Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Jiji la Dar liludishwe ,
Dodoma tuishie hapo
SGR iishie hapo
Daraja busisi tumalizie
Tozo za TRA zimulikwe upya
Uhusiano wa kimataifa uboreshwe
Bwawa la umeme la nyerere hekima itumike
Makato ya HESLB yaangaliwe upya
Ajira zifunguke Kwa uwiano Sawa kulingana na bajeti.
Pesa kwenye mzunguko iwe fair
Tusifokeane , tuthaminiane
Usimamizi wa watenda kazi uendelee Kwa kiwango kile kile alichokiacha JPM ili kupunguza Fraud kwenye pesa za uma
Mengine mtaongezea
Dodoma tuishie hapo
SGR iishie hapo
Daraja busisi tumalizie
Tozo za TRA zimulikwe upya
Uhusiano wa kimataifa uboreshwe
Bwawa la umeme la nyerere hekima itumike
Makato ya HESLB yaangaliwe upya
Ajira zifunguke Kwa uwiano Sawa kulingana na bajeti.
Pesa kwenye mzunguko iwe fair
Tusifokeane , tuthaminiane
Usimamizi wa watenda kazi uendelee Kwa kiwango kile kile alichokiacha JPM ili kupunguza Fraud kwenye pesa za uma
Mengine mtaongezea