jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Ukiona maelfu ya watanzania wanajitokeza kumuaga comrade Hayati Dr John Pombe Magufuli inamaanisha kuwa mmewafanyia kazi kubwa mliyoahidi miaka mitano iliyopita.
Ni kazi yenu iliyorudisha matumaini kwenu na CCM. Wewe na Hayati Magufuli ndio mliozinguka kuomba kura na mkazipata.
Wewe na Hayati Magufuli ndio mliotekekeza ilani ya CCM kwa ukamilifu na kasi ya kipekee.
Hakuna mwanaCCM au Mpinzani wa CCM atakayewatisha. Maelfu ya watanzania waliojitokeza wamekuletea ujumbe kuwa Serikali yenu imegusa maisha ya wanyonge.
hii inamaanisha umepewa nguvu kama Nahodha uliyekuwa msaidizi sasa ni nahodha kamili katika kuukabili upepo wa kaskazi.
Kila la Kheri Iron lady SSH.
Your Team is always behind You!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Ni kazi yenu iliyorudisha matumaini kwenu na CCM. Wewe na Hayati Magufuli ndio mliozinguka kuomba kura na mkazipata.
Wewe na Hayati Magufuli ndio mliotekekeza ilani ya CCM kwa ukamilifu na kasi ya kipekee.
Hakuna mwanaCCM au Mpinzani wa CCM atakayewatisha. Maelfu ya watanzania waliojitokeza wamekuletea ujumbe kuwa Serikali yenu imegusa maisha ya wanyonge.
hii inamaanisha umepewa nguvu kama Nahodha uliyekuwa msaidizi sasa ni nahodha kamili katika kuukabili upepo wa kaskazi.
Kila la Kheri Iron lady SSH.
Your Team is always behind You!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA