Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Rais wetu Samia suluhu hassani unaupiga mwingi sana usisikilize hao wanaojiteka na kujiua sababu wanaotafuta kiki kwakua wameshaona mwaka 2025 unapita Kwa asilimia 100% tanzania nchi ya furaha na amani tele yaani usipopata utajiri Tanzania hautopata sehemu yeyote mama anaupiga mwingii sanaaaa tunafurahia yanayoendelea nchi baadhi ya magaidi yakifa Ili nchi iendelee kuwa na amani
 
Raisi wetu Samia suluhu hassani unaupiga mwingi sana usisikilize hao wanaojiteka na kujiua sababu wanaotafuta kiki kwakua wameshaona mwaka 2025 unapita Kwa asilimia 100% tanzania nchi ya furaha na amani tele yaani usipopata utajiri Tanzania hautopata sehemu yeyote mama anaupiga mwingii sanaaaa tunafurahia yanayoendelea nchi baadhi ya magaidi yakifa Ili nchi iendelee kuwa na amani
Gaidi gani kafa mkuu???
 
Raisi wetu Samia suluhu hassani unaupiga mwingi sana usisikilize hao wanaojiteka na kujiua sababu wanaotafuta kiki kwakua wameshaona mwaka 2025 unapita Kwa asilimia 100% tanzania nchi ya furaha na amani tele yaani usipopata utajiri Tanzania hautopata sehemu yeyote mama anaupiga mwingii sanaaaa tunafurahia yanayoendelea nchi baadhi ya magaidi yakifa Ili nchi iendelee kuwa na amani
Rais siyo Raisi,elimu yako tafadhari!!
 
Back
Top Bottom