Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Namaliza kuandika na umeme unakatika. Sio mbaya mama umeupiga mwingi hatujawahi kuamka na umeme kijijini kwetu
 
Rekebisha.
Samia.
Suluhu.
Hassan.
Rais.
Jamhuri.
 
Morogoro mjini Umeme kukatika n lazima KILASIKU hata sahivi navoandika umeme haupo unaweza kufua na kuandika nguo kwenye nyaya za umeme bila wasiwasi...
Mama anaupiga mwingi sana
 
Unafikiri ni kwa nini Rais samia hatoshi kuoiongoza nchi hii, ni mahali gani amepungua kiasi cha kutokutosha kuongoza?

Kwa nini wewe unaona anatosha? Ni mambo gani wewe yanakufanya uone Rais wetu anafaa sana kuendelea kuongoza nchi yetu

Tafadhari, majungu peleka kwenu!

Sema ukweli wako
 
Unataka Melo ashitakiwe? au uwafahamu Chawa wa Mama wanavyokuja juu mama akiguswa.
Bytheway unahitaji ushahidi gani? Kwani wewe ni mgeni hapa Tanzania?
Mtu anasema nchi kupata maendeleo haitajiki Katiba, wewe bado unahitaji ushahidi tena wa nini? Au una lengo gani?
 
Kiongozi makini na bora anaangliwa kwa kufanikisha mambo yafuatayo
i) Kutengeneza ajira
ii) Kukuza uchumi na kuleta maendeleo
iii) Uvumilivu
iv) Kutekeleza Ahadi

Mambo ambayo Rais Samia anayafanya hivyo kiatu Cha uongozi wa nchi yetu kakivaa na kinamtosha vema
 
Kwa kuanzia tu Mimi GENTAMYCINE nasema Katiba Mpya inasaidia Mtu kujitambua, kuwa na Akili ( asikosee Kipopoma kwa kusema haileti Maendeleo ) na kupanga Mipango thabiti ambayo itasaidia kuleta Maendeleo yako, ya Jamii na ya Taifa ( nchi ) nzima.

Tukisema mna Udhaifu mnatuchukia.
 
Sina la kusema zaidi ya kukaa kitako na kutafakari, maana huwa Mkubwa akikosea huwa anaguna na kujirekebisha na akivuka mavazi huchutama tu, aibu sio sehemu ya maisha ya Mwadamu bali ni makosa ya kibinadamu kwaajili ya tamaa za ki Ulimwengu na ulevi wa Madaraka.
 
Hivi kuna diwani, mbunge, mwenyekiti wa kijiji/mtaa/kitongoji ambaye hajui katiba? Kama kuna ambao hawajui basi tuna safari ndefu ya kuwafundisha wajue. Vinginevyo majibu ndiyo hayo mliyoyasikia
 
Ile Kashfa Kubwa ( ya Magomeni Mapipa kwa Macheni ) iliyopelekea kuanzishiwa Uzi hapa JamiiForums uliitolea ufafanuzi ili Usafishike?
Out of topic, unaleta mada tofauti na huu uzi, jitafakari mkuu usijifanye intelligent kubwa bichwa imejaza miuji tu [emoji57][emoji57]
 
Out of topic, unaleta mada tofauti na huu uzi, jitafakari mkuu usijifanye intelligent kubwa bichwa imejaza miuji tu [emoji57][emoji57]
Ile Kashfa Kubwa ( ya Magomeni Mapipa kwa Macheni ) iliyopelekea kuanzishiwa Uzi hapa JamiiForums uliitolea ufafanuzi ili Usafishike?
 
Hatutochoka kumkosoa Samia mtangulizi wake na ukali wake tulimkosoa Urais sio Uungu!!

Urais sio cheo cha malaika au cha Mungu baba useme hutokosolewa

Wembe tuloutumia kumnyolea mtangulizi wake tutamnyolea na yeye asidhani tunamuogopa

Kama anatafuta huruma na hataki kukosolewa basi ajiuzulu Urais akalee wajukuu Kizimkazi nchi na ikulu sio mali ya familia

Huwezi kuendesha nchi hovyo hovyo halafu unataka tukukenulie tuseme unaupiga mwingi

Tuna bahati mbaya sana kuwa na Rais kama huyu!!

,kwanza tokea kaingia ni lipi la maana kalifanya zaidi ya kuzurura tu na kutuongezea makodi na matozo?Halaf eti anataka huruma wa wananchi

Kwanza mpeni taarifa kwamba mtaani hawamuelewi hata apige kelele hadi moto utoke mdomoni hatumuelewi ng'oo!!

Eti anaupiga mwingi[emoji35][emoji35] kuupiga mwingi my foot!!
 
Ila ujipange kama uko front
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…