Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Labda atoke kwenye mfumo wa sisi, ngoja madaraja yaanze kupewa majina yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu tu unakutesa kwani Chato sio sehemu ya Tanzania.Sema tufute ya yaliyopo Mkoa wa KilimanjaroMh Rais katka mambo ya kufanya hakikisha unafanya yafuatayo:
1. Futa wilaya ya Chato ibaki kata
2. Futa Mpango wa kuipa Chato Mkoa
3. Futa Mpango wa kujenga Daraja la Mwanza la ziwani....
Waache tu iyo kaxumba ya kutuita (wanyonge) siipendi hadi kesho mana ni dharau izoHongera sana mama kwa kuapishwa kuwa Rais wa Sita wa Tanzania...
Kwann umewaza kwanza Masilahi ?Kati ya ubalozi wa Japan na ubunge ni kipi kina maslahi zaidi? Tuanzie hapo kwanza
AaaarrrghhhBillion 180 zinamtosha