mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye mazishi yake kuna wanadamu walibeba bango limeandikwa MTAKATIFU MAGUFULI...[emoji848][emoji848][emoji848]Nakumbuka Magufuli walimpa hadi cheo cha umungu kabisa sifa za kibinadamu zilipoisha
Hufai kuwa team MsimbaziNdo maana kapiga chini mambo ya katiba mpya na takataka zingine.
walimjua vizuri mwenyekiti wao ni mpenda masifa ndio maana hawakusita kumpa cheo cha mwisho wa uhai wake MTAKATIFUKwenye mazishi yake kuna wanadamu walibeba bango limeandikwa MTAKATIFU MAGUFULI...[emoji848][emoji848][emoji848]
Chaguo gani la Mungu linalokataa HAKI za RaiaNdo maana kapiga chini mambo ya katiba mpya na takataka zingine.
Praise and Worship Team.Waswahili wana msemo wao maarufu "Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua"
Naam, Mungu huwa hatoi taarifa kama anataka kukupa. Ndivyo alivyofanya kwetu Watanzania.
Ametupa kiongozi mahiri ambaye ameonesha umahiri mkubwa wa uongozi katika siku zake chache tangu amekikalia kiti cha enzi.
Kauli zake, zinaonesha mwelekeo mzuri wa Taifa na ni wazi kuwa huyu ni Chaguoa sahihi la Mungu kwetu watanzania, ili kutuletea maendeleo huku tukifurahia umoja, udugu, amani na utulivu wa mwili na roho.
Asante Mungu.
Majuha watakuwa walimpa ila siyo wenye akiliNakumbuka Magufuli walimpa hadi cheo cha umungu kabisa sifa za kibinadamu zilipoisha
TUANZE na wale waliotengeneza Mungu mtu wao ambaye sasa hivi anasubiri kupigiwa kura ya kuwa kiongozi wa malaika mbinguni. Hiyo kura atapata YAI.Namshauri Raisi Samia awe anawafunga wote wanaompa sifa za kijinga bila sababu... maana Kusifia sana Aachiwe Mungu... nchi ikiwa na idadi kubwa ya wapumbavu humjaza Sifa kiongozi wao hadi anawehuka...
🤣🤣🤣🤣🤣. Anasubiri uchaguzi wa kuongoza malaika. Uchaguzi utataga yaiKwenye mazishi yake kuna wanadamu walibeba bango limeandikwa MTAKATIFU MAGUFULI...[emoji848][emoji848][emoji848]
Mmeshaanza duuuhWaswahili wana msemo wao maarufu "Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua"
Naam, Mungu huwa hatoi taarifa kama anataka kukupa. Ndivyo alivyofanya kwetu Watanzania.
Ametupa kiongozi mahiri ambaye ameonesha umahiri mkubwa wa uongozi katika siku zake chache tangu amekikalia kiti cha enzi.
Kauli zake, zinaonesha mwelekeo mzuri wa Taifa na ni wazi kuwa huyu ni Chaguoa sahihi la Mungu kwetu watanzania, ili kutuletea maendeleo huku tukifurahia umoja, udugu, amani na utulivu wa mwili na roho.
Asante Mungu.
Hahahaha mmeshaanza Sasa nimipe sirj huyu mama anajitambua nitofauti nayuuuuule mwendazake maana mmh?mlimuita mingu mala yesu mtakatifu Sasa mungu wambingu na aridhi akaamua kuoa hitimishoWaswahili wana msemo wao maarufu "Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua"
Naam, Mungu huwa hatoi taarifa kama anataka kukupa. Ndivyo alivyofanya kwetu Watanzania.
Ametupa kiongozi mahiri ambaye ameonesha umahiri mkubwa wa uongozi katika siku zake chache tangu amekikalia kiti cha enzi.
Kauli zake, zinaonesha mwelekeo mzuri wa Taifa na ni wazi kuwa huyu ni Chaguoa sahihi la Mungu kwetu watanzania, ili kutuletea maendeleo huku tukifurahia umoja, udugu, amani na utulivu wa mwili na roho.
Asante Mungu.
Hayo ndo mapambio ambayo hatuyataki baki nayo nyumbani kwako, kila binadam ni chaguo la mungu na hakuna alie zaidi mbele za mungu, vyeo ni Mambo ya kidunia tu ,Waswahili wana msemo wao maarufu "Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua"
Naam, Mungu huwa hatoi taarifa kama anataka kukupa. Ndivyo alivyofanya kwetu Watanzania.
Ametupa kiongozi mahiri ambaye ameonesha umahiri mkubwa wa uongozi katika siku zake chache tangu amekikalia kiti cha enzi.
Kauli zake, zinaonesha mwelekeo mzuri wa Taifa na ni wazi kuwa huyu ni Chaguoa sahihi la Mungu kwetu watanzania, ili kutuletea maendeleo huku tukifurahia umoja, udugu, amani na utulivu wa mwili na roho.
Asante Mungu.
Unanikanyaga!Jamani hivi nyie majitu mnaishi nchini au kwa huyo mshenzi na msaliti anayejiita kigogo.Mama yetu Mh Rais Mama Samia ni Rais wa awamu ya 6.Anakwenda kwa spidi ya 5G tena kwa uhakika.
Zile zama za vyuma vimekaza zitaanza kuyeyuka pole pole.Isitoshetunakoelekea sote tutafurahi.Naamini ataheshimu uhuru wa vyombo vya habari,demokrasia,vyama vya siasa kunadi sera zao bila kubugudhiwa,na hata wewe na mimi tutaweza kutoa mawazo yetu kwa uhuru kamili.Rule of Law itakuwepo,kubambikiwa kesi kutaisha,na mengi mengineyo.
Tumuombee aweze kutuongoza kwani ni mpole,lakini anaejua anafanya nini.Keep it Up Mama yetu mpendwa.Tupo Nyuma yako.
Naunga mkono hoja,Binafsi naanza kuona vijembe na mizaha jukwaani. Mara mwenye jinsia ya kike, Mara macho yamelegea, hii yote ya nini? Kweli hadi hapo bado unataka sifa za maumbile? Rais akumbuke kuna kundi pembeni linaangalia kama kabadilika tabia.
Tabia wanayoifahamu tangu akiwa waziri na baadaye Makamu wa rais. Sasa kama kuna tabia hataziacha, huo ndo upenyo wa kuingilia kuharibu mambo. Tutaanza kuona tena nchi inaendeshwa kwa vimemo vya ikulu.
Mtangulizi alikomesha tabia fulani za mitaani kwa tabia yake ya kutotabilika. Dakika moja mzaha mara mtu katumbuliwa. Sasa huyu rais mpya akataposhindwa kuachana na tabia zake walizozizoea huko maofisini, itakuwa ni kuwaangusha akina mama wote wanaofuata nyayo. Asidhani hazitembei huku mitaani. Amepanda jukwaa, soon tutaanza kuambiwa hata yasiyofaa kwenye jamii hii yenye masculinity.