Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Ushauri wako unataka tuwekwe chini ya hao watumwa wetu wa toka enzi za Uhuru,ningewashangaa mods kuuacha huo unaoita Uzi hapa jukwaani

Kiufupi huo haukuwa uzi bali takataka ndio maana mods wameupeka sehemu sahihi(recycle bin)
 
Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana ya Magari yanayotoa Moshi. Kwa utafiti binafsi niliofanya hivi karibuni ni kama ukikutana na Magari 10, basi 6 yanatoa mosh. Na asilimia kubwa ni magari ya abiria na mizigo.

Kwa wanaofanya shughuli za kujipatioa kipato mijini na kando kando ya barabara tunapata changamoto za kiafia kutokana na Mosho wa magari.

Pia hata viwanda vingi hapa Tanzania vimekuwa vikitoa mosh mwingi sana unaohatarisha afya ya wakazi waliopo karibia na viwanda hivi.

Huu mushi umekuwa na adhari mbali mbali kwa wahanga kwa mfano kansa ya Mapafu na upofu uzeeni.

Madhara ya huu moshi hayaishii tu kwenye afya zetu, bali huharibu hata na tabia ya hali ya hewa.

Ni wakati mafaka sasa Serikali ikishirikiana na Jesh la police kuja na sheria kali yaa ya hivi vyombo vya usafiri vinavyotoa mosh.
 
Huyu mama, karama na busara za uongozi anavyo,akiongeza vitu 2 tu baaaasi naimani atakuwa Bora zaidi, vitu hivyo Ni:-
★ Maono (vision)
★Msimamo thabiti.
 
Mama Samia inabidi awaruhusu watu kwenda nje ya nchi kirahisi. Urasimu wa kwenye passport ufe. Yeyote anayetaka passport apewe bila masharti ilmradi tu awe matanzania. Ikibidi nikionyesha tu kadi ya NIDA nipewe passport.

Tuachane na mtindo wa nchi za kijamaa kufungia watu wake.
 
Usitupangie Cha kufanya....hizo Sheria zipeleke huko kwa makinikia na familia yako...
 
Aanze upya asihesabu yaliyopita.

1.Waachilie Waliobambikwa kesi jela, na mashehe kama ni adhabu tayari imetosha pili watesi wao awapo tena duniani.

2. Wakimbizi wa kisiasa wote waliokimbia nchi waruhusiwe kurudi nchini mtesi wao hayupo.

3.Futa sheria zote za kidikteta rejesha Utawala wa uwazi na ukweli

4.Wapinzani wape viti 40 bungeni Ili kuleta mariadhiano.

5.Baraza jipya la mawaziri kabudi, mwigulu,waziri wa afya na naibu wake out ingiza January,mtaka,nape,mavunde.

6.Wasiojulikana wote wasakwe popote wakachukue maharage yao waliyoyapanda.

8.Balance dini,kanda na kabila zingine nchi sio ya kabila moja.

9.Teua CDF,IGP,AG,DPP, mwanasheria mkuu, mkurugenzi mkuu wa tume ya uchaguzi.

10.Sheria za kodi zifumuliwe ziwe rafiki toza kidogo ukusanye zaidi.

11.Uhuru wa vyombo vya habari Ili visaidie kufichua uovu na ufisadi.

12.Mazingira mazuri ya Wawekezaji Ili ajira na kodi ziongezeke.

13.Ikulu ya dodoma igeuzwe chuo kikuu cha ufundi nchini kuanzia veta Hadi phd kuwa na ikulu mbili ni gharama.

Uwanja wa Chato wapewe jeshi uitwe Magufuli airwing Base Ili usipotee.

14.Boresha maslai ya watumishi.

15.Lipa fidia waliobomolewa nyumba zao.

16.Waliofukuzwa Kazi warejeshwe au walipwe kiinua mgongo si wamefanya Kazi lakini.
17.
 
Wapinzani waanze tena kwenda kunywa chai Ikulu kwa gia ya maridhiano.
 
Mama samia inabidi awaruhusu watu kwenda nje ya nchi kirahisi. Urasimu wa kwenye passport ufe. Yeyote anayetaka passport apewe bila masharti ilmradi tu awe matanzania. Ikibidi nikionyesha tu kadi ya NIDA nipewe passport.

Tuachane na mtindo wa nchi za kijamaa kufungia watu wake.
Ukitimiza vigezo mbona ni rahisi tu kupata pasipoti.
 
Ukitimiza vigezo mbona ni rahisi tu kupata pasipoti.
Vigezo vya kirasimu, eti mpaka uonyeshe barua ya mualiko, mkataba wa kazi na maswali kibao kuwa unaenda kufanya nini.

Watu inawashinda hapo, inatakiwa unaenda unawapa namba ya NIDA na laki unusu yao na kesho unapata Passport, tena ujaze tu online.
 
Mtapata taabu saana maana Mama Samia is the 'iron lady'! Ukiingia anga zske tu kuvuruga serikali iliyoyaanzisha chini ya JPM, ambayo yy naye slikuwa sehemu ya serikali hiyo lazima apite na weye! Hamtaamini huyu mamaatakavyokuwa zaidi ya Magufuli kwa kutokucheka na nyani! Mama Samia atapandisha viwango vya uongozi kiasi kwamba tutatamani aendelee kutawala kwa muda mrefu! Nafasi ya mwanamke kuchukua madaraka makubwa inaenda kuhakikishwa kwa utendani bora wa Mama Samia! Wezi mmeula wa chuya! Hamna chenu hapa!
Muhimu kutenda haki aliyepita ni mzuri shida kwenye haki alipwaya
 
JF umekua mtandao wa kipumbavu, sielewi kwanini Max Mello na wenzie wamekubali jitahidi kazi waliyoipigania kwa muda mrefu, nahisi ni uoga na unafki, magu ashakufa tunataka irudi Ile jf tunayoijua bila kusahau jukwaa letu pendwa JLW
 
Afrika nzima ni Maraisi wawili tu ambao walikuwa wakitoa command kuwa hiki kifanyike kwa ajili ya wananchi wanyonge watendaji wa serikali, bunge na mahakama wanatekeleza mara moja

Viongozi hao ni Magufuli na Kagame tu.Wengine hamna kitu.
Mama Samia ndio unaingia kazini kazi kwako.Je utasikilizika?
 
Ushauri wako ni wa kisenge sana,unataka tuwekwe chini ya hao watumwa wetu wa toka enzi za Uhuru,ningewashangaa mods kuuacha huo unaoita Uzi hapa jukwaani

Kiufupi huo haukuwa uzi bali takataka ndio maana mods wameupeka sehemu sahihi(recycle bin)
Hio ndio faida y serikali mbili maana nyinyi hua hamuoni mbele. Narudia, Mama Samia ateua IGP, CDF na Boss wa TISS kutoka Zanzibar ili muone faida ya huu Muungano.

Mngekuwa na akili na wenye kuona mbali, msingeendeleza aina hii ya Muungano na hii Katiba tuliyonayo.
 
Back
Top Bottom