Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Hamjambo wote...??

Mama yetu chonde usiwachekee wanaomponda Rais aliyepita, ni wanafiki ambao hata wewe watakuponda pia..

Labda Magufuli alifanya ufisadi, yes ni jambo baya linalofaa kukemewa vibaya, but hey, he had Tanzanians best interests at heart! No doubt...

And yes kama biandamu wengine walivyo na madhaifu,alikua na udhaifu wa kutaka kufanya decisions peke yake,kwa mfano kuendeleza Chato...

Aliendesha Tanzania as king and not a president...

Mama Samia , huu udhaifu uwe ndio njia ya kudefine serikali yako,

Mama usichukue na kufanya miradi ya Magufuli tofauti,

Kwa kufanya hivyo utakua unatembelea kivuli cha Magufuli,...... ambapo miradi yake ikiisha je na serikali yako itakua imekufa???

Angalia the whole picture...his leadership is what you should change not miradi yake....

Create your own government, unique leadership style..huku ukiangalia kwa ukaribu wapi viongozi waliopita walishindwa ku lead a nation kwa weledi....

Mimi naomba na ninakuombea uwe kiongozi mwenye busara...

Magufuli Aliweka Gap kwetu sisi wananchi tukawa na Bunge tusilione,akazuia mikutano ya hadhira ya wanasiasa, na kufungia vyombo vya habari...

Hii yote ni kucreate tabaka/gap kati ya viongozi na wananchi, which we all know was because he didnt want to be questioned or challenged of his decisions on Projects such those of Chatto.

He lead the nation singly....

Itapendeza Government yako kama itakua serikali sikivu na iwa involve/engage wananchi

Wasalaam, Becky!
expand...
MATAGA mmepatwa na kiwewe.

Pambio mfululizo niaka 5 limewalemaza kabisa, mmekuwa vibudu. Jiwe aliwashika vibaya sana.

Mambo ya brainwashing na cult-following.

Niseme tu CORONA BABA LAO. Mtu kazikwa na kinyesi chake😂😂😂😂
 
Hamjambo wote...??

Mama yetu chonde usiwachekee wanaomponda Rais aliyepita, ni wanafiki ambao hata wewe watakuponda pia..

Labda Magufuli alifanya ufisadi, yes ni jambo baya linalofaa kukemewa vibaya, but hey, he had Tanzanians best interests at heart! No doubt...

And yes kama biandamu wengine walivyo na madhaifu,alikua na udhaifu wa kutaka kufanya decisions peke yake,kwa mfano kuendeleza Chato...

Aliendesha Tanzania as king and not a president...

Mama Samia , huu udhaifu uwe ndio njia ya kudefine serikali yako,

Mama usichukue na kufanya miradi ya Magufuli tofauti,

Kwa kufanya hivyo utakua unatembelea kivuli cha Magufuli,...... ambapo miradi yake ikiisha je na serikali yako itakua imekufa???

Angalia the whole picture...his leadership is what you should change not miradi yake....

Create your own government, unique leadership style..huku ukiangalia kwa ukaribu wapi viongozi waliopita walishindwa ku lead a nation kwa weledi....

Mimi naomba na ninakuombea uwe kiongozi mwenye busara...

Magufuli Aliweka Gap kwetu sisi wananchi tukawa na Bunge tusilione,akazuia mikutano ya hadhira ya wanasiasa, na kufungia vyombo vya habari...

Hii yote ni kucreate tabaka/gap kati ya viongozi na wananchi, which we all know was because he didnt want to be questioned or challenged of his decisions on Projects such those of Chatto.

He lead the nation singly....

Itapendeza Government yako kama itakua serikali sikivu na iwa involve/engage wananchi

Wasalaam, Becky!
Ushauri mzuri.
 
