Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyeelewa nini kimeandikwa hapa anifafanulie.Yapata miaka sitini na moja(61) tangu nchi ya TANZANIA kujipatia uhuru wake wa bendera kutoka kwa wahuni wa magharibi na imepita miaka 43 tangu kuanzishwa kwa mfumo kandamizi wa kisasa dhidi ya nchi za daraja la 2 na 3(structure adjust programmes).Kwa kutumia taasisi zao za unyonyaji wanaendelea kudidimiza haki na uhuru wa nchi za daraja la chini.Katika kujikomboa na kufurahisha ngozi nyeupe CCM ikanasa kwenye mtego wa wakoloni kwa kuwa hali ilikuwa mbaya mpaka ilifikia BABA WA TAIFA(happy born day) kuchanganyikiwa na kuiacha nchi huku majaribio mengi ya kupinduliwa yakishindikana.akaja MWINYI kuondoa aibu ya kushindwa kwa nyerere akaitwa mzee wa ruksa pia alikuwa ni mwenye mapungufu kibao.MKAPA aliendelea kuendeleza sera za kigeni zenye lengo au mlengwa wa kuendelea kuuwa uchumi wa afrika (privatization) japo alionekana amefiti lakini ukweli ni kwamba wote hawa walibebwa na population ndogo pamoja na ukuaji mdogo wa domokrasia mpaka kufikia kwa kikwete to magufuli wote walijitahidi kwa namna yao.kufikia kwa mama kupokea kijiti watu wameongezeka na demokrasia imekua hivyo kumeengezeka tija wa watu kubwabwaja japo ndiyo imekuwa haki. HOJA ZIFATAZO ZITAWABEBA CCM 1.amani bado hatujaona kama indicator ya maendeleo ila ndiyo jambo kubwa kuonesha maendeleo na ustaarabu 2 ukuaji wa miundombinu ukitembelea baadh ya mfan wa uganda,congo na malawi katika miundombinu hajapiga hatuna kama TZ 3 UHURU wa kujieleza na kushiriki katika jumuia zote 4 KATIBA
si kila kinachoandkwa unatakiwa ukifaham wewAliyeelewa nini kimeandikwa hapa anifafanulie.
Naona andiko halina kichwa, kiuno wala makanyagio.
Heading inavutia usome content, ukianza kusoma juu unakwama, ukija kati ndo kabidaa upo Temeke Sudan, mwishoni unakutana na uzabzab.
Ungewatafuta wanaopaswa kuwafahamu uwaandikie inbox kwaosi kila kinachoandkwa unatakiwa ukifaham wew
Kumbe hamkomiNa MINOCYCLINE "Gifted Intellectually, Knowdgeable, Challenger and Well Informed Person" natamani mno Rais Samia Suluhu Hassan aongoze Tanzania Maisha au mpaka pale tu atakapochoka Mwenyewe...