Tupo watanzania zaidi ya milioni 60, tumemuamini mama samia kuwa rais wetu, usimtishe!Usilete ramli tatanishi hapa.Mama na dada yangu na Rais wangu
maadamu umeshajionyesha unapenda mitandao basi subiri moto utakuwakia sana
marais wenzako wana timu ya watu wanaodeal na mitandao wewe umesema unaamka asubuhi na mapema eee!
haya subiri kidogo utajionea jinsi mambo yatakavyokuchenjia mpaka utatamani kuikimbia ikulu
halafu Mama mbona unaenda kasi sana kubadilisha mambo ya meko???mh!
inaonyesha ni jinsi gani ulivyo dhaifu kwa sababu umefanya kazi na meko muda wote ina maana ulikuwa umekaa tuu hujui nini kinaendelea???
mimi nakuonea huruma tuu nchi inaongozwa na professionals sio mihemko na maneno mengi
mawaziri wako wamekushtukia utajionea mambo yatakavyokwenda
hivi ile tumbua tumbua ya meko utaimudu?????
eeeh Mungu hii nchi twende wapi sasa,nani atatusaidia ndugu zangu???
huyu Mama keshafeli kabla ya kuanza
uongozi sio maneno mengi jamani mbona najisikia kuogopa mimi????
Hawa wanaomdis mama ni ccm mkuu wala siyo wapinzani.Sijui mnataka Rais wa namna gani, pombe mlikua mnamshutumu kwa mwngi, sasa tumempata ambae ana utu bado hamumtaki, basi afande sele awe rais wenu
Huyo dada yeye mwenyewe mkeshaji kwenye mitandao ya kijamii, ila cha ajabu hajioni amemuona Mama Samia.Tupo watanzania zaidi ya milioni 60, tumemuamini mama samia kuwa rais wetu, usimtishe!Usilete ramli tatanishi hapa.
mama yupo fair sana, anatetea uhuru wa habari, anatetea wawekezaji na walipa kodi, yani anafanya yale tuliyokuwa tunaombea yafanyike, lakini bado kuna midubwasha inaleta chuki.Sijui inawashwa na nini? Muacheni afate njia ambayo inatupa raha watanzania. Tumetoka jangwani mtuache tupumzike chini ya bustani.Kaa kwa kutulia, kuimba kupokezana, saivi zamu yenu[emoji16]
Mama na dada yangu na Rais wangu
maadamu umeshajionyesha unapenda mitandao basi subiri moto utakuwakia sana
marais wenzako wana timu ya watu wanaodeal na mitandao wewe umesema unaamka asubuhi na mapema eee!
haya subiri kidogo utajionea jinsi mambo yatakavyokuchenjia mpaka utatamani kuikimbia ikulu
halafu Mama mbona unaenda kasi sana kubadilisha mambo ya meko???mh!
inaonyesha ni jinsi gani ulivyo dhaifu kwa sababu umefanya kazi na meko muda wote ina maana ulikuwa umekaa tuu hujui nini kinaendelea???
mimi nakuonea huruma tuu nchi inaongozwa na professionals sio mihemko na maneno mengi
mawaziri wako wamekushtukia utajionea mambo yatakavyokwenda
hivi ile tumbua tumbua ya meko utaimudu?????
eeeh Mungu hii nchi twende wapi sasa,nani atatusaidia ndugu zangu???
huyu Mama keshafeli kabla ya kuanza
uongozi sio maneno mengi jamani mbona najisikia kuogopa mimi????
Kama zile za air tanzania inatengeneza faida au 😂😂hamna kitu hpo dili zishaanza kaa zamani
Yes ni ccm tena wale magufuli kindakindaki, wanataka sera ya mwendazake iendelee kutawala wanashindwa kujua kwamba huu ni utawala mpyaHawa wanaomdis mama ni ccm mkuu wala siyo wapinzani.
Nadhani anajua faida na hasara za mitandao na ana akili na uzoefu wa kulijua hilo. Afterall mitandao ni sehemu ya maisha pia.Mama na dada yangu na Rais wangu
maadamu umeshajionyesha unapenda mitandao basi subiri moto utakuwakia sana
marais wenzako wana timu ya watu wanaodeal na mitandao wewe umesema unaamka asubuhi na mapema eee!
haya subiri kidogo utajionea jinsi mambo yatakavyokuchenjia mpaka utatamani kuikimbia ikulu
halafu Mama mbona unaenda kasi sana kubadilisha mambo ya meko???mh!
inaonyesha ni jinsi gani ulivyo dhaifu kwa sababu umefanya kazi na meko muda wote ina maana ulikuwa umekaa tuu hujui nini kinaendelea???
mimi nakuonea huruma tuu nchi inaongozwa na professionals sio mihemko na maneno mengi
mawaziri wako wamekushtukia utajionea mambo yatakavyokwenda
hivi ile tumbua tumbua ya meko utaimudu?????
eeeh Mungu hii nchi twende wapi sasa,nani atatusaidia ndugu zangu???
huyu Mama keshafeli kabla ya kuanza
uongozi sio maneno mengi jamani mbona najisikia kuogopa mimi????
Yaan we unacheza kwenye ID zote aisee..ile nyingne nayo ni hatarOnea huruma kizazi chako achana na mama wa taifa.
Ccm mbele kwa mbele.
Mkuu sijawahi kumiliki ID mbili.Yaan we unacheza kwenye ID zote aisee..ile nyingne nayo ni hatar
Mama na dada yangu na Rais wangu
maadamu umeshajionyesha unapenda mitandao basi subiri moto utakuwakia sana
marais wenzako wana timu ya watu wanaodeal na mitandao wewe umesema unaamka asubuhi na mapema eee!
haya subiri kidogo utajionea jinsi mambo yatakavyokuchenjia mpaka utatamani kuikimbia ikulu
halafu Mama mbona unaenda kasi sana kubadilisha mambo ya meko???mh!
inaonyesha ni jinsi gani ulivyo dhaifu kwa sababu umefanya kazi na meko muda wote ina maana ulikuwa umekaa tuu hujui nini kinaendelea???
mimi nakuonea huruma tuu nchi inaongozwa na professionals sio mihemko na maneno mengi
mawaziri wako wamekushtukia utajionea mambo yatakavyokwenda
hivi ile tumbua tumbua ya meko utaimudu?????
eeeh Mungu hii nchi twende wapi sasa,nani atatusaidia ndugu zangu???
huyu Mama keshafeli kabla ya kuanza
uongozi sio maneno mengi jamani mbona najisikia kuogopa mimi????