Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Mimi nasubiria vitendo! Maana kama ni maneno matamu tu, hata kwenye kanga yapo!

All in all, namtakia kila la heri. Muhimu asikengeuke tu kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake.
 
Mimi nasubiria vitendo! Maana kama ni maneno matamu tu, hata kwenye kanga yapo!

All in all, namtakia kila la heri. Muhimu asikengeuke tu kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake.
Vitendo mbona tayari ameshafanya mfano kufungulia vyombo vya habari na hata twitter juzi kati alifungua sijui nani akafunga tena
 
Nahisi munaanza kuona tunakorudi. Wanaoeleweka kwa rushwa akina Kidata wanarudi TRA
 

Akae mbali na watu kama kina Nape , Bashite ,Said Bagaile et al.
 
1. Unataka kupanuliwa?
2. Wanawake weupe nawasikiliza haraka
3. Kabaki na mavi yako nyumbani
4. Huo mguu wako mwingine uko vizuri? (akiongea na kilema wa miguu).
5. Nitapiga mashangazi wenu
6. Mke wangu ananipatia kweli muda wa kunieleza shida zenu nyie walimu, wakati wa chakula cha usiku
7. Tetemeko serikali ndiyo iliyorireta?
8. Wewe mwanmke unalia vizuri sana

Jiwe huyo
 
Nawa-Zoom
jpm6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…