Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Ok. Chama kwanza nchi badae??????Ndio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok. Chama kwanza nchi badae??????Ndio.
Nchi kwanza na Mama Samia anapigania nchiOk. Chama kwanza nchi badae??????
Wewe umepigana Vita ngap mpaka hapa?? Kama sio kudeki vyoo vya Lumumba na kudeki ofisi ya polepole!!Atatukanwa sana na atadhalilishwa sana na chadema.
Lakini sisi women tutampigania mpaka tone
Tumpe mudaNchi kwanza na Mama Samia anapigania nchi
Allah kumbeeWewe umepigana Vita ngap mpaka hapa?? Kama sio kudeki vyoo vya Lumumba na kudeki ofisi ya polepole!!
Wewe ni aibu kwa familia yako.Atatukanwa sana na atadhalilishwa sana na chadema.
Lakini sisi women tutampigania mpaka tone la mwisho.
Uchumi unaenda kuvurugika endapo watamchagua mtu ambaye hana uwezo mzuriLabda amchague mtu kama Dr. Slaa awe makamu wa Rais, hao wengine wote tutarudi kuleeeeeeee .... Ruksa
Awafukuze Mwigulu Nchemba, Doto katibu mkuu wizara ya fedha na waziri wa Afya mapema kabsa kwani ndiyo watendaji wa hovyo kupata kutokea DunianiAunde Serikali upya, Magu alijaza Wajinga wengi mno serikalini
Mmekubaliana na nani?Kurasa gani tena ,si tumekubaliana Simbachawene awe makamu wa Raisi ....
Siyo kufukuzwa tu, Mwigulu na Doto James hadi muda huu walipaswa kuwa jelaAwafukuze Mwigulu Nchemba, Doto katibu mkuu wizara ya fedha na waziri wa Afya mapema kabsa kwani ndiyo watendaji wa hovyo kupata kutokea Duniani
Mda utakujibu bossMmekubaliana na nani?
Kaa kimyaUsimpangie
Ushauri unakaba koo?Uyo mama mtamuua kwa ushauri asee.