Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Maisha na uhai wa kila binadamu ni zawadi ya kipekee toka kwa Mwenyezi Mungu na kama Taifa, uhai na maisha ya Mtanzania yeyote ni lazima kupiganiwa kwa hali na nguvu zote".
Na Dr. Samia Suruhu Hassan.
- Brazil.
Unafiki"Maisha na uhai wa kila binadamu ni zawadi ya kipekee toka kwa Mwenyezi Mungu na kama Taifa, uhai na maisha ya Mtanzania yeyote ni lazima kupiganiwa kwa hali na nguvu zote".
Na Dr. Samia Suruhu Hassan.
Vipi kuhusu suala la uhai wa yule aliyekuwa Kada wa Chadema Mzee Mohammed Kibao? Kwa nini kwenye kifo cha huyo mtu alisema "kifo ni kifo tu" ?"Maisha na uhai wa kila binadamu ni zawadi ya kipekee toka kwa Mwenyezi Mungu na kama Taifa, uhai na maisha ya Mtanzania yeyote ni lazima kupiganiwa kwa hali na nguvu zote".
Na Dr. Samia Suruhu Hassan.
- Brazil.
Ndugu Mhariri nilikutag hapa kwa issue kama hii either ni wewe au mwenzako naona umeingia mkenge for the next time."Maisha na uhai wa kila binadamu ni zawadi ya kipekee toka kwa Mwenyezi Mungu na kama Taifa, uhai na maisha ya Mtanzania yeyote ni lazima kupiganiwa kwa hali na nguvu zote".
Na Dr. Samia Suruhu Hassan.
- Brazil.
Noted..!Vipi kuhusu suala la uhai wa yule aliyekuwa Kada wa Chadema Mzee Mohammed Kibao? Kwa nini kwenye kifo cha huyo mtu alisema "kifo ni kifo tu" ?
This is hypocracy of the highest degree in this planet!
Kipimo Cha kufaulu Kwa Rais Kiongozi ni Sgr? Uko timamu au mbege zimepanda kwenye ubongo?Raisi amefikia kusikiliza washauri wake wanamwambia serikali inunue engine za diesel kwa ajiri ya kuendesha tren za umeme na mawazo hayo anaona nisahihi ! Badala ya kuboresha umeme wa uhakika yeye anaona Kila wazo linaloletwa na kadogosa lipo Sawa hata kweli huyu ccm huyo ndiye mnataka aendelee kutuongozea nchi yetu !
Raisi anapaswa kuwa na msimamo katika kuendesha nchi mawazo mengine ya viongozi wake inatakiwa ayachakate aone kama yanafaa au hayafai siyo Kila kitu kukubali ! Raisi unahujumiwa mbele ya wapiga Kura wako unaona Sawa.
Sgr hadi Sasa mkandarasi kakimbia site hakuna hela mradi umesimama siyo mwanza shinyanga wala tabora hakuna kinachoendelea.
Haya tumekubali leteni hizo nchini tunasubiri 2025
CCM wote wenye mapenzi mema na hii nchi tangazeni kugombea uraisi hata mkiwa kwenye mahoteli/nyumbani kwenu kama alichofanya tundu lisu kuelekea 2025 Hana cha kuwafanya huyo mama yenu hamzuiiwi kikatiba na hakuna form moja kama inavyosema.
Kama wapo wababe zaidi yake wachapishe si ndio ushindani au Kuna mshindani Huwa anakubali umpige ulingoni?Akubali tu zichapishwe form zaidi ya moja,mambo yameshaharibika sana.
Kipimo ni kipi?? Upo timamu wewe?Kipimo Cha kufaulu Kwa Rais Kiongozi ni Sgr? Uko timamu au mbege zimepanda kwenye ubongo?
Acha kuvuta BangiKipimo ni kipi?? Upo timamu wewe?