Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,254
- 903
Zamani walikuwa wanafanya kwa kujificha, awamu hii itakuwa kama enzi za Nkurunzinza tutauwawa kama mende-hawaogopi tena.Huyu ndio konki master wa kuteka na kupoteza,magu akasome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamani walikuwa wanafanya kwa kujificha, awamu hii itakuwa kama enzi za Nkurunzinza tutauwawa kama mende-hawaogopi tena.Huyu ndio konki master wa kuteka na kupoteza,magu akasome
Shilingi imeporomoka tena chini ya Daktari wa uchumi.Unamwambiaje mama kuhusu hali mbovu ya usalama na uchumi wa nchi yetu?
Amani kwa mama zetu waliopo vijijini, na pongezi kwa mama Samia anayesimamia amani iliyopo.Mama yao walamba asali , mimi mama yangu huko kijijiini hajambo kabisa.
Gaidi gani kafa mkuu???Raisi wetu Samia suluhu hassani unaupiga mwingi sana usisikilize hao wanaojiteka na kujiua sababu wanaotafuta kiki kwakua wameshaona mwaka 2025 unapita Kwa asilimia 100% tanzania nchi ya furaha na amani tele yaani usipopata utajiri Tanzania hautopata sehemu yeyote mama anaupiga mwingii sanaaaa tunafurahia yanayoendelea nchi baadhi ya magaidi yakifa Ili nchi iendelee kuwa na amani
Rais siyo Raisi,elimu yako tafadhari!!Raisi wetu Samia suluhu hassani unaupiga mwingi sana usisikilize hao wanaojiteka na kujiua sababu wanaotafuta kiki kwakua wameshaona mwaka 2025 unapita Kwa asilimia 100% tanzania nchi ya furaha na amani tele yaani usipopata utajiri Tanzania hautopata sehemu yeyote mama anaupiga mwingii sanaaaa tunafurahia yanayoendelea nchi baadhi ya magaidi yakifa Ili nchi iendelee kuwa na amani
Darassa la 1Rais siyo Raisi,elimu yako tafadhari!!
Kaokotwa ununioGaidi gani kafa mkuu???
Umeolewa!!??Darassa la 1
Umeolewa?Umeolewa!!??
Hao ndiyo mtaji wa sisiemu.Rais siyo Raisi,elimu yako tafadhari!!
Uteuzi ninao napiga pesa TU mama anaupiga mwingii sanaaaaUmesahau kuweka namba yako ya simu mkuu,.
Au hutaki teuzi??
Hongera sana aiseeUteuzi ninao napiga pesa TU mama anaupiga mwingii sanaaaa
Umeolewa?Hao ndiyo mtaji wa sisiemu.
Asante sana mama anaupiga mwingiiHongera sana aisee
Tafadhali ✔️Rais siyo Raisi,elimu yako tafadhari!!
Umeolewa?