Wewe ni chawa au ni kunguni!?View attachment 2822537
Tangu Mhe.Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aingie madarakani mahusiano ya nchi ya Tanzania na nchi nyingine Duniani yameongezeka maradufu, kwani kumekuwa na ongezeko kubwa la viongozi mbalimbali wa nchi duniani kuja Tanzania kwajili ya ziara za kitaifa yote yakichagizwa na juhudi za Mhe. Rais Dkt Samia kuitangaza nchi na kuendelea kudumisha Diplomasia ya Uchumi na Demokrasia.
Mhe. Rais Dkt.Samia amekuwa kiunganishi na kipatanishi cha nchi nyingi barani Afrika kutokana na misingi yake ya Maridhiano ya kisiasa ambayo imezaa matunda na kuleta utulivu wa kisiasa nchini, kitu ambacho viongozi wengi barani Afrika wamependa na kuiga misingi hiyo katika nchi zao.
Mhe. Rais Dkt.Samia amekuwa kiunganishi na kipatanishi cha nchi nyingi barani Afrika kutokana na misingi yake ya Maridhiano ya kisiasa ambayo imezaa matunda na kuleta utulivu wa kisiasa nchini, kitu ambacho viongozi wengi barani Afrika wamependa na kuiga misingi hiyo katika nchi zao.
Hizo nchi ungezitaja
AWALIPE YEPI ILE NI AIBUUUUUU JAMANII EEHHH.....View attachment 2822537
Tangu Mhe.Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aingie madarakani mahusiano ya nchi ya Tanzania na nchi nyingine Duniani yameongezeka maradufu, kwani kumekuwa na ongezeko kubwa la viongozi mbalimbali wa nchi duniani kuja Tanzania kwajili ya ziara za kitaifa yote yakichagizwa na juhudi za Mhe. Rais Dkt Samia kuitangaza nchi na kuendelea kudumisha Diplomasia ya Uchumi na Demokrasia.
Mhe. Rais Dkt.Samia amekuwa kiunganishi na kipatanishi cha nchi nyingi barani Afrika kutokana na misingi yake ya Maridhiano ya kisiasa ambayo imezaa matunda na kuleta utulivu wa kisiasa nchini, kitu ambacho viongozi wengi barani Afrika wamependa na kuiga misingi hiyo katika nchi zao.
Wale wanafunzi wanaomaliza Form 10 pale Chuo Kikuu cha Jalalani wanaongoza kwa uchawaDomestic politics zimemshinda alichoweza ni kuzalisha mamilioni ya Chawa na maelfu ya Mabango.
[emoji23][emoji23] Kazi Iendeleeumesahau kuweka namba yako simu.
Mkuu unahukumu watu sana sanaKama hiyo avatar ni wewe na unasema Samia kaleta mapinduzi ya kifikra.
Kwa muonekano huo labda unahitaji mapinduzi ya lishe maana lishe inaonekana ni tatizo hadi umepata udumavu wa akili ukubwa hali inayopelekea kushindwa kufikiri vitu sahihi vya kuandika kwenye jukwaa kama hili.
Aaah Uzuri ni Kwamba na Wewe Ile Fikra ya kijijini kwenu sasa Imepotea kupitia Rais Samia. Ko Tutafute hiyo Lishe kwa Pamoja Tuendelee kuchapa kaziKama hiyo avatar ni wewe na unasema Samia kaleta mapinduzi ya kifikra.
Kwa muonekano huo, unahitaji mapinduzi ya lishe maana lishe inaonekana ni tatizo hadi umepata udumavu wa akili ukubwa hali inayopelekea kushindwa kufikiri vitu sahihi vya kuandika kwenye jukwaa kama hili.
Kuna tetesi kwamba mahekta ya misitu yetu wamepewa kampuni ya abu dhabi, blue carbon. Je, huyo wa 2025 anahusika? Maana bandari yetu na loliondo zilishaenda.Ni Rais wa Kwanza MwanaMama Ambaye Ameleta Mapinduzi Makubwa ya Fikra Miongoni Mwa Watanzania Hii Zawadi Kutoka Kwa Mungu Hatuwezi Iacha Ni Kung'ang'ana Nayo.
#2025 ni Yeye Tena.
#2025 na Samia Suluhu Hassan