Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
View attachment 2389907
Hilo la kupambana ili ukamilishwaji wa miradi ya mamilioni iliyoachwa na mtangulizi wake JPM ufikiwe hakika dada Samia ameupiga mwingi sana!
Unapoongelea SGR, Bwawa la Nyerere, Daraja la Busisi, majengo ya Hospitali za Kanda na ujenzi wa barabara zilizoanzishwa na mwendazake hakika unaongelea mabilioni ya Tsh ambazo kwazo pasipo na utashi wa kisiasa wa Samia isingeendelezwa abadani.
Kwalo, nakupongeza sana dada yetu Samia.
Kwa hapo anasimamia vizuri ile dhana ya katiba ya sasa ya VP kuwa Rais kama Rais ataondoka kwenye kiti chake kwa kuumwa au kufariki...Anaendeleza maono ya kilichopigiwa kura na wananchi...Hongera sana Mh. Rais kwakusimamia katiba ya nchi yetu kama ulivyoapaView attachment 2389907
Hilo la kupambana ili ukamilishwaji wa miradi ya mamilioni iliyoachwa na mtangulizi wake JPM ufikiwe hakika dada Samia ameupiga mwingi sana!
Unapoongelea SGR, Bwawa la Nyerere, Daraja la Busisi, majengo ya Hospitali za Kanda na ujenzi wa barabara zilizoanzishwa na mwendazake hakika unaongelea mabilioni ya Tsh ambazo kwazo pasipo na utashi wa kisiasa wa Samia isingeendelezwa abadani.
Kwalo, nakupongeza sana dada yetu Samia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji117] Yaani limeenda saana ni 2.5 BKwa kukilinda chama chetu cha mapinduzi; jumuiya zetu pamoja na sisi wanachama tunapaswa kuwa mstari wa mbele kuhoji au kukosoa pale tunapoona mambo hayako sawa. Tusiwe wapongezaji na wasifu juhudi tu, tunayo nafasi ya kuhoji pia.
Je, hili daraja lina thamani ya B. 7?View attachment 2431636