Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Njegere kwani amesomea nini?
Isije ikawa alisoma HKL halafu anaongoza wababe waliosoma PMM na PCM. ( wengi wenu hii combi ya PMM hamkuikuta.)
 
Wakati tuko mbioni kupata Rais mpya wa sita katika awamu ya tano. Tunamsihi sana apate kutekeleza majukumu yake katika Maslahi Mapana ya taifa. Na apate kutambua pia maana ya kauli ya Maslahi Mapana ya taifa. Maana viongozi wengi huamini Maslahi ya taifa Ni katika vitu tu hususa (miundo mbinu, rasili Mali vitu, n.k) na hukomea hapo.

Kiuhalisia si hivyo, Maslahi Mapana ya taifa huanzia kuunganisha taifa lipate kuwa kitu moja bila kujali itkadi za aina yoyote si za kisiasa na si za kiimani na si kikabila wala za kijinsia. Lengo hapa ni taifa lipate kushikamana na kushirikiana bila chuki Wala ubaguzi. Utawala uliopita ndani yake ulikuwa na chuki na ubaguzi wa wazi wazi.

Pili Maslahi Mapana ya taifa ni upande wa kuindaa rasili Mali watu (wananchi), katika fikra na mawazo ya kisasa na kuwaondolea ujinga (kiufupi ni kuwekeza taasisi za elimu katika elimu ya kisasa ya kuendana na Karne ya 21). Elimu ya Sasa iliyipo nchini Ni duni, maana kwa asilimia zaidi ya 80 Ni theory oriented. Wananchi ndio taifa lenyewe, hawa wananchi hutegemea wameandaliwa na elimu ya ubora aina gani.

Kwa uchumi wetu hatuwezi kutoa elimu bure, na tukitoa elimu basi itakuwa Bora na si elimu Bora. Elimu Bora ni gharama.
Sasa Ni Bora tukawa wananchi elfu 20 wenye elimu Bora (quality education, compatible with 21 century environment) na tukawa wananchi million 60 wanaoujua kusoma na kuandika?

Tatu Maslahi Mapana ya taifa ni pamoja na Sera na Sheria wezeshi kwa wananchi wake. Mfano utawala uliopita Sera za Kodi Ni kandamizi, hazimuinui mwananchi. Tukumbuke mwananchi nae anapaswa kuendelea kiuchumi, na serikali inapaswa kuendelea kiuchumi. Sera za Kodi za Sasa so rafiki kwa mwananchi, Bali Ni rafiki kwa serikali. Kwa biashara za watanzania wengi hususa wa mtaji mdogo baada ya makato ya Kodi na Kodi ya pango hujikuta wamepata pesa ya kula, kuvaa, n.k hapati faida ya kumfanya hafungue biashara nyingine, kiufupi apigi hatua nyingine.

4: Maslahi Mapana ya taifa Ni pamoja na utawala Bora na taasisi imara. Tanzania haitaji kiongozi imara inahitaji taasisi imara za kiserikali. Maana taasisi hudumu Karne na Karne, lakini kiongozi ufa au humaliza muda wake. Ndio maana baada Magufuli alivyokufa watu wametandwa na hofu, yote Ni tokana hatuna taasisi imara, serikali ya awamu tano ilisimama si tokana na taasisi imara Bali raisi imara.

Taasisi imara husimikwa na katiba na Sheria za. Nchi, maanake ya Sasa katiba inapaswa kubadilishwa.
Tuendelee Kumpongeza Mama
 
Watanzania wa hivyo hawapo siku hizi, na hili ndilo mlilotegemea, ila mmekuja kushangaa mpo uchi kwenye kadamnasi
Hakuna mtu namkubali kama kipanya
20230916_194933.jpg
 
MAMA, Jambo likiwa na kelele nyingi jua maslahi yake makubwa, kama katika utaratibu wake hakuna tashwishwi yoyote iliyojificha ndani yake yenye maslahi ya binafsi endelea na bandari lakini kama kuna msukumo wa faida ya watu wachache achana nalo kwa maana ukikomaa nalo litakutesa bali kama si hivyo endelea Mungu atakuwa pamoja na wewe.

Hata kama lina manufaa wampe miaka 5
 
Jana wasomi wa nchi hii waliounda kamati ya kuchunguza na kushauri maboresho ya wizara ya mambo ya nje walitoa ripoti yenye pendikezo la kuhamishia wizara ya mambo ya nje kwenda Ofisi ya Rais. Hii ilikuwa moja kati ya mapendekezo mengi.

Mhe. Rais kwa Busara kabisa akawaambia pendekezo lenu sijaliafiki means alifahamu kwamba kinachopendekezwa ni kuunda wizara yenye mtazamo wa security zaidi kuliko mtizamo wa kiuchumi na maendeleo.

Mhe. Rais alifahamu kwamba wizara hii inajikinga ukaguzi pamoja na kufanya kazi kwa uwazi. Unapokuwa chini ya ofisi ya Rais means kila Baya linamwangukia Rais na hivyo hakuna baya la taasisi zilizopo chini yake litakaloruhusiwa kujadiliwa kwa upana kwani kujadili huko kutamchafua.

Niwaombe wasomi na maafisa diplomasia wajitahidi sana kuwa na fikra zakujisimamia kuliko kusimamiwa. Badala wana diplomasia watafute uhuru wao wanapendekeza kuuza uhuru wao.

Hongera sana Mhe. Rais kwa kuona madhara makubwa yanayoweza kutokea endapo diplomasia ya nchi itafichwa ikulu.
 
Yapata miaka sitini na moja(61) tangu nchi ya TANZANIA kujipatia uhuru wake wa bendera kutoka kwa wahuni wa magharibi na imepita miaka 43 tangu kuanzishwa kwa mfumo kandamizi wa kisasa dhidi ya nchi za daraja la 2 na 3(structure adjust programmes).

Kwa kutumia taasisi zao za unyonyaji wanaendelea kudidimiza haki na uhuru wa nchi za daraja la chini.Katika kujikomboa na kufurahisha ngozi nyeupe CCM ikanasa kwenye mtego wa wakoloni kwa kuwa hali ilikuwa mbaya mpaka ilifikia BABA WA TAIFA(happy born day) kuchanganyikiwa na kuiacha nchi huku majaribio mengi ya kupinduliwa yakishindikana.akaja MWINYI kuondoa aibu ya kushindwa kwa nyerere akaitwa mzee wa ruksa pia alikuwa ni mwenye mapungufu kibao.

MKAPA aliendelea kuendeleza sera za kigeni zenye lengo au mlengwa wa kuendelea kuuwa uchumi wa afrika (privatization) japo alionekana amefiti lakini ukweli ni kwamba wote hawa walibebwa na population ndogo pamoja na ukuaji mdogo wa domokrasia mpaka kufikia kwa kikwete to magufuli wote walijitahidi kwa namna yao.kufikia kwa mama kupokea kijiti watu wameongezeka na demokrasia imekua hivyo kumeengezeka tija wa watu kubwabwaja japo ndiyo imekuwa haki.

HOJA ZIFATAZO ZITAWABEBA CCM

1.amani bado hatujaona kama indicator ya maendeleo ila ndiyo jambo kubwa kuonesha maendeleo na ustaarabu 2 ukuaji wa miundombinu ukitembelea baadh ya mfan wa uganda,congo na malawi katika miundombinu hajapiga hatuna kama TZ 3 UHURU wa kujieleza na kushiriki katika jumuia zote 4 KATIBA
 
Back
Top Bottom