Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Huyu Lucas Mwashambwa ni mndali wa Kijiji kimoja Kiko ndaani ndani huko Songwe karibu na Itaka.
Ndiyo maana mshamba,sababu mtu aliyekulia mjini hata kama hajasoma ,huwezi kukuta anasifiasifia vitu visivyokuwa na maana, kuzaliwa mjini tu ni elimu tosha,
kwa wanaomfahamu zaidi wangetupa wasifu wake toka akiwa shule anasoma
 
Naona huyo Samia mmemfanya mungu wenu sasa
 
Jisemee wewe mwenyewe mkuu ila usitusemee wote, utuache na usituzoee na ukome kabisa! Wakati ukifika na yeye atapita kama upepo.
 
Mawazo haya ya kikabila ndio maana kila mtu humu jukwaani anakuona kama hamnazo.
Itisha kura kati ya mimi na wewe tuone nani ataonekana zwazwa hapa jamvini.Kwa vile huna akili ndiyo maana hujui unadharaulika kiasi gani humu, jaribu kupitia threads zako halafu angalia watu wana comment nini juu yako.
 
Itisha kura kati ya mimi na wewe tuone nani ataonekana zwazwa hapa jamvini.Kwa vile huna akili ndiyo maana hujui unadharaulika kiasi gani humu, jaribu kupitia threads zako halafu angalia watu wana comment nini juu yako.
Kwanza kitendo tu cha kunishindanisha mimi na wewe itakuwa ni kunidhalilisha mimi .wewe tafuta wa kushindana nao kule Mirembe
 
Rubbish
 
Kwanza kitendo tu cha kunishindanisha mimi na wewe itakuwa ni kunidhalilisha mimi .wewe tafuta wa kushindana nao kule Mirembe
Haya basi pitia nyuzi zako uone watu wanasemaje juu yako, kama hili nalo hulielewi basi nikuache tu na utaahira wako endelea kujidhaliisha lakini hicho unachotarajia hutakipata hakuna teuzi kwa vilaza kama wewe.Utaambulia kutupiwa makombo na kina Makonda na Kafulila tu.
 
Mimi nakula kwa jasho langu kwa kufanya kazi kwa kujituma shambani.
 
Mimi nakula kwa jasho langu kwa kufanya kazi kwa kujituma shambani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…