Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maelezo Mengi mno.
 
Mmhhh!!!,Labda umvutishe bhangi.
 
Are you mzenji?
 
Huyu jamaa anafaa kabisa kuwa VP naombeni wana CCM mliopo kamati kuu mtupe huyu mwamba mwingine kutoka Chato

Hapa watu wa Chato tunatamani kuona mambo ambayo JPM ameyaacha huku kwetu Chato yakiendelea na hivyo itakuwa faraja kwa JPM huko aliko

Kuona ndoto yake ya kuifanya Chato inakuwa Wuhan inatimia
 
Samahani lakini..
Kalemani hana uwezo huo!
Hata mtwara na lindi huko kuna watu
Bila kusahau sumbawanga na Ruvuma
 
Mataga should know that u can be f..... and forgotten
 
Wewe unahatari Sana Kama ni ingekuwa ni kiongozi mkubwa serikali ungefail mapema Sana..
 
Kama alichoandika anamaanisha,,basi tungeanza kuwapa madara watoto wa baba wa Taifa,,ili naye tumuenzi,,
 
Hiyo half time kwa sasa
 
[emoji57]nyoooo, ili aendeleze miradi!!!...
Ndio mkuu, unadhani akija mwingine hii miradi itakamilika kweli?

Hapa tulikuwa tunajiandaa kupata vyuo vikuu viwili kwa mpigo UDSM tawi la Chato na MUHAS tawi la Chato, Stendi ilikiwa bado haijaanza kunyanyuka pia uwanja wa mpira wa kisasa

Wampe Kalemani kazi iendeleeee
 
Nilikuwa namuelewa sana mzee,,ila kwenye kubalance miradi alishindwa na chuki nyingi za wananchi zipo hapo,,kuna mikoa amvayo kwa miaka mingi ilikuwa kwenye mpango wa kujenga hospitali za rufaa na matawi ya vyuo ,,lakini mpaka sasa hayajafanyika hapohapo maeneo mengine ambayo hayakuwa kwenye mpango yanapewa miradi kibao
 
πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜… daah kweli mtu anapewa cheo siyo kutokana na haiba, weledi na uwezo bali kwa sababu kuna haja ya kumuenzi hayati!

Hii nchi imekuwa ni nyumba ya urithi??
Unique way of thinking that can ONLY be found in Tanzania. Ajabu la duniaπŸ€”

Everyday is Saturday................................😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…