Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Yani wewe
Yani wewe jamaa unaongea bila kuwa na uhakika eti wameruka wameruka nn na eti mara wakandarasi waheshimiwe ndio nn ebu weka facts
 
Umeongea jambo zuri ila kuna mambo muhimu zaidi kwa wananchi uliza uambiwe
 
Mkuu una madini..ila namba tisa..haina umuhimu kwa Sasa... kwenye namba tano ongeza Mwanri..Ummy arudi kwenye nafasi yake..kabudi, ndalichako..na ikipendeza Makonda arudi kweye nafasi yake au ampe wizara
 
Mkuu una madini..ila namba tisa..haina umuhimu kwa Sasa... kwenye namba tano ongeza Mwanri..Ummy arudi kwenye nafasi yake..kabudi, ndalichako..na ikipendeza Makonda arudi kweye nafasi yake au ampe wizara
Makonda akafungue kanisa alipie madhambi yake,Mwanri poa
 

Kama ulikuwa huna cha maana kuchangia ingekuwa vema kama ungekaa kimya kuliko kuonyesha your inbuilt "male chauvanism" kama umeoa na una mabinti basi familia yako hiko kifungoni - ufahi kabisa hata kuongoza familia maanake una dharau na chuki binafsi 2wards jinsia ya kike - nafikiri na malezi vile vile yanachangia katika maoni yako hasi kuhusu jinsia ya kike.

Sina lengo la kukusema vibaya, jaribu ku-revisit your skewed comments halafu ujitathimini kama ulicho andika kina mantiki.
 
Mkishindwa kabisa mpeni Asha rose Migiro ni diplomatic huyu.Heri tuongozwe na kina mama wanaweza mbona ndo walezi wa familia nyumbani watashindwa vipi kulea Jamii.Maana wanaume wametuangusha.Kina mama sio madikteta, mafisadi,wezi,wauaji ni wazazi Wana familia.
Migiro ana sifa zote zitakiwazo.
Shule, familia,ndoa,nk
 
R.I.P JPM
Umeondoka na siri kubwa, uliahidi kabla ya kuondoka madarakani utaongeza mishahara kwerikweri. Mara ghafla Mungu amekunyakua. Ulisema hutaongeza 10,000/= labda ulimaanisha utaongeza 100,000/=

Tunakuomba Mama yetu, Rais wetu utimize ahadi hii pamoja na mengine mema aliyoahidi
 

Hapana, wafanyakazi wa serikalini haswa walimu, wengi ni wanafiki. Wamemsema sana JPM, hakuna kuwaongezea mishahara mpaka akili zikae sawa.

Mitano tena.
 
😂😂😂naiona roho ya Magufuli ikifanya kazi kwa kasi ya ajabu kupitia Mama Samia! Wezi mtajiju! Siyo kwa mapovu hayo! Magufuli's secret weapon Mama Samia ndio kapewa rungu! Gogogogo 'Iron lady' go go go!
Tanzania 1st
Haya ndo matokeo aliyoyaacha Magufuli, Mpasuko katika jamii yaan watu masikini wanawachukia wenye uwezo kwa kuamini kuwa nchi ni kwa ajili ya tabaka fulani halafu kauli za masikini huwa ni za ajabu sana mwisho ni hivi kama unahisi yule ana pesa za wizi tafuta sehemu na wewe uibe kama una uhakika yule kaiba kazi kulalamika tu kuhisi umeibiwa mtu hujishughulishi bado unaamini unaibiwa sasa sijui unaibiwa nini acheni chuki za bure piga kazi utainuliwa na hao hao unaowadhihaki Mwisho ni kuwa kushindana kumchukia tajiri au mpambanaji ni kumpiga kofi zito mbu aliye juu ya p.... zako povu kafulie nguo hapa hatulihitaji.
 

Si vyote vya kufuta viko vya kutafakari jinsi kurekebisha, viko akifuta vitamfuta. Chato ni ya kidunia mpama hivi sasa ni andikapo. Na mshauri Chato atengeneze mazingira kwani inaenda kuwa moja ya vivutio vikubwa vya utalii Tanzania likiwemo Kaburi la JPM. Designer wa kaburi hilo azingatie hajachelewa.
 

Rais Mama Samia Akizingatia huu ushauri TZ itakuwa nnchi ya maziwa na Asali
 
Huko tumeshatoka mkuu hatupo tena huko
 
Mama, Mheshimiwa Rais wetu Mama Samia; Pole kwa msiba wa aliyekuwa Rais wetu JPM; Lakini Hongera kwa kushika Kijiti! Mama Mungu atakusaidia kuliongoza vema taifa letu kwenda mahali ambapo wengi tunapatamani.
OMBI LANGU KWAKO: Mama, naomba ile bandari Kavu kule Kwala ikamilike,ili kuondoa msongamano wa magari hapa jijini; maeneo ya Buguruni, Tazara kuelekea Temeke, msongamano wakati wa mchana ni hatari. Mama, Jemadari wetu naomba hili pia lipewe kipaumbele kati ya mengi. Mungu akubariki.
 
Ngoja mpigwe lock down sasa

Ova

Tunataka mwongozo mpya wenye chimbuko la kisayansi.

Wapiga nyungu wameshaonekana hadharani wakiwa wamepania barakoa.

Yaliyopita si ndwele!
 

Mkuu umeandika mengi ila yanahusu uzi huu kweri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…