TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Swali la kujiuliza chanzo cha ongezeko la bajeti limetokana na uzalishaji mali nchini na kuuza mali hizo Nje ya nchi kwa wingi au ni njie nyingine ambayo si endelevu?Hakuna wizara ambayo hujaiongeza bajeti.
Ee Mungu tunashukuru kwa ulinzi wako. Tunaomba utujaalie baraka jumapili ikawe njema kwetu. Kipekee tunamuombea mh Rais mama yetu kipenzi aendelee kuwa mwenye afya njema Amen. Mkawe na asubuhi njemaView attachment 2675891
these are petty isues....kuuza nchi hizo shughuli watazifanyia wapi?Wakuu,
Kabla ya mada husika, tusisahau kuendelea kuukataa mkataba wa bandari. Ni mkataba wa aibu kwa Taifa letu.
Twende kwenye mada, Mh Rais Samia na serikali yake wamefuta obligation kwa makampuni ambayo hayakuwa na sifa za kulipa kodi ya SDL ku fill returns. Hili kwa haraka unaweza kufikiri ni dogo lakini limeumiza wengi sana.
Mtu anafungua kampuni na ameajiri msaidizi mmoja bado akiwa na mtaji mdogo lakini baadae anakutana na fine and penalties kwa kuto fill SDL returns ambayo hana sifa za kuilipa. Inabidi awe na mhasibu ku fill nil returns kila mwezi.
Hii ni moja ya usumbufu wa kikodi uliochelewa sana kufutwa.
Asante sana mama Mh Rais Samia!
MKATABA WA BANDARI HAUFAI! UFUTWE AU UREKEBISHWE!
Well deserved petty issues [emoji23]these are petty isues....kuuza nchi hizo shughuli watazifanyia wapi?
Je, hicho alichofanya ndio suluhisho la kudumu juu ya tatizo husika? Kwa nini hautafakari kwa kina na kumshauri Rais afikirie kuifuta Sheria mbaya na kandamizi iliyopelekea kuanziahwa kwa hilo tatizo ambalo wewe unaliona kama kero na kikwazo kwa wafanyabiashara wengi?Wakuu,
Kabla ya mada husika, tusisahau kuendelea kuukataa mkataba wa bandari. Ni mkataba wa aibu kwa Taifa letu.
Twende kwenye mada, Mh Rais Samia na serikali yake wamefuta obligation kwa makampuni ambayo hayakuwa na sifa za kulipa kodi ya SDL ku fill returns. Hili kwa haraka unaweza kufikiri ni dogo lakini limeumiza wengi sana.
Mtu anafungua kampuni na ameajiri msaidizi mmoja bado akiwa na mtaji mdogo lakini baadae anakutana na fine and penalties kwa kuto fill SDL returns ambayo hana sifa za kuilipa. Inabidi awe na mhasibu ku fill nil returns kila mwezi.
Hii ni moja ya usumbufu wa kikodi uliochelewa sana kufutwa.
Asante sana mama Mh Rais Samia!
MKATABA WA BANDARI HAUFAI! UFUTWE AU UREKEBISHWE!
Kwanza tatizo halipo tena. Good job kwa Mh Rais.Je, hicho alichofanya ndio suluhisho la kudumu juu ya tatizo husika?
Kwahiyo usumbufu wa kuzikorokochowa EFD zetu haupo Tena?Wakuu,
Kabla ya mada husika, tusisahau kuendelea kuukataa mkataba wa bandari. Ni mkataba wa aibu kwa Taifa letu.
Twende kwenye mada, Mh Rais Samia na serikali yake wamefuta obligation kwa makampuni ambayo hayakuwa na sifa za kulipa kodi ya SDL ku fill returns. Hili kwa haraka unaweza kufikiri ni dogo lakini limeumiza wengi sana.
Mtu anafungua kampuni na ameajiri msaidizi mmoja bado akiwa na mtaji mdogo lakini baadae anakutana na fine and penalties kwa kuto fill SDL returns ambayo hana sifa za kuilipa. Inabidi awe na mhasibu ku fill nil returns kila mwezi.
Hii ni moja ya usumbufu wa kikodi uliochelewa sana kufutwa.
Asante sana mama Mh Rais Samia!
MKATABA WA BANDARI HAUFAI! UFUTWE AU UREKEBISHWE!
Utaambulia matusi humu...Kwanza tatizo halipo tena. Good job kwa Mh Rais.
Hapana ni kodi ya Skills and Development levy.Kwahiyo usumbufu wa kuzikorokochowa EFD zetu haupo Tena?
Kampuni zote sasa hivi zina EFD, sasa kama hakuna oparesheni na ninalipa provisional tax bado naendekea kujaza returns nil?Hapana ni kodi ya Skills and Development levy.
"Maendeleo ya kweli ni matokeo ya changamoto zitokanazo na wakosoaji, siyo wingi wa wafuasi".Utaambulia matusi humu...
Humu hawataki habari zozote nzuri kuhusu mazuri....sadists people only thrives in negativity
Kama hakuna operations unatakiwa uwe una print nil Z report kwenye machines. Kama unaona ni usumbufu unatoa taarifa rasmi TRA Kama biashara imesimama.Kampuni zote sasa hivi zina EFD, sasa kama hakuna oparesheni na ninalipa provisional tax bado naendekea kujaza returns nil?
Umeshapanic πππthese are petty isues....kuuza nchi hizo shughuli watazifanyia wapi?