MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
mbona unakwepa kujibu swali?Pale mama yetu aliteleza! Tumsaidie Mama yetu tusimpotoshe
Swali gani?mbona unakwepa kujibu swali?
Mama yenu wewe na nani?Aliteleza tu mama yetu ndo mana tunamshauri hapa
Watanzania woteMama yenu wewe na nani?
Wewe ndio una akili finyu ya uelewa,ile ile ni lugha ya picha tuu kwamba wasidhani wameteuliwa kwenda kufanya ufujaji na sherehe,akaongezea kwamba Unapata wapi mda wa kulala?
Swali utafanya Kazi bila kula? Kuna mtu ambae huwa halali?
Kuna watu mna akili ndogo Sana aisee.
Uelewa mdogoJana nimemsikia Rais Samia kwenye hotuba yake wakati wa kuapisha viongozi aliowateua
Pamoja na kuunga mkono sehemu kubwa ya hotuba yake ila Rais wangu aliniangusha pale alipozungumzia kuhusu watu kuchoma nyama na kunywa kama marafiki....
Kwa leo naomba niishie hapa!
Usinihusishe na huo ukondooWatanzania wote
Kingai amekua DCIYeye mbona akiwa anapiga vitu vyake vikali hakuna anaye mjadili
KATIBA mpya itoe DIRA na MAONO ya nchi Kwa miaka mingi ijayo, Marais wote waifuate. ASIWEPO wa kuja na mawazo binafsi.Kila Rais wa Tanzania anaingia madarakani akiwa na hisia kwamba mwenzake alikosea anavuruga weee ingawa hatuoni marekebisho ya kutusogeza mbele.
Hii ni tabia mbovu inayoifanya CCM ishindwe kuwa chama bora cha siasa katika nchi hii. Hatuna mbadala maana wapinzani nao sasa wameufyata! Mbowe yuko hoi, Mbatia out! CUF, ACT.. uchafu tu! Inabidi tuendelee kupiga kelele kwa hawa wanaolindwa Ikulu.
Rais Samia, hatuhitaji kusimuliwa historia, kuna wakati….bhla-bhla! Kuna kipindi…. bhla-bhla! Mwenzangu alikuwa…. bhla-bhla!
Wewe ni Rais unayelindwa na kutunzwa na raslimali za wa-TZ. Tunataka maono yako siyo kusimulia ya zamani!! Ubaya wa Samia anadhani historia ya nchi hii imeanzia kwake na Magufuli, No! Ukitaka historia anzia kwa akina Nyerere, Karume, Jumbe, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Komando, Karume, n.k.
Hizi hadithi za kujikosha zinaonesha bado tuna shida ya uelewa wa marais wetu.
Anachofanya Samia ni sahihi. Magufuli aliharibu nchi vibaya sana na kupandikiza UWONGO. Ni jukumu la Rais aliyepo madarakani kusahihisha ili WATANZANIA wote wawe na uelewa sahihi.Kila Rais wa Tanzania anaingia madarakani akiwa na hisia kwamba mwenzake alikosea anavuruga weee ingawa hatuoni marekebisho ya kutusogeza mbele.
Hii ni tabia mbovu inayoifanya CCM ishindwe kuwa chama bora cha siasa katika nchi hii. Hatuna mbadala maana wapinzani nao sasa wameufyata! Mbowe yuko hoi, Mbatia out! CUF, ACT.. uchafu tu! Inabidi tuendelee kupiga kelele kwa hawa wanaolindwa Ikulu.
Rais Samia, hatuhitaji kusimuliwa historia, kuna wakati….bhla-bhla! Kuna kipindi…. bhla-bhla! Mwenzangu alikuwa…. bhla-bhla!
Wewe ni Rais unayelindwa na kutunzwa na raslimali za wa-TZ. Tunataka maono yako siyo kusimulia ya zamani!! Ubaya wa Samia anadhani historia ya nchi hii imeanzia kwake na Magufuli, No! Ukitaka historia anzia kwa akina Nyerere, Karume, Jumbe, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Komando, Karume, n.k.
Hizi hadithi za kujikosha zinaonesha bado tuna shida ya uelewa wa marais wetu.
Hata huyu Samia ni hayo hayo tu! Unavyoona usomi anaonekana kuwa mtu mwenye fikra? Naona kama mtu anayesubili la kuambiwa tu. Hawa wote; nilipomuona Samia anacheza taarabu, nikamuona Kikwete akicheza diso, nikamuona Mkapa akicheza kwenye arusi, basi!Kweli mkuu na mfano mzuri ni Jiwe.
Kama mama yako hakuwa na maono usifikirie wote hawana maonoUnaulizia maono yake ?! Kuna maono gani hapo ?! Mwanamke ni mwanamke tu
Ova and out
Mlamba asali ktk ubora wako 😄..Kila Zama na wapiga mapambio wakeWe have the best president ever existed before in this nation. Her voice is eminating peace and her facial expression is registering love. What else do we want?
The 5th phase president (actually he was a dictator) was spitting anger, and his eyes illuminated hate. He was a fear-monger and architect of evils.
Duh. Zis English is illuminating, irritating, nincompoop, uncooth, taiwanianation, americation, hypppopotamasing etcWe have the best president ever existed before in this nation. Her voice is eminating peace and her facial expression is registering love. What else do we want?
The 5th phase president (actually he was a dictator) was spitting anger, and his eyes illuminated hate. He was a fear-monger and architect of evils.
Mbona tayari ni kondooUsinihusishe na huo ukondoo