Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na NIDA sio kuwa raia, passport utolewa kwa aliye raia.Vigezo vya kirasimu, eti mpaka uonyeshe barua ya mualiko, mkataba wa kazi na maswali kibao kuwa unaenda kufanya nini.
Watu inawashinda hapo, inatakiwa unaenda unawapa namba ya NIDA na laki unusu yao na kesho unapata Passport, tena ujaze tu online.
NIDA wanatoa vitambulisho vya uraia , au labda kama tunazungumzia NIDA tofauti. Na hayo mambo na maswali unayoweka wakuuliza ni ubalozi wa nchi unayoenda ili wakupe Visa na si uhamiaji wanaotoa Passport.Kuwa na NIDA sio kuwa raia, passport utolewa kwa aliye raia.
Kama una mwenyeji unaenda mtembelea anashindwa nn kukuandikia barua dakika sifuri tu kwenye email anakutumia.
Hakuna nchi yeyeto unaweza ukaingia tu kama mbuzi lzm utoe sababu zinazowaridhisha wao mfano unakuja kufanya nini, mwenyeji wako ni nani,una pesa kiasi gani ukipata shida zikusaidie,nk.
Hawa ni mabingwa wa propaganda na kuonekana mbele ya camera ni watu wanaojenga fence nzuri nje ya gharama na za kisasa lakini ndani nyumba za udongo tena choka mbovu wanawatumia wanyonge kama toilet paper sababu ni rahisi kuwabrain wash wanyonge.Afrika nzima ni Maraisi wawili tu ambao walikuwa wakitoa command kuwa hiki kifanyike kwa ajili ya wananchi wanyonge watendaji wa serikali, bunge na mahakama wanatekeleza mara moja
Viongozi hao ni Magufuli na Kagame tu.Wengine hamna kitu.
Mama Samia ndio unaingia kazini kazi kwako.Je utasikilizika?
Sawa maoni yako yamepokelewa mkuuNi kweli ngumu kumesa ila hana namna ili mambo yaende sawa.
Ukiwa mtu wa kufikiri kwa kina, mama Samia anawakati mgumu na hatari sana.
Mosi kama kweli yeye ni mzanzibari na anaipenda Zanzibar basi tunaenda kupata katiba mpya tena ya mzee wetu Warioba.
Mambo ni mengi ila mda mchache.
Uko sahihi Mama aanze na hili kama hawataki awatumbue biashara iishie hapo aweke wengineMama Samia inabidi awaruhusu watu kwenda nje ya nchi kirahisi. Urasimu wa kwenye passport ufe. Yeyote anayetaka passport apewe bila masharti ilmradi tu awe matanzania. Ikibidi nikionyesha tu kadi ya NIDA nipewe passport.
Tuachane na mtindo wa nchi za kijamaa kufungia watu wake.
Hio ndio faida y serikali mbili maana nyinyi hua hamuoni mbele. Narudia, Mama Samia ateua IGP, CDF na Boss wa TISS kutoka Zanzibar ili muone faida ya huu Muungano.
Mngekuwa na akili na wenye kuona mbali, msingeendeleza aina hii ya Muungano na hii Katiba tuliyonayo.
Mbona unamtisha !! Mr zimmerman . Mwache aongoze kwa uelekeo wake .Hongera sana mama kwa kuapishwa kuwa Rais wa Sita wa Tanzania.
Sasa baada ya Tanzania kupata uzoefu wa kutosha kutokana na awamu zake za uongozi, na tukaona mazuri na mapungufu yake, na wewe pia kupata uzoefu wa kutosha chini ya Mzee Magufuli ninakuomba haya yafuatayo:...
Wangeweza kupata pesa ya kuendesha hiyo idara ya uhamiaji na kutoa gawio serikalini. Kijana hana kazi, si bora umrahisishie aende nje akuletee remittance!.Uko sahihi Mama aanze na hili kama hawataki awatumbue biashara iishie hapo aweke wengine
Wajinga sana wanauliza maswali ya kumpa mtu Visa yanayotakiwa kuulizwa kwenye ofisi za ubalozi kuendekeza rushwa eti ohhh unaenda chi gani kufanya nini ambatanisha ushahidi!!! hayo ni maswali ya balozi unakoenda sio ya uhamiaji....
Rais akibadilika na awamu inabadika, hata bila kumaliza muhula . Angalia ZanzibarSiyo awamu ya sita mkuu,Rais wa sita awamu ya tano. Awamu ni miaka kumi
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ila Membe amekosa umakamu rais kizembe [emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli huu ndio muda wao washindwe wenyeweHaya wazanzibari muda wenu huu wa kujidai mshindwe wenyewe tu kuweka mambo sawa mlilalamika sanaa yaani