Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Mkuu subiri tumalize matanga, mambo mengine kama teuzi nk, yataendelea baada ya hapo.
 
Buriani Rais John Pombe Joseph Magufuli

M.E Samia Suluhu Hassani Rais wa wamu ya 6 wa Tanzania, apewe shahada ya heshima ya udaktari

Kutokana na sababu zifuatazo:-


1.Ni,mwanamke wa kwanza kuwa makamo wa Rais Tanzania
2 Ni, Mwanamke wa kwanza kuwa Rais wa Tanzania
3.Kuenzi mchango wa akinamama viongozi na wasio viongozi Tanzania
.
Kwani hili halitakuwa jambo la kushangaza kwani hata Rais wa Awamu ya 4wa jamuhuri ya Muungano alisha wahi kutunikiwa PHD mbalimbali na matasisi tofautitofauti hapo chini ni orodha yaPHD za heshima alizowahi kupewa JK


Kwa kumbukumbu zangu, mbali na Degree ya Uchumi "aliyoisomea" Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam, JK katunukiwa PhD za heshima zifuatazo:

1. PhD kutoka Chuo Kikuu cha Kenyatta. Hii PhD ya heshima alitunukiwa kwa sababu ya kile kilichoelezwa kuwa ni mchango wake JK katika kusuluhisha mgogoro wa kisiasa uliotokea baada ya Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2007.


2. PhD ya pili ni ile ya heshima aliyotunukiwa kule Uturuki[hapa sikumbuki ni ya nini].


3.Kutoka Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam, JK alitunikiwa PhD ya heshima ya Sheria wakati wa Maadhimisho ya Miaka 50 ya Kitivo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam, na miaka 50 Chuo hicho.


4.PhD ya nne ni ile aliyotunukiwa pale Chuo Kikuu cha Dodoma chini ya Ben Mkapa.


NB:Kabla ya kupewa PhD ya UDOM, JK alitunukiwa tena Shahada ya Sayansi Tiba huko Chuo Kikuu cha Muhimbili chini ya A H. Mwinyi..


5. PhD ya tano, ni ile ya heshima aliyotunukiwa huko Canada hivi karibuni kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kwa kutambuliwa kwa mchango wa JK katika kilimo hapa

Hongera M.E Samia Suluhu Hassani kuapishwa Rasmi kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa TanzaniaView attachment 1732736
Ndugu,hii ni kwa mujibu wa mahaba yako tu,ama unayaangalia maslahi fulani,kama anastahili Mama apate,isije kuwa kuna maslahi binafsi katika hoja na mtazamo wako tu.
 
Hilo ni ombi langu kwako.

Chato kuwa mkoa ni hadhi itayopelekea miradi mingi na ya kukumbukwa iliyo asisiwa na Hayati John iwe endelevu na kwalo hata mamlaka za wa wananchi zitakuwa jirani.

Magufuli kaifanyia mengi Nchi hii na shime nasi tuliobaki hasa wenye mamlaka ya juu kama wewe mheshimiwa Rais japo kwa kiasi basi tumuenzi JPM kwa vitendo na hata Chato kuufanya mamlaka kamili ya kimkoa iwe ni sehemu ya uenzi wetu kwake.

Wana jf mliopo madarakani kama Mwigulu Nchemba itapendeza mukimfikishia ushauri huo mama yetu Samia.
 
Hilo ni ombi langu kwako.

Chato kuwa mkoa ni hadhi itayopelekea miradi mingi na ya kukumbukwa iliyo asisiwa na Hayati John iwe endelevu na kwalo hata mamlaka za wa wananchi zitakuwa jirani.

Magufuli kaifanyia mengi Nchi hii na shime nasi tuliobaki hasa wenye mamlaka ya juu kama wewe mheshimiwa Rais japo kwa kiasi basi tumuenzi JPM kwa vitendo na hata Chato kuufanya mamlaka kamili ya kimkoa iwe ni sehemu ya uenzi wetu kwake.

Wana jf mliopo madarakani kama Mwigulu Nchemba itapendeza mukimfikishia ushauri huo mama yetu Samia.
Halafu?
 
Huko ni Kuongeza gharama zisizokuwa na msingi tu,kachato ni kadogo sana,hakakidhi kuwa mkoa hata kuwa hiyo Wilaya wameforce,hakana idadi ya watu wanaotosha kuanzishiwa Mkoa,hakana mapato tosha pia,inatosha kuwa hivyo ilivyo
 
Hilo ni ombi langu kwako.

Chato kuwa mkoa ni hadhi itayopelekea miradi mingi na ya kukumbukwa iliyo asisiwa na Hayati John iwe endelevu na kwalo hata mamlaka za wa wananchi zitakuwa jirani.

Magufuli kaifanyia mengi Nchi hii na shime nasi tuliobaki hasa wenye mamlaka ya juu kama wewe mheshimiwa Rais japo kwa kiasi basi tumuenzi JPM kwa vitendo na hata Chato kuufanya mamlaka kamili ya kimkoa iwe ni sehemu ya uenzi wetu kwake.

Wana jf mliopo madarakani kama Mwigulu Nchemba itapendeza mukimfikishia ushauri huo mama yetu Samia.
Yeah, imekwisha hiyo💪!
 
Hilo ni ombi langu kwako.

Chato kuwa mkoa ni hadhi itayopelekea miradi mingi na ya kukumbukwa iliyo asisiwa na Hayati John iwe endelevu na kwalo hata mamlaka za wa wananchi zitakuwa jirani.

Magufuli kaifanyia mengi Nchi hii na shime nasi tuliobaki hasa wenye mamlaka ya juu kama wewe mheshimiwa Rais japo kwa kiasi basi tumuenzi JPM kwa vitendo na hata Chato kuufanya mamlaka kamili ya kimkoa iwe ni sehemu ya uenzi wetu kwake.

Wana jf mliopo madarakani kama Mwigulu Nchemba itapendeza mukimfikishia ushauri huo mama yetu Samia.
Butiama ni mkoa?
Sijui huwa mnafikiri kwa kutumia nini!
Muasisi wa taifa(JK Nyerere) hakuwahi kufanyiwa hivyo,sembuse huyo monevu na muuaji.
 
Hilo ni ombi langu kwako.

Chato kuwa mkoa ni hadhi itayopelekea miradi mingi na ya kukumbukwa iliyo asisiwa na Hayati John iwe endelevu na kwalo hata mamlaka za wa wananchi zitakuwa jirani.

Magufuli kaifanyia mengi Nchi hii na shime nasi tuliobaki hasa wenye mamlaka ya juu kama wewe mheshimiwa Rais japo kwa kiasi basi tumuenzi JPM kwa vitendo na hata Chato kuufanya mamlaka kamili ya kimkoa iwe ni sehemu ya uenzi wetu kwake.

Wana jf mliopo madarakani kama Mwigulu Nchemba itapendeza mukimfikishia ushauri huo mama yetu Samia.
Chato itabaki ilivyo tena watu washukuru ikiwa hivyo, sana sana itaporomoka na kuwa magofu. Mama Samia ni kiumbe tofauti kabisa.
 
Back
Top Bottom