ufuatiliaji wa makini kwa kila jambo ni muhimu sana, wasiridhike na taarifa za kuletewa yawapasa wajiongeze. hii nchi ina wapiga dili wengi sana kuliko waadilifu.
wasikubali kuendeshwa na kikundi cha watu wacheche.
Masilahi ya wananchi wengi ndio yawe namaba moja.
viongozi wetu wasisikilize majungu na fitina kisha wakafanya maamuzi bila kujiridhisha ni hatari sana,
tusikubali kuyumbishwa au kuendeshwa na mataifa ya nje, yatupasa tuwe imara.
tuchukue hatua haraka kwa wale wote amabao sio waaminifu na waadilifu,
pia tuwa baini na tuchukue hatua kwa wale wote wanao taka kuhujumu jitihada za serikali kwa wananchi, nk