Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana nae katika kazi, malengo, mipango na majukumu yake ya kila siku sasa, daima na milele, Amen🙏Neno moja kwa Mama
MAMLAKA
Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
#SamiaAPP
#KaziIendelee
Unamwambiaje mama kuhusu hali mbovu ya usalama na uchumi wa nchi yetu?Neno moja kwa Mama
MAMLAKA
Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
#SamiaAPP
#KaziIendelee
🤣🤣🤭Mama yao walamba asali , mimi mama yangu huko kijijiini wala hajambo kabisa.
Huyu ndio konki master wa kuteka na kupoteza,magu akasomeAsirudishe Siasa za chuki na uhasama za kutekana na kupotezana na kuuwana.
Zile Siasa nilijua zimeondoka na Magufuli.
Poa,nimedelete comment yangu ya kukurekebisha coz nimeona ume edit na kurekebisha.Hahahaha ni kweli mkuu
Na zile 4R?!Huyu ndio konki master wa kuteka na kupoteza,magu akasome
Expecting results from what you knowKatiba yetu ni mbovu hawezi kufanya maajabu yoyote.
NdiyoExpecting results from what you know
Sasa hivi wanajitokeza hadharani wanajitapa😭Asirudishe Siasa za chuki na uhasama za kutekana na kupotezana na kuuwana.
Zile Siasa nilijua zimeondoka na Magufuli.