Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Mmeongea mengi, mmeshauri mengi, mmewaza vingi, lakini mambo ambayo Mama Samia anatakiwa ayafanye ni muendelezo tu wa yale aliyoyaanzisha Rais aliyetangulia, anachotakiwa kufanya kipya ni ambayo hayajafanywa na Magufuli nayo ni machache lakini ndio kiu ya watanzania (1) ajira (2)mishahara (3) kodi kandamizi (4) diplomasia
 
Nisikuchoshe kuandika maneno mengi nakuomba mama kama unaona nipo sahihi tengua teuzi zote za mtangulizi wako kuanzia watendaji wa kata hadi mawaziri maana walishazoea kufanya kazi kwa mabavu na ukandamizaji usio vumilika na tulikua hatuna pa kusemea maana wote walikua ni wale wale ila kwa kudra za Allah tumevuka ila Kuna wengine wameuawa, kuteswa na wengine wapo jela au mahabusu kwa kuonewa tu.

Wengi wametoa ushauri kwahiyo tunakuomba ponya maumivu ya watanzania, wewe unaweza usijue sana yaliyokua yanatendeka huku mashinani tunakuomba liunganishe taifa.
 
Mkuu mbona unatuchongea kwa muheshimiwa? Unataka tukale vituo vya kulelea yatima?😂😂😂
 
Mama anaelewa la kufanya......yupo na alikuwepo,
....sio kila mtu ni mshauri
 
Pili awe ni mtu asiye na skandali ya aina yeyote, wizi, uzinzi na uasherati,uuaji,dhuluma, mdomo mchafu n.k.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mkuu usawa huu utampata Mwanasiasa mwenye sifa zote hizi kweli kutoka CCM? 🤔 Upinzani kwenyewe sidhani kama yupo! Sembuse kwenye chama kichafu na cha hovyo kama CCM!!!

Achaguliwe mwenye unafuu! Ila siyo msafi wa kiwango hicho! Maana hayupo.
 
We ndio hujamwelewa kabisa Rais Samia!
 
Afuate katiba iliyopo, afanye marekebisho ya katiba, aweke tume huru ya uchaguzi, afuate sera sahihi za uchumi kuleta hali bora ya maisha kwa wananchi wengi,aendeleze na kumalizia miradi yote iliyopo.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Daaah waTz bwana. Mnadhani raisi anasoma JF
 
Mh Rais katka mambo ya kufanya hakikisha unafanya yafuatayo:

1.Futa wilaya ya Chato ibaki kata
2.Futa Mpango wa kuipa Chato Mkoa
3.Futa Mpango wa kujenga Daraja la Mwanza la ziwani
4.Ondo miradi ya Maendeleo ya maji chato
5.Ondoa makao makuu Dodoma, na turudi Dar
6. Futa strogiers gourge..tuendeleze gas na tuwape makampuni binadsi kuzalisha umeme ili tupate ajira zaidi
7.Futa SGR ili hera ziendele kwenye maendeleo ya watu na siyo ya vitu
8.Fut mambo ya EFD kwani yanasababisha biashara kusinyaa.
Haya siyo maoni bali chuki binafsi.
 
Namshauri mama afuate muongozo ule ule wa baba nimeona single mazas wamefanya maajabu mengi sana katika jamii

Hivyo ahikikishe watoto wanasoma, watumishi wanapewa stahiki zao, watu wapewa uhuru wa kujieleza japo hayo ni yaziada tuu ila naamini hata simama yeye kama yeye bali kuna vichwa vipo nyuma yake havitamuangusha.
 
Ni kweli kuwa ni Raisi wa sita na ni awamu ya Tano. Samia anamalizia awamu ya Tano .

Ila sio kweli kuwa Awamu ni miaka kumi
Mfano ktk uchaguzi wa 2020 angeshinda T.A. Lissu angekuwa Raisi wa Sita Awamu ya Sita .

Nieleweshe vizuri mkuu kwani awamu ni Rais mpya akiingia madarakani au ni muda ambao katiba imeweka mtu kuhudumu kama Rais
 
View attachment 1729237View attachment 1729236

Nakukumbusha mama wakati unaanza kurekebisha baraza la mawaziri anza na Wizara ya Afya. Wizara imeyumba sana imekuwa na waziri asiye na msaada wowote. Hii ni wizara serious sana lakini waziri wake aligeuka kuwa comedian na kuacha sayansi. Ikukupendeza mheshimiwa huyu atenguliwe hata ubunge maana ni hasara tu.

Hatuwezi kuwa na watu wanafiki wa kumfuatisha rais anachopenda badala ya kuwa mshauri asiyeyumba katika kusimamia fani yake kwa weledi

Mimi huyo Naibu sijui walitumia kigezo gani kumpa hiyo nafasi. Labda kama ni fadhila kwa kutoka Cdm ila uwezo mdogo sana katika wizara nyeti kama hiyo
 
Sio kwamba wewe unapaswa uhame au uhamishwe Kwa nguvu, maana Huna faida mkuu, na sjiu kama unafahamu kuwa Huna faida?
 
Back
Top Bottom