana wapinzani nao sasa wameufyata! Mbowe yuko hoi, Mbatia out! CUF, ACT.. uchafu tu! Inabidi tuendelee kupiga kelele kwa hawa wanaolindwa Ikulu.

Rais Samia, hatuhitaji kusimuliwa historia, kuna wakati….bhla-bhla! Kuna kipindi…. bhla-bhla! Mwenzangu alikuwa…. bhla-bhla!

Wewe ni Rais unayelindwa na kutunzwa na raslimali za wa-TZ. Tunataka maono yako siyo kusimulia ya zamani!! Ubaya wa Samia anadhani historia ya nchi hii imeanzia kwake na Magufuli, No! Ukitaka historia anzia kwa akina Nyerere, Karume, Jumbe, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Komando, Karume, n.k.

Hizi hadithi za kujikosha zinaonesha bado tuna shida ya uelewa wa marais wetu.
 
We have the best president ever existed before in this nation. Her voice is eminating peace and her facial expression is registering love. What else do we want?

The 5th phase president (actually he was a dictator) was spitting anger, and his eyes illuminated hate. He was a fear-monger and architect of evils.
 
Kila Rais wa Tanzania anaingia madarakani akiwa na hisia kwamba mwenzake alikosea anavuruga weee ingawa hatuoni marekebisho ya kutusogeza mbele.

Hii ni tabia mbovu inayoifanya CCM ishindwe kuwa chama bora cha siasa katika nchi hii. Hatuna mbadala maana wapinzani nao sasa wameufyata! Mbowe yuko hoi, Mbatia out! CUF, ACT.. uchafu tu! Inabidi tuendelee kupiga kelele kwa hawa wanaolindwa Ikulu.

Rais Samia, hatuhitaji kusimuliwa historia, kuna wakati….bhla-bhla! Kuna kipindi…. bhla-bhla! Mwenzangu alikuwa…. bhla-bhla!

Wewe ni Rais unayelindwa na kutunzwa na raslimali za wa-TZ. Tunataka maono yako siyo kusimulia ya zamani!! Ubaya wa Samia anadhani historia ya nchi hii imeanzia kwake na Magufuli, No! Ukitaka historia anzia kwa akina Nyerere, Karume, Jumbe, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Komando, Karume, n.k.

Hizi hadithi za kujikosha zinaonesha bado tuna shida ya uelewa wa marais wetu.
KATIBA mpya itoe DIRA na MAONO ya nchi Kwa miaka mingi ijayo, Marais wote waifuate. ASIWEPO wa kuja na mawazo binafsi.

Ameen
 
Mmepigwa za macho sivyo!! Unapoanza kulaumu wapinzani Chadema, Cuf, NCCR , etc wao wanalaumika vip, utafikiri ndo wenye serikali!!

Kama mitanzania imekaa tu kama mizuzu kila inachoambiwa inakuwa mikondoo tu wao wafanyeje? Nao ni watu wanachoka, wameamua kukaa kimya gari lijiendee tu mpaka mikondoo itakapozinduka!!
 
Kila Rais wa Tanzania anaingia madarakani akiwa na hisia kwamba mwenzake alikosea anavuruga weee ingawa hatuoni marekebisho ya kutusogeza mbele.

Hii ni tabia mbovu inayoifanya CCM ishindwe kuwa chama bora cha siasa katika nchi hii. Hatuna mbadala maana wapinzani nao sasa wameufyata! Mbowe yuko hoi, Mbatia out! CUF, ACT.. uchafu tu! Inabidi tuendelee kupiga kelele kwa hawa wanaolindwa Ikulu.

Rais Samia, hatuhitaji kusimuliwa historia, kuna wakati….bhla-bhla! Kuna kipindi…. bhla-bhla! Mwenzangu alikuwa…. bhla-bhla!

Wewe ni Rais unayelindwa na kutunzwa na raslimali za wa-TZ. Tunataka maono yako siyo kusimulia ya zamani!! Ubaya wa Samia anadhani historia ya nchi hii imeanzia kwake na Magufuli, No! Ukitaka historia anzia kwa akina Nyerere, Karume, Jumbe, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Komando, Karume, n.k.

Hizi hadithi za kujikosha zinaonesha bado tuna shida ya uelewa wa marais wetu.
Anachofanya Samia ni sahihi. Magufuli aliharibu nchi vibaya sana na kupandikiza UWONGO. Ni jukumu la Rais aliyepo madarakani kusahihisha ili WATANZANIA wote wawe na uelewa sahihi.

Kwa mfano Magufuli alikuwa anasema anajenga kwa hela za ndani wakati kiukweli alikuwa anakopa kutoka mabenki ya nje na ndani. Kama Samia hatasema wananchi watadhania kuwa yeye hana uwezo wa kujenga.

Au kitendo cha kupokea gawio kutoka mashirika mufilisi kama TTCL ilikuwa ni UHAYAWANI tu wa Magufuli kutaka sifa za KIJINGA.

Taratibu iko siku tutatajiwa ni nani alituma watu waliomshambulia Tundu Lissu bungeni.
 
Kweli mkuu na mfano mzuri ni Jiwe.
Hata huyu Samia ni hayo hayo tu! Unavyoona usomi anaonekana kuwa mtu mwenye fikra? Naona kama mtu anayesubili la kuambiwa tu. Hawa wote; nilipomuona Samia anacheza taarabu, nikamuona Kikwete akicheza diso, nikamuona Mkapa akicheza kwenye arusi, basi!
 
We have the best president ever existed before in this nation. Her voice is eminating peace and her facial expression is registering love. What else do we want?

The 5th phase president (actually he was a dictator) was spitting anger, and his eyes illuminated hate. He was a fear-monger and architect of evils.
Mlamba asali ktk ubora wako 😄..Kila Zama na wapiga mapambio wake
 
We have the best president ever existed before in this nation. Her voice is eminating peace and her facial expression is registering love. What else do we want?

The 5th phase president (actually he was a dictator) was spitting anger, and his eyes illuminated hate. He was a fear-monger and architect of evils.
Duh. Zis English is illuminating, irritating, nincompoop, uncooth, taiwanianation, americation, hypppopotamasing etc
 
Hukumuelewa.ndio tatizo la "kusomea barua m' bahasha".(msemo wa kiswahil unaomaanisha kutoa maelezo ilihali huna uhakika.
Kasema RC ni hadhi ya Juu uwe mwajibikaj sio kuunda syndicate na kuanza kupiga maji.Rc hana rafiki ili uweze ku exercise mamlaka.
 
Back
Top Bottom