Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Mbona unataka kufanya mambo kienyeji. Watu hawaachiwi bila kujiridhisha kuwa kweli walionewa. Hii inaepusha kuachia wasiostahiki na wapo wataachiwa na kufidiwa. Hayo majibu ya Mwigulu kwani rais hakuyasikia/mbona alisema wazi kuwa hayo ndiyo maagizo ya rais? Kuhusu vyombo vya habari, nadhani hukusoma rejoinder iliyotolewa baada ya rais kutoa ushauri husika. Pia jikumbushe kuwa rais alionya kuwa lazima vyombo husika vifuate sheria. Nadhani hapa nimekuingizia vizuri.
 
Akae mbali sana na subwoofer maana hana jema
 
Kwasababu ni mtoto,hivyo hana uwezo ,kama wewe BABAKE umeshindwa kuelewa KUDIGEST ataweza mwanao???

Why can't you hide your level of stupidity???[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ,Shame on you [emoji2955][emoji2955][emoji2][emoji2]
Hiyo tunaita like son like father
 
Uchambuzi huu uko DEEP. Sina nyongeza Bali nakupa kongole
 

Safari hii mataga na gang lenu hamna pa kushika.
Mrudi kwenu burundi
Sasa mbona hueleweki mara mama kazungukwa na "wanafiki" sasa hai wanafiki si Mimi miongoni "mwao" mara hakuna pakushika ina maana Mama yupo pamoja nawe sasa kelele, na kujisogeza huku mara kule kama mtu aliye kwenye maji ya moto ya nini yote hayo
 
Chadema na Ufipa wamesahau kuwa huyu mama ni CCM na bila ya CCM hana chochote Ufipa wamekuwa washauri wa huyu mama wamesahau kuwa Lissu ni mwanasiasa wao na mgombea wao
 
Na kama hawataki kumheshimu rais wetu basi warudi kwao burundi
 
Tumuombee Mungu amsimamie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…