Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Pisi kali naona unatuletea kauli za kutukumbusha majozi watanzania.Mitano tena [emoji205]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pisi kali naona unatuletea kauli za kutukumbusha majozi watanzania.Mitano tena [emoji205]
Kule haingii, anaishia hapo Mlimani City tu kwa sasa.Hivi huyo jamaa mwenye hips kubwa anaepata watoto kwa njia ya kupandikizwa yupo wapi?? Na je lile zuio la USA kuwa asiingie nchini mwao liliishia wapi!??
ndioBuza eeh
Acha fikra potofu za mfumo dume, wanawake nao wapewe nafasi,Nchi itadidimia.
Wengi wana elimu tayari na quakifications, kwanini wasipewe?Hata hao wanawake huwa wanawashangaa mnavyowakweza.
Ko wapewe kwa kuwa tu ni wanawake?
Sasa mbona unaendeleza yaleyale.Sioni shida kabisa mwanamke kupewa kitengo...
Dau ni mwizi hafai, mama usithubutu kuleta jizi lililofisadi NSSF.Pole na kazi mama za ujenzi wa taifa nikiwa Kama mtanzania mwenye kulitakia taifa maendeleo mapendekezo ya waziri wetu wa fedha hapo naomba nikushauri watu 3
Professor Asad
Dct dau
Chares kimei
Hawa watu ni vichwa sana kwenye sector ya fedha na hazina kubwa Sana kwa nchi yetu hayo ni mawazo yangu tuuu Kama itakupendeza.