Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Waswahili wana msemo wao maarufu "Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua"
Naam, Mungu huwa hatoi taarifa kama anataka kukupa. Ndivyo alivyofanya kwetu Watanzania.
Ametupa kiongozi mahiri ambaye ameonesha umahiri mkubwa wa uongozi katika siku zake chache tangu amekikalia kiti cha enzi.
Kauli zake, zinaonesha mwelekeo mzuri wa Taifa na ni wazi kuwa huyu ni Chaguoa sahihi la Mungu kwetu watanzania, ili kutuletea maendeleo huku tukifurahia umoja, udugu, amani na utulivu wa mwili na roho.
Asante Mungu.
 
Ndo maana kapiga chini mambo ya katiba mpya na takataka zingine.
 
Namshauri Raisi Samia awe anawafunga wote wanaompa sifa za kijinga bila sababu... maana Kusifia sana Aachiwe Mungu... nchi ikiwa na idadi kubwa ya wapumbavu humjaza Sifa kiongozi wao hadi anawehuka...
 
Mataga nyie kila kitu ni chaguo la mungu, yaani mungu amekua chaka la kutetea uharo wa uongozi wa nchi hii.
 
Waswahili wana msemo wao maarufu "Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua"
Naam, Mungu huwa hatoi taarifa kama anataka kukupa. Ndivyo alivyofanya kwetu Watanzania.
Ametupa kiongozi mahiri ambaye ameonesha umahiri mkubwa wa uongozi katika siku zake chache tangu amekikalia kiti cha enzi.
Kauli zake, zinaonesha mwelekeo mzuri wa Taifa na ni wazi kuwa huyu ni Chaguoa sahihi la Mungu kwetu watanzania, ili kutuletea maendeleo huku tukifurahia umoja, udugu, amani na utulivu wa mwili na roho.
Asante Mungu.
Mmeanza tena 🤣🤣🤣🤣
 
Waswahili wana msemo wao maarufu "Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua"
Naam, Mungu huwa hatoi taarifa kama anataka kukupa. Ndivyo alivyofanya kwetu Watanzania.
Ametupa kiongozi mahiri ambaye ameonesha umahiri mkubwa wa uongozi katika siku zake chache tangu amekikalia kiti cha enzi.
Kauli zake, zinaonesha mwelekeo mzuri wa Taifa na ni wazi kuwa huyu ni Chaguoa sahihi la Mungu kwetu watanzania, ili kutuletea maendeleo huku tukifurahia umoja, udugu, amani na utulivu wa mwili na roho.
Asante Mungu.
Kwanza inaonekana wewe kichwani hamna kitu inaitwa akili.

Chaguo la Mungu wewe ulishiriki wapi kumpigia kura huyo mama?
 
Namshauri Raisi Samia awe anawafunga wote wanaompa sifa za kijinga bila sababu... maana Kusifia sana Aachiwe Mungu... nchi ikiwa na idadi kubwa ya wapumbavu humjaza Sifa kiongozi wao hadi anawehuka...
Hao ndiyo MATAGA waliokuwa wanashinda vibarazanj kwa jiwe wakiuza umbea
 
Hizi takataka ndio Mungu mwenye wivu hapendi, kuanza kuabudu sanamu naona mtafanya kazi irudiwe kwa maana unafiki umewazidi na Mungu hapendi mnafiki. Shauri yenu mnaopenda kujipendekeza kwa binadamu mwenzenu.
 
Na akiharibu mje hapa kumsifia pia hivi watanzania wengi
akili huwa ziko wapi?
 
Mumeanza sifa za kijinga ka za mwendazake ili mumutie mama gundu la kumpa utukufu usio wake bure
Katika kitu ambacho rais Samia anapaswa kukemea ni hizi sifa za kijinga. Asikubali kabisa. Ni bora apende wanamkosoa kuliko wanamsifia. Leo nimeona tena ile tabia aliyoianzisha Makonda ya kusimama na kuinama kama unasujudu kila rais anapotamka jina la mhusika bado inaendelea tena kwa kasi sana. Sikatai kuna wakati mtu anaweza kusimama lakini siyo kila jina linapotamkwa mtu anasimama. Kama Mwingulu ndiyo ana tabia hii mpaka mtu unayeangalia TV unasikia aibu.
 
Mlimponza Mzee kwa kumsifia zaidi ya Mungu, mshindwe kwa Jina lKuu.
 
Waswahili wana msemo wao maarufu "Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua"
Naam, Mungu huwa hatoi taarifa kama anataka kukupa. Ndivyo alivyofanya kwetu Watanzania.
Ametupa kiongozi mahiri ambaye ameonesha umahiri mkubwa wa uongozi katika siku zake chache tangu amekikalia kiti cha enzi.
Kauli zake, zinaonesha mwelekeo mzuri wa Taifa na ni wazi kuwa huyu ni Chaguoa sahihi la Mungu kwetu watanzania, ili kutuletea maendeleo huku tukifurahia umoja, udugu, amani na utulivu wa mwili na roho.
Asante Mungu.
Ni mapema sana kulisema hili....!!! Tuupe muda wakati...itajulikana tuu
 
Back
Top Bottom