Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Mnawaza uchaguzi wakati TAIFA liko GIZANI? Daaah ona chawa n madalali.
 
Huju
Hujui usemalo, atamfitini hadi amtoe kwenye kiti kama sio kumuua kabisa.

Makonda anautaka urais na sio kingine...wajinga hamjui hilo
 
Ni lazima makonda agombee ubunge, au wasigine katiba kama kawaida yao
 
Mzee wangu aliwahi niambia. Tunza vizuri pesa zako uwe na uhuru wa kiuchumi. Njaa mbaya sana. Nlimwelewa mpaka sasa nafurahia uhuru wangu. Njaa mbaya.
 
Mzuuka wanajamvi.

Yumkin hakuna ajuae ni nini Rais anafikiria kufanya ifikapo 2025 ,

Vile vile yawezekana ni wachache Sana wajuoa maandaliz anayofanya kuelekea 2025.

Sasa Kwa kuwa mara kadhaa amekiri kupitapita jf itakuwa vyema Kwa jinsi ulivyouona uongozi wake takribani miaka 3 sasa utoe ushauri wako ili ajipime.

1. Je Rais Samia aendelee kujiandaa kugombea 2025? Kama jibu ni ndio au sio toa sababu zako ili ajipime.

2. Je Rais Samia aendelee kujiandaa kupumzika ifikapo 2025 ili kupisha wengine? Kama ndivyo je ni Kwa nini ?
 
Wakati mwingine una busara na hekima kama uliyoitumia kumvisha mtu nguo aliyekuwa uchi wa mnyama kwenye kadanamsi ya watu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…