Sio wema sepetu kweli wewe , anyway miradi ya Jiwe Ile mikubwa haina wahisani na inazidi uwezo wa Taifa kuihudumia, thus why Jiwe alifanya yafuatayo
1.Kusitisha vibali vya ajira , ( only kiduchu tuu aliruhusu)
2. Kukopa ndani na nje ya nchi , ukopji wa ndani ulilenga kwenye mifuko ya hifadhi na hapa iliathiri pesa za wastaafu, ukopaji wa nje uliongeza deni la Taifa
3. Kubuni Kodi za kila aina ikiwemo kuwabambikizia kesi watu wenye pesa , na pale walipotoa pesa kesi iliisha..
4. Kupiga chini nyongeza ya mishahara
5.Tenda nyingi zilipewa taasisi za kiserikali ili malipo yafanyike kiduchu , ili pesa ipelekwe kwenye miradi ,
6.Kutafta kasoro kwenye mfumo wa ajira eg wenye vyeti feki , na kuchukua pesa zao za mafao
7. N.k

Bado katika mazingira haya Hali ilikuwa mbaya ,na option iliyokuwepo ni yeye kubaki madarakani ili aimalizie....

Kwa mtazamo wangu mama ana option nne
1. Kuipiga chini hyo miradi
2.Kuendana nayo mdogo mdogo kulingana na uwezo wa Taifa
3.Kuendana nayo Kwa style ya kimaghufuli
4.Kutafta wahisani

Ni uamzi wake sasa..
Ushauri mzuri
 
Hamjambo wote...??

Mama yetu chonde usiwachekee wanaomponda Rais aliyepita, ni wanafiki ambao hata wewe watakuponda pia..

Labda Magufuli alifanya ufisadi, yes ni jambo baya linalofaa kukemewa vibaya, but hey, he had Tanzanians best interests at heart! No doubt...

And yes kama biandamu wengine walivyo na madhaifu,alikua na udhaifu wa kutaka kufanya decisions peke yake,kwa mfano kuendeleza Chato...

Aliendesha Tanzania as king and not a president...

Mama Samia , huu udhaifu uwe ndio njia ya kudefine serikali yako,

Mama usichukue na kufanya miradi ya Magufuli tofauti,

Kwa kufanya hivyo utakua unatembelea kivuli cha Magufuli,...... ambapo miradi yake ikiisha je na serikali yako itakua imekufa???

Angalia the whole picture...his leadership is what you should change not miradi yake....

Create your own government, unique leadership style..huku ukiangalia kwa ukaribu wapi viongozi waliopita walishindwa ku lead a nation kwa weledi....

Mimi naomba na ninakuombea uwe kiongozi mwenye busara...

Magufuli Aliweka Gap kwetu sisi wananchi tukawa na Bunge tusilione,akazuia mikutano ya hadhira ya wanasiasa, na kufungia vyombo vya habari...

Hii yote ni kucreate tabaka/gap kati ya viongozi na wananchi, which we all know was because he didnt want to be questioned or challenged of his decisions on Projects such those of Chatto.

He lead the nation singly....

Itapendeza Government yako kama itakua serikali sikivu na iwa involve/engage wananchi

Wasalaam, Becky!
Kila mtu ni mshauri wa raisi sasa!!??
 
Hamjambo wote...??

Mama yetu chonde usiwachekee wanaomponda Rais aliyepita, ni wanafiki ambao hata wewe watakuponda pia..

Labda Magufuli alifanya ufisadi, yes ni jambo baya linalofaa kukemewa vibaya, but hey, he had Tanzanians best interests at heart! No doubt...

And yes kama biandamu wengine walivyo na madhaifu,alikua na udhaifu wa kutaka kufanya decisions peke yake,kwa mfano kuendeleza Chato...

Aliendesha Tanzania as king and not a president...

Mama Samia , huu udhaifu uwe ndio njia ya kudefine serikali yako,

Mama usichukue na kufanya miradi ya Magufuli tofauti,

Kwa kufanya hivyo utakua unatembelea kivuli cha Magufuli,...... ambapo miradi yake ikiisha je na serikali yako itakua imekufa???

Angalia the whole picture...his leadership is what you should change not miradi yake....

Create your own government, unique leadership style..huku ukiangalia kwa ukaribu wapi viongozi waliopita walishindwa ku lead a nation kwa weledi....

Mimi naomba na ninakuombea uwe kiongozi mwenye busara...

Magufuli Aliweka Gap kwetu sisi wananchi tukawa na Bunge tusilione,akazuia mikutano ya hadhira ya wanasiasa, na kufungia vyombo vya habari...

Hii yote ni kucreate tabaka/gap kati ya viongozi na wananchi, which we all know was because he didnt want to be questioned or challenged of his decisions on Projects such those of Chatto.

He lead the nation singly....

Itapendeza Government yako kama itakua serikali sikivu na iwa involve/engage wananchi

Wasalaam, Becky!
Hakuna namna utawala uliopita unaweza kupambika never never !!! Magu aliuponda sana utawala wa JK kumbuka maneno ya " Hii nchi imechezewa sana" Muosha huoshwa Asante Mungu
 
Aisee huyu mama inabidi awe makini sana,Inabidi ajue aina ya viongozi alionao na jinsi walivyojaaliwa uwezo/vipaji wa kubadilika badilika at any time ( T).ajue kua anaongoza serikali ambao viongozi wenzake wana uwezo wa kujipendekeza kwa hali yoyote ile ili kulinda nafasi/matumbo yao.
Yaani ghafla wale walioanza kumponda aliemuachia kiti angeanza nao hao awapige chini wote,tabia hizo hizo watamfanyia na yeye miaka michache ijayo.
2 Samweli 1 :16
"Daudi akamwambia, Damu yako na iwe juu ya kichwa chako mwenyewe; maana umejishuhudia nafsi yako ukisema, Nimemwua masihi wa BWANA. "

Ukisoma mistari ya sura hii iliyopita, utaona jinsi kijana huyu alivyojipendekeza kwa mfalme/mtawala, akimweleza jinsi mtangulizi wake ambaye pia alikuwa Kama mpinzani wake kwenye utawala, alivyokufa,
Kijana alidhani kwamba taarifa hi ingempendeza mtawala/mfalme wake, hata akafikiri kwamba atapewa tuzo kwa kuwa alihusika kumwua, badala yake akaambulia kifo.

2 Samweli 1 : 15
"Ndipo Daudi akamwita mmoja wa vijana, akamwambia, Mwendee, ukamwangukie. Basi akampiga hata akafa."

Hivi ndivyo mtawala anavyoweza kuondoa uovu katika utawala wake.
 
Ushauri mzuri, hii tabia ya kuponda tawala zilizopita sio poa. Magu aliponda sana utawala wa JK, he's getting the same reward japo akiwa udongo, JK did the same kwa Ben.

SSH awe smart zaidi...tunamuombea japo anaongoza watu hatari sana, watz ni viumbe hatari mno, atajitia kidole(sorry for my language) ili tu ajaze utumbo wake. Watu walioimba na kuabudu utawala wa JPM leo ndio ring leaders wa kumoonda mzee, don't expect any better from such imbeciles.
 
Hamjambo wote...??

Mama yetu chonde usiwachekee wanaomponda Rais aliyepita, ni wanafiki ambao hata wewe watakuponda pia...

Umeandika haya:

"Mama yetu chonde usiwachekee wanaomponda Rais aliyepita, ni wanafiki ambao hata wewe watakuponda pia.."

kisha ukaendelea kumponda aliyepita vilivyo.

Mwacheni mama ainyooshe nchi. Hii ni awamu ya 6.

Hiiiiii bagosha!
 
Kama ndoto huja kweli, kuna uwezekano mkubwa wa mama kuhurumia wafaidika wa mifuko ya jamii na kurejesha FAO hili lililokuwa msaada mkubwa kwa wanachama
 
Hiyo kitu ilikuwa inaumiza watanzania, mama hatakubali hiyo sheria kupitishwa kabisa!
 
Huo ukandamizaji kwenye maslahi ya watu ulilenga kumfanya mwendazake atunishe mfuko ili aweze kufanya mamiradi yake ikiwemo kujenga jiji la chato..
 
Back
Top Bottom