Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Jamani nataka kuuliza hivi inakujee pale ajira portal unaaply kazii alafu inakugomeakuwa Jop application failed please chek required bachelor degree program alaf ukiiangalia job qualification na required bachelor unayo kabisaa msaada kwahilo plz
 
Nimefuatilia ziara zake ni Kweli usiopingika kuwa Makonda ni Magufuli tupu

Atamsadia sana mh Rais ajae

Jamaa Yuko direct sana na anaaminika na wananchi, wengi wanajitokeza kumlaki na kumlilia shida zao katika ziara zake. Wkt kuna mawaziri wakipita huko hakuna hata kero moja ya mwananchi atatatua zaidi sana kupiga na kuchimba biti

Safi sana Makonda, mimi nimekuelewa vzr sana unaibua udhaifu na uozo ulipo ndanj ya nchi hii.
 
Hakuna Mkuu wa shule aliye tayari kuona kiranja Mkuu anakuwa maarufu na Mwenye nguvu kuliko yeye.
 
Mimi siyo chawa, wala sihitaji na wala sina maslahi yoyote katika kusema huu ukweli wangu. Ukweli kabisa Rais Samia ni mama muungwana sana,ifike mahali tukubaliane tu.

Kwa sisi watu wa kanda ya ziwa ilifikia mahali tukawa kama hatumuelewi,kumbe watendaji wake ndiyo wanamwangusha na malengo yao ni kutaka achukiwe na wananchi ili wapate kujinufaisha wao. Sasa nawaambia mambo yao yamebuma na ukweli tumeuelewa vizuri. Tutamuunga mkono huyu mama kuliko wale wanafiki wake wanavyofikri.

AMINA
 
Watendaji wote wako chini ya rais. Rais ana mamlaka ya kutumbua na hata kuamuru uchunguzi ufanyike endapo mtendaji yeyote atazingua.

Cha ajabu huyo rais ndie anaewaambia "kuleni lakini msivimbiwe" "hili nalo mkalitizame".

Hapo kuna rais kweli au ni maigizo?

Kiujumla sisi watu weusu hauta ile sense of responsibility, uwajibikaji kwetu ni zero. Mtu anakuwa kwenye public office halafu anaifanya kama chumba chake na mke wake!? How is it possible?

Kwasababu hakuna wakumwambia kitu. Mwenye uwezo wa kumwambia chochote anamkenulia meno tu kama chai jaba.
 
Naomba unijibu swali hili. Nani anapaswa kuwasimamia watendaji walioteuliwa na Rais?
 
Sasa kama watu wake ndo wanamwangusha, yeye si ndio msimamizi wao?

Anachukua hatua stahiki kwa watendaji wazembe?
 
Norway wanafukuzia mradi wa gesi LNG. Huko Mtwara na Lindi. Kampuni yao inaitwa Equinor, wanashirikiana na makampuni mengine pia.
 
Nikiri tu wazi, NCHI YETU IMEPITIWA NA AWAMU 5...MIMI NIMEIKUTA NCHI IKIWA AWAMU YA PILI...

ILA NADHANI KATIKA AWAMU ZOTE ZILIZOPITA NA HII YA MAMA SAMIA...AWAMU YA MAMA SAMIA SULUHU HASAN NI KIPINDI BORA KABISA CHA UONGOZI... HATUJAPATA KUWA NA RAIS BORA KAMA MAMA SAMIA...

KATIKA KIPINDI CHAKE...

SHIDA YA MAJI IMEKUWA NI HADITHI ZILIZOPITA...
UMEME WA UHAKIKA TENA BEI NAFUU...MGAO TULISHASAHAU AWAMU ZILIZOPITA..

WANANCHI WANA NEEMA NA MAENDELEO YA MMOJA MMOJA...VITU BEI CHEE KAMA BURE... TABU YA SUKARI SIJUI MCHELE...HAKUNAGA HIYO SHIDA KABISA...

MAISHA MAZURI...VIONGOZI WAADILIFU...RUSHWA IMEPUNGUA...

HAKUNA ANAYEDHULUMIWA UTENDAJI NA UWAJIBIKAJI UMEONGEZEKA SERIKALINI...HAKUNA UZEMBE KABISA...AJIRA BWERERE...

HII NCHI HAIJAWAHI PATA RAIS KAMA MAMA...MAMA BWANA...ANAUPIGA MWINGI MNO...TUNAKUPENDA SANA MAMA...TUNATAMANI HII NCHI UONGOZE MILELE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…