Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asimsahau na Sabaya na HappyAwafukuze Mwigulu Nchemba, Doto katibu mkuu wizara ya fedha na waziri wa Afya mapema kabsa kwani ndiyo watendaji wa hovyo kupata kutokea Duniani
Waislam hawanaga roho mbaya zenu hizo, huyu mama atakuwa ni rais mwenye busara sana, na ndicho kinachohitajika ktk nafasi hiyo, hasa kwenye taifa kama letu lenye kila rasilimali. Tunaimani na Samia na lori halitachepuka.Mtapata taabu saana maana Mama Samia is the 'iron lady'! Ukiingia anga zake tu kuvuruga serikali iliyoyaanzisha chini ya JPM, ambayo yy naye alikuwa sehemu ya serikali hiyo lazima apite na weye!..
Pia kuwa na Waziri kama Mwigulu Nchemba au Simbachawene haitafaa hata kidogo. Maana ni sawa na kutoanza kurasa mpya. Hivyo rais lazima afagie ngazi zote ili kupata kurasa mpya ambayo italeta amani kwa watanzania.[emoji1752][emoji1752][emoji1752]Wadau wenzangu japokuwa tupo msibani lakini pia lazima tugange yajayo. Miaka mitano iliyobaki ni parefu kwa hiyo lazima tuweke mazingira safi ili tuweze kufika salama.
Wapo viongozi ambao moja kwa moja walihusika kuchafua kurasa huko nyuma. Hawa walihusika moja kwa moja kuhakikisha, haki za watu na uhuru wa watu unaminywa. Kwa hivyo hawafai kuwepo kwenye hii kurasa mpya tunayokwenda kuianza.
Sidhani kama ni vyema tuwe na Igp ambae hakutaka kufanya uchunguzi suala la Lissu kupigwa risasi. Pia kuwa na wakuu wa mikoa kama John Mongela au Chalamila ambao hawa ni viongozi wanafiki ambao waliunga mkono uvunjifu wa haki za binadamu.
Pia kuwa na Waziri kama Mwigulu Nchemba au Simbachawene haitafaa hata kidogo. Maana ni sawa na kutoanza kurasa mpya. Hivyo rais lazima afagie ngazi zote ili kupata kurasa mpya ambayo italeta amani kwa watanzania.
Ni hayo tu wanabodi.
Yeah anahekima ya kuhakikisha yote aliyoyasimamia JPM mwa mafanikio ya nchi yetu atayasimamia!Waislam hawanaga roho mbaya zenu hizo, huyu mama atakuwa ni rais mwenye busara sana, na ndicho kinachohitajika ktk nafasi hiyo, hasa kwenye taifa kama letu lenye kila rasilimali. Tunaimani na Samia na lori halitachepuka.
Kutokuelewa nako no mzigoMataga na nyomi ni mazuri kwani?
Afu leo ndo najua kuwa beberu ni mpinzani kumbe? Teh teh!
Hahahaha Makupa umefufukaMama Samia ,
Nikupongeza kwa dhati kwa kuapishwa kuwa Raisi wetu wa JMT.Hakuna ubishi ya kwamba umepokelewa kwa kishindo na makundi yote hata yale ambayo kimsingi yamekuwa makundi pinzani tangia mwaka 1992...
Subiri kwanza zoezi la kumpata vp lipite na tumjue vinginevyo hizi pongezi zako zinaweza kugeuka simanzi.Mimi ni mmoja kati ya wengi tuliomkubali uyu mama kwa moyo mmoka! Kwa Mara ya kwanza nimepata mtu nayeweza kutamka kwamba huyu ni raisi wangu
Bado kidogo tutamuona faiza foxy ndani ya nyumbaHahahaha Makupa umefufuka
Hahaha kwakweliBado kidogo tutamuona faiza foxy ndani ya nyumba