Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Ni chaguo la Mungu kweli​

Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu.

Warumi 13: 1-2
 
Kwenye mazishi yake kuna wanadamu walibeba bango limeandikwa MTAKATIFU MAGUFULI...[emoji848][emoji848][emoji848]
walimjua vizuri mwenyekiti wao ni mpenda masifa ndio maana hawakusita kumpa cheo cha mwisho wa uhai wake MTAKATIFU
 
Waswahili wana msemo wao maarufu "Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua"
Naam, Mungu huwa hatoi taarifa kama anataka kukupa. Ndivyo alivyofanya kwetu Watanzania.
Ametupa kiongozi mahiri ambaye ameonesha umahiri mkubwa wa uongozi katika siku zake chache tangu amekikalia kiti cha enzi.
Kauli zake, zinaonesha mwelekeo mzuri wa Taifa na ni wazi kuwa huyu ni Chaguoa sahihi la Mungu kwetu watanzania, ili kutuletea maendeleo huku tukifurahia umoja, udugu, amani na utulivu wa mwili na roho.
Asante Mungu.
Praise and Worship Team.
A.K.A
Timu ya kusifu na kuabudu.
 
Namshauri Raisi Samia awe anawafunga wote wanaompa sifa za kijinga bila sababu... maana Kusifia sana Aachiwe Mungu... nchi ikiwa na idadi kubwa ya wapumbavu humjaza Sifa kiongozi wao hadi anawehuka...
TUANZE na wale waliotengeneza Mungu mtu wao ambaye sasa hivi anasubiri kupigiwa kura ya kuwa kiongozi wa malaika mbinguni. Hiyo kura atapata YAI.
 
Waswahili wana msemo wao maarufu "Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua"
Naam, Mungu huwa hatoi taarifa kama anataka kukupa. Ndivyo alivyofanya kwetu Watanzania.
Ametupa kiongozi mahiri ambaye ameonesha umahiri mkubwa wa uongozi katika siku zake chache tangu amekikalia kiti cha enzi.
Kauli zake, zinaonesha mwelekeo mzuri wa Taifa na ni wazi kuwa huyu ni Chaguoa sahihi la Mungu kwetu watanzania, ili kutuletea maendeleo huku tukifurahia umoja, udugu, amani na utulivu wa mwili na roho.
Asante Mungu.
Mmeshaanza duuuh
 
Waswahili wana msemo wao maarufu "Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua"
Naam, Mungu huwa hatoi taarifa kama anataka kukupa. Ndivyo alivyofanya kwetu Watanzania.
Ametupa kiongozi mahiri ambaye ameonesha umahiri mkubwa wa uongozi katika siku zake chache tangu amekikalia kiti cha enzi.
Kauli zake, zinaonesha mwelekeo mzuri wa Taifa na ni wazi kuwa huyu ni Chaguoa sahihi la Mungu kwetu watanzania, ili kutuletea maendeleo huku tukifurahia umoja, udugu, amani na utulivu wa mwili na roho.
Asante Mungu.
Hahahaha mmeshaanza Sasa nimipe sirj huyu mama anajitambua nitofauti nayuuuuule mwendazake maana mmh?mlimuita mingu mala yesu mtakatifu Sasa mungu wambingu na aridhi akaamua kuoa hitimisho
 
Waswahili wana msemo wao maarufu "Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua"
Naam, Mungu huwa hatoi taarifa kama anataka kukupa. Ndivyo alivyofanya kwetu Watanzania.
Ametupa kiongozi mahiri ambaye ameonesha umahiri mkubwa wa uongozi katika siku zake chache tangu amekikalia kiti cha enzi.
Kauli zake, zinaonesha mwelekeo mzuri wa Taifa na ni wazi kuwa huyu ni Chaguoa sahihi la Mungu kwetu watanzania, ili kutuletea maendeleo huku tukifurahia umoja, udugu, amani na utulivu wa mwili na roho.
Asante Mungu.
Hayo ndo mapambio ambayo hatuyataki baki nayo nyumbani kwako, kila binadam ni chaguo la mungu na hakuna alie zaidi mbele za mungu, vyeo ni Mambo ya kidunia tu ,
 
Jamani hivi nyie majitu mnaishi nchini au kwa huyo mshenzi na msaliti anayejiita kigogo.Mama yetu Mh Rais Mama Samia ni Rais wa awamu ya 6.Anakwenda kwa spidi ya 5G tena kwa uhakika.

Zile zama za vyuma vimekaza zitaanza kuyeyuka pole pole.Isitoshetunakoelekea sote tutafurahi.Naamini ataheshimu uhuru wa vyombo vya habari,demokrasia,vyama vya siasa kunadi sera zao bila kubugudhiwa,na hata wewe na mimi tutaweza kutoa mawazo yetu kwa uhuru kamili.Rule of Law itakuwepo,kubambikiwa kesi kutaisha,na mengi mengineyo.

Tumuombee aweze kutuongoza kwani ni mpole,lakini anaejua anafanya nini.Keep it Up Mama yetu mpendwa.Tupo Nyuma yako.
Unanikanyaga!
 
Binafsi naanza kuona vijembe na mizaha jukwaani. Mara mwenye jinsia ya kike, Mara macho yamelegea, hii yote ya nini? Kweli hadi hapo bado unataka sifa za maumbile? Rais akumbuke kuna kundi pembeni linaangalia kama kabadilika tabia.

Tabia wanayoifahamu tangu akiwa waziri na baadaye Makamu wa rais. Sasa kama kuna tabia hataziacha, huo ndo upenyo wa kuingilia kuharibu mambo. Tutaanza kuona tena nchi inaendeshwa kwa vimemo vya ikulu.

Mtangulizi alikomesha tabia fulani za mitaani kwa tabia yake ya kutotabilika. Dakika moja mzaha mara mtu katumbuliwa. Sasa huyu rais mpya akataposhindwa kuachana na tabia zake walizozizoea huko maofisini, itakuwa ni kuwaangusha akina mama wote wanaofuata nyayo. Asidhani hazitembei huku mitaani. Amepanda jukwaa, soon tutaanza kuambiwa hata yasiyofaa kwenye jamii hii yenye masculinity.
Naunga mkono hoja,
P
 
Hata aliyepita nae alikua na maneno yake fulani hivi...

Usimpangie...
 
Back
Top Bottom