Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Yameandikwa mitandaoni,unataka tusii yaamini.Hata mtoto wa chekechea ukimuambia Magufuli fisadi atakucheka!Acheni ujinga.
Ni kweli tubomoe madaraja yote aliyojenga, lile fly over la ubungo tulibomoe kabisa. Na lile la TazaraMagufuli ameharibu hii nchii kwa kiwango kikubwa sana.
Alichofanikiwa ni kutengeneza vijana omba omba na walamba matako ya wanasiasa na wenye vyeo
Lumumba buku saba mnatabu sana
Matusi ya nini tena> hapa tunajadili kuhusu hao Magaidi, unajua walikataa Utawala wa sasa, wakitaka utawala wa matakwa yao, walijaa ubaguzi wa Dini, unajua watamsumbua Mama?We mpuuzi kweli!
Rugemalila ha Habinder Sigh wao hawateseki kwa ajili ya pesa zao?Kwa kweli mashehe wameteswa Sana.
Wananchi wa Jamhuri ya JF imea aminishwa, lazima tukubali.Ni kweli tubomoe madaraja yote aliyojenga, lile fly over la ubungo tulibomoe kabisa. Na lile la Tazara
Bwa shehe mbona jazba? Kwani mimi ndo nimewaweka ndani hao watu? Unataka kusema kwamba ,tusitetee mashehe kwakuwa kuna watu wa dini nyingine nao wanateswa? Uzi ulihusu mashehe ,Kama vipi anzisha wa akina Sith na Ruge.Matusi ya nini tena> hapa tunajadili kuhusu hao Magaidi, unajua walikataa Utawala wa sasa, wakitaka utawala wa matakwa yao, walijaa ubaguzi wa Dini, unajua watamsumbua Mama?
Rugemalila ha Habinder Sigh wao hawateseki kwa ajili ya pesa zao?
wameambiwa wakubali pesa zao walizozitafuta wampelekee Mwendesha Mashtaka
ni sheria ya wapi imewabana mpaka wanateseka hivyo?
Unaonaje wanyongwe kabisa mzee tena hadharani bila kesi yao kutolewa hukumu?Wakae jela huko huko. Maana wakitoka wataanzisha kikundi kama cha Msumbiji, Boko Haram, na Al shabab. Walianzisha uamsho ili wafanye nn? Hao hao ndiyo walikuwa wanataka kuwepo na mahakama ya Kadhi.
Ikibidi wafungwe maisha kbsa.
Wakitolewa wataenda ungana na wenzao wa kule msumbiji subiti kwanza.
Wakae jela huko huko. Maana wakitoka wataanzisha kikundi kama cha Msumbiji, Boko Haram, na Al shabab. Walianzisha uamsho ili wafanye nn? Hao hao ndiyo walikuwa wanataka kuwepo na mahakama ya Kadhi.
Ikibidi wafungwe maisha kbsa.
Hao magaidi na suruali zao nusu hawafai kwa usalama wa nchi
Unaonaje wanyongwe kabisa mzee tena hadharani bila kesi yao kutolewa hukumu?
Mkuu JF unatakiwa kujiongeza.Wapo watu wa kila aina humu,Freemason,Wachawi,makuadi wa mabeberu,mafisadi na makuadi wao,mashoga na makuadi wao,wauza madawa ya kulevya na makuadi wao, wanachama wa vyama siasa,makuadi wa serikali na watu wenye mawazo ya kujitegemea na hawa ni wachache sana.Kwa hiyo unatakiwa kuchuja sana habari,uwe intelligent and diagnostic,vingenevyo utasombwa na kila upepo,kwa kuwa kila mmoja anavutia upande wake.Yameandikwa mitandaoni,unataka tusii yaamini.
That was sarcastically presented.Mkuu JF unatakiwa kujiongeza.Wapo watu wa kila aina humu,Freemason,Wachawi,makuadi wa mabeberu,mafisadi na makuadi wao,mashoga na makuadi wao,wauza madawa ya kulevya na makuadi wao, wanachama wa vyama siasa,makuadi wa serikali na watu wenye mawazo ya kujitegemea na hawa ni wachache sana.Kwa hiyo unatakiwa kuchuja sana habari,intelligent and diagnostic,vingenevyo utasombwa na kila upepo,kwa kuwa kila mmoja anavutia upande wake